-->

Author Archives: editor

Riyama, Mboto Kupamba Kichupa Cha ‘Mama K...

Post Image

Mastaa wa kali wa Bongo Movies, Riyama Ally na Mboto Haji kushiriki kwenye video ya wimbo wa mama kijacho wa msanii Tunda Man. Tunda Man ameeleza kuwa kichupa hicho kitakuwa cha aina yake tofauti na vichupa vyake alivyowahi kutoa, kichupa hicho kinaandaliwa na muongozaji mahiri nchini Hanscana. Hizi ni baadhi ya picha za nyuma ya […]

Read More..

Mtoto wa Kajala Akerwa na Kazi ya Mama Yake

Post Image

MTOTO wa muigizaji wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja aitwaye Paula, ametoa mpya baada ya kudai kuwa havutiwi na sanaa anayofanya mama yake, isipokuwa anapenda zaidi uanamitindo. Akizungumza na gazeti hili, mtoto huyo alisema anavutiwa zaidi na Hamisa Mobeto, ambaye licha ya kuigiza, lakini anatumia sehemu kubwa ya muda wake kufanya uanamitindo, kitu ambacho ni […]

Read More..

Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha...

Post Image

Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si […]

Read More..

Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomo...

Post Image

Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu. Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya […]

Read More..

Wasanii Watoa Mapendekezo Haya Kwenye Kikao...

Post Image

Katika Kikao cha Wanamuziki kinachoendelea leo jijini Dar, wasanii wametoa mapendekezo makuu matatu : (1) kutokuwa na imani na CMEA (2) kuvunjwa kwa bodi ya COSOTA kutokana na kutokuwa utaratibu mzuri wa kudhibiti na kusimamia mirabaha ya kazi zao na (3) Radio stations ziendelee kupiga nyimbo zao hadi watapotoa tamko. Hivyo wameomba rais wa shirikisho […]

Read More..

Mwakifwamba Atoa Onyo Kali kwa Wasanii

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi. Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo […]

Read More..

Faiza Awachanganya Mashabiki Hukuhu Kifo

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amewachanganya mashabiki wake baada ya kuandika kwenye akaunti yake ya Facebook na kudai kwamba amefariki. Hata hivyo, msanii huyo amesema kuwa aliandika hivyo kutokana na kuchukizwa na waongozaji wa filamu yake mpya ambao wanachelewesha kufanya kazi hiyo. “Sikuona kama ni tatizo kuandika hivyo na baadaye ndugu na jamaa wakajua […]

Read More..

Sitochora Tena Tattoo ya Jina la Mpenzi Wan...

Post Image

Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake. Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda. Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao. “Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii. “SiwezI tena kuchora tattoo […]

Read More..

Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo...

Post Image

Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya. Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram: Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na […]

Read More..

Lulu: Mnanipa Bichwa Mwenzenu

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies anayependwa na wengi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewapasha mashabiki wake mtandaoni kuwa wanavyozidi kumwagia misifa kwa urembo wake wanasababisha ajione kuwa yupo juu sana wakati yeye ni wakawaida. “Mnajua mkiniongelea Sana mnanipa Bichwa Mwenzenu????naanza kuona Kama bila mm vitu haviwezekani hivi???Msinifanyie hvyo…Najikuta MATAWI mwenzenu???wakati Sina lolote?”-Lulu

Read More..

Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu

Post Image

SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake. Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika […]

Read More..

Diamond, Romy Jones Watibuana

Post Image

Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani. Hivi karibuni chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, Diamond na kaka yake huyo ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo wamefikia hatua ya kutoongea […]

Read More..

Nyerere Kutoa Filamu Kubwa Mwaka Huu

Post Image

Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.   “Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram. “Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa […]

Read More..

Esha: Nikipata Tatizo Team Diamond Itahusik...

Post Image

Chokochoko! Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet amefunguka kuwa endapo atakumbwa na tatizo lolote basi timu ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Team Diamond itahusika. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esha alisema kuwa chokochoko zilianza alipoposti picha za Ali Kiba mtandaoni ambapo Team Diamond walianza kumtukana na kumwambia watamfanyia kitu mbaya. Chanzo: […]

Read More..

Lulu, Uwoya, Wema… Pisheni Njia

Post Image

SINEMA mpya ya kimataifa ya Homecoming imekuja na vipaji vipya katika sinema za Kibongo, huku Magdalena Munisi akiibuka na kuwatishia amani madiva wa Bongo Muvi wanaotesa katika tasnia hiyo. Mastaa wanaoonekana kufanya vizuri zaidi Bongo Muvi kwa sasa ni pamoja na Elizabeth Michael ‘Lulu’, Irene Uwoya, Wema Sepetu, Rose Ndauka, Shamsa Ford na Aunt Ezekiel. Magdalena ambaye katika sinema hiyo amecheza kama […]

Read More..

Kambi Kupaa Kimataifa

Post Image

MKONGWE kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Hashim Kambi amesema anamshukuru Mungu kwa kumaliza na kuuona Mwaka Mpya akiwa nchini Mare­kani huku akiahidi kuzidi kutusua kimataifa mwaka huu. Akizungumza na Swaggaz kwa njia ya simu kutokea Wash­ington DC, Marekani, Kambi amesema yupo katika hatua za mwisho kukamilisha sinema mpya anayorekodi nchini humo akiwa na mwigizaji […]

Read More..

JB Awataka Radhi Mashabiki

Post Image

MKALI wa filamu za kibongo, JB amewaomba radhi mashabiki wake kwa mkosa mbalimbali ya kiufundi ambayo yalitokea kwenye baadhi ya kazi zake mwaka uliopita na amewataka waendelee kumuunga mkono mwaka huu. ‘Niwashukuru mashabiki wangu kwa kuendelea kuniunga mkono hasa kwenye filamu yangu ya Chungu cha Tatu ambayo nimeiachia wiki chache zilizopita nawaahidi kazi nzuri zenye ubora zaidi mwaka huu,’ aliandika JB kwenye ukurasa wake wa Facebook.  

Read More..

Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa

Post Image

Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti By Warumi on JF

Read More..