-->

Monalisa kuipeleka tuzo ya APA Bungeni

Post Image

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya msanii Yvonne Cherrie ‘Monalisa’, kuibuka msanii bora wa kike katika tuzo za za African Prestigious Awards (APA), anatarajia kuipeleka tuzo hiyo Bungeni kesho. Utoaji wa tuzo hizo ulifanyia Aprili 14, mwaka huu Accra, Ghana ambapo lengo lake ni kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, […]

Read More..

Monalisa kuwabwaga kina Lupita Nyong’o?

Post Image

Baada ya muigizaji wa filamu nchini Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kutajwa kuwania tuzo za The African Prestigious Awards kama Muigizaji bora Afrika huku akitarajiwa kushindana na mastaa wakubwa Afrika amesema hata asipopata tuzo tayari anaamini ni hatua Monalisa amezungumza hayo wakati akikabidhiwa bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Mh. Harrison Mwakyembe […]

Read More..

Wema, Diamond masaprize kibao

Post Image

JUZI Jumapili wakati watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwenye kona mbalimbali za kula bata, wadau wa Sanaa nchini wakiwemo wasanii wenyewe walikuwa pale Mlimani City, Dar es Salaam, wakifanya yao. Kwa baadhi ya wasanii ilikuwa ni bonge la saprize iliyojaa furaha pale walipotangazwa kuwa washindi kwenye tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film Festival […]

Read More..

1

Dogo Janja baada ya kuona “Nakupenda sema...

Post Image

Leo March 31,2018 kwenye upande wa entertainment story inayochukua headlines ni kuhusu wanandoa wawili muigizaji Irene Uwoya na Dogo Janja hii ni kutokana na comment ya Dogo Janja baada ya post ya Irene Uwoya kwenye instagram page yake. Irene Uwoya ameandika >>>“Nakupenda sema unakaujinga???” baada ya caption hiyo ya Irene Uwoya maswali mengi yalijitokeza kwa […]

Read More..

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini &...

Post Image

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

Read More..

1

Duma Kuirudisha Bongo Muvi

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama ‘Duma’ amesema lengo la yeye kumuita nchini msanii kutoka nchi ya Australia John K ni kutaka kuirudisha hadhi ya filamu ambayo imepotea kwa kipindi kirefu katika macho ya watu. Duma amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV muda mchache baada ya kumpokea mgeni […]

Read More..

VideoMPYA: Beka Flavour anakuletea hii nyin...

Post Image

Baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Beka Flavour kuachia ngoma yake yakibenten na kufanya vizuri this time anakusogezea nyingine ya kuitazama “Noana kiza”akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo. bofya PLAY kuitazama

Read More..

Alichosema Jay Moe kuhusu kutofanya collabo...

Post Image

  Mashabiki wengi hujiuliza inakuaje kwenye upande wa Bongo Fleva mastaa wakongwe katika game hii wanashindwa kufanya collaboration wao kwa wao , ugumu unakuwa wapi?? Je ni kwamba ladha ya muziki itapungua kutokana na wao kuwa wakongwe katika muziki? Majibu yote anayo Jay Moe, alisema “Naona watu wanacho jaribu kukitafuta saivi ni kitu kipya , Solo nipo naye […]

Read More..

1

VideoMpya: Prof Jay ametuletea ‘PAGAMISA...

Post Image

Mbunge anaeongoza binadamu na wanyama Joseph Haule ambae ni Mbunge wa Mikumi wengi tunamfahamu kama Prof. Jay katuletea video ya wimbo wake wa ‘Pagamisa’ akiwa kamshirikisha Producer Mr T Touch.

Read More..

1

VideoMPYA: Dulla Makabila ana hii mpya “K...

Post Image

Mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila ambaye amefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Haujaulamba’ leo March 24 2018 ameamua kutoa video mpya kwa mashabiki wake, Dulla Makabila leo ameaachia rasmi video ya ‘Kuingizwa’ Bofya PLAY

Read More..

Ebitoke Afunguka Mapya Kuhusu Mahusianao ya...

Post Image

Msanii wa vichekesho bongo ambaye inasemekana yupo kwenye mahusiano na msanii Ben Pol, amesema kipindi mahusiano yao yalipoonekana yamekufa, ukweli ni kwamba penzi hilo halikufa isipokuwa Ben Pol alimtuliza ili asiyaweke sana kwenye mitandao. Akizungumza na mwandishi wa EATV.TV, Ebitoke amesema baada ya kulalamika kuwa Ben Pol hapokei simu zake na hamjali, Ben Pol alimuomba […]

Read More..

Esther Kiama yupo kwenye maombi mazito kusa...

Post Image

MDADA anayefanya kazi ya kuigiza kwenye filamu za Kibongo, Ester Kiama amesema kuwa sasa hivi yuko kwenye mfungo wa Kwaresima kwa ajili ya maombi maalum ya kutafuta mtoto wa kike. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Ester aliweka wazi kuwa, anatamani sana mtoto na kwa sababu tayari ana mtoto wa kiume, anahitaji kupata wa kike na ndio […]

Read More..

VideoMPYA: Abdu Kiba kaja na “Jeraha” k...

Post Image

Videos za nyimbo mpya zinazidi kuja kutoka kwa mastaa wa muziki na hii ni time ya kui-check “Jeraha” kutoka kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva Abdu Kiba akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo. Bofya “PLAY” kuitazama

Read More..

Khadija Kopa Afunguka Kutaka Kuolewa

Post Image

Malkia wa Mipasho nchini Tanzania asiyekuwa na mshindani, Khadija Kopa ametangaza rasmi kuhitaji mume wa kumuoa ili aweze kuishi naye huku akiweka vigezo vyake kuwa hataki aliyechini ya miaka 40 kwa madai hawezi kufundisha tution. Khadija Kopa ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI cha  EATV. “Sijaolewa ila sitaki kusomesha tuition, nataka […]

Read More..

DIAMOND PLATNUMZ: SIOGOPI Kwenda Jela Labda...

Post Image

EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK. Msanii Diamond aeleza kwanini alifanya performance kwa mara ya kwanza nje Nairobi,kenya. Diamond alieleza kuwa kwenye performance yake ilikuwa na changamoto nyingi na nchi […]

Read More..

Maneno ya Irene Uwoya kwa Msami ‘Usi-forc...

Post Image

Leo March 20,2018 kwa upande wa burudani story ambayo na yenyewe inachukua headlines ni kutoka kwa mke wa msanii Dogo Janja, Irene Uwoya ambaye leo amechukua dakika zake kuandika Instargram ambapo amem-post staa wa muziki waBongo Fleva ambaye pia ni dancer Msami na kuandika caption ambayo imezua gumzo mtandaoni Irene Uwoya ameandika…. >>> Mchezaji muziki bora Afrika usi-force ndio kuwa hapana na tafadhali panic kwa hatari […]

Read More..

VIDEOMPYA: SELINE- CHAPALAPA

Post Image

Msanii Seline ambaye aliwai kuwa katika Label ya The Industry ila kwa sasa anasimamiwa na producer Monagenster, anatualika kuitazama video yake mpya, audio ikiwa imetayarishwa na Producer Abba na video ikiwa imeandaliwa na Director Joowzey location ikiwa ni Dar es Salaam.

Read More..

HABARI ZA MASTAA VideoMPYA: Msanii Timbulo ...

Post Image

Msanii wa Bongofleva Timbulo ametuletea video yake ya wimbo unaoitwa “Post” wimbo ambao Audio imetayarishwa na producer Mocco Genius, video imetayarishwa na Director Lucca Swahili, karibu kuitazama kwa kubonyeza PLAY hapa chini ..

Read More..