-->

Ving’amuzi Vinaua Bongo Movie – Chekibudi

Star wa Bongo movi Chekibudi anaumizwa moyo na ving’amuzi kutokana na kwamba ni moja kati ya vitu vinavyoua kwa kasi soko lao la filamu.

Star wa Bongo movi Chekibudi

Star wa Bongo movi Chekibudi

Akizunguma na Enewz Chekibudi alisema kuwa ving’amuzi vingi vimetoka kwa sasa na vinaonesha filamu mbalimbali kitu kilichopelekea mauzo ya kazi zao kushuka.

“Sisi tulipotea pale tulipouza kazi zetu badala ya kuuza kopi lakini mtu anajifunza kutokana na makosa, kwasasa tunajipanga ili tusilifanye hilo tena”.

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364