-->

Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka

ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa filamu na kitu muhimu kwa sasa ni kujipanga katika utunzi wa hadithi ili kupambana na sinema kutoka Hollywood na sehemu mahiri kwa utengenezaji wa filamu.

Filamu ya Going Bongo

Filamu ya Going Bongo

“Kiukweli sinema ni nzuri sana imetulia sauti safi picha kali wasanii wameigizaji katika kiwango cha hali ya juu sana hivyo ni changamoto kwa watayarishaji wa Bongo movie,”anasema Masanja.
Sinema ya Going Bongo imekuwa ikifanya vizuri na kuweza kujishindia tuzo kutoka katika matamasha mbalimbali ya filamu, sinema hiyo imerekodiwa Bongo na Amerika.

FC

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364