-->

Mume wa Uwoya azungumzia machungu ya ukapera

Mwamuziki wa muziki wa Bongo Fleva, Dogo Janja ameibuka na kusema kuwa, kabla ya kutokuwa maarufu alikuwa ni muhuni, mtukutu na mwenye kiburi.

Dogo Janja amesema, kwa dunia hii ya sasa angekuwa jela au hata marehemu kwani wenzake wengine wamepigwa mawe mpaka kufa kwa sababu ya utukutu, unyang’anyi na matukio kama hayo.

Aidha ameongeza kuwa, amejifunza kitu kutokana na makosa ndio maana ameamua kubadilika na kuachana na hizo tabia.

Mwanaspoti

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364