-->

NI NOMA : Lulu Anafikiria Kimataifa Zaidi

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ mwigizaji wa kike mwenye nyota kali anasema kuwa hawezi kwa sasa kuonekana kwa kila filamu bila sababu kwani amejipanga kutafuta tuzo kubwa za kimataifa hivyo lazima ashiriki sinema bora ili kufikia malengo yake.

LULU32

 

“Kuwa bora si kucheza sinema nyingi bali kuwa na sinema za maana, nimejipanga na nakuja na filamu yangu ya Ni Noma ni filamu kubwa sana kutengezwa Afrika Mashariki,”

Lulu anasema kuwa filamu yake ya Ni Noma ameigiza katika viwango vya kimataifa na imechukua muda mrefu katika kuandaliwa na anaamini ndio kazi ambayo itampeleka katika tuzo kubwa za Oscar hata kuibuka kinara kwani ndio malengo yake.

Filamu ya Ni Noma imetengenezwa na kampuni ya Proin Promotions na inauzwa kwa njia ya mtandao kupitia Proin Box na inapatikana nchi zote Duniani ni kazi nzuri sana kwani ndio sinema ya kwanza kushirikisha wasanii kutoka nchi mbalimbali pia.

NI NOMA32

Ripoti na Filamucentral

NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

KAMA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA FILAMU POPOTE PALE:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364