-->

Author Archives: editor

Malaika: Nimechoka Kufananishwa na Lulu

Post Image

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha. “Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini […]

Read More..

Kingwendu: Ningepewa Hiki Ningekuwa Level ...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini, Kingwendu amesema kama nyimbo zake zingepata promotion ya kutosha, angekuwa anashindana na wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa, Diamond na Ali Kiba. Kingwendu ambaye alikuwa katika show za mwisho wa mwaka nchini Ujerumani hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo inamfanya aanze kutafuta maneja ili aweze kusimamia kazi za muziki wake. “Mwaka jana […]

Read More..

Wastara: Nahisi Mauti Yapo Karibu Yangu

Post Image

Soma vizuri ili uelewe vizuri Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpka mda huu Sina budi kusema hya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari Mungu alinipa mtu wa kunipa furaha couz kilakitu Alhamdulilah nilikuwanacho kulingana na nafasi yangu […]

Read More..

Le Mutuz Ajitapa Kutoka Kimapenzi na Amanda

Post Image

NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi. Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu […]

Read More..

Bifu la Diamond, Blue, Afande Sele Aibuka

Post Image

LILE bifu la kugombania jina la Simba ambalo linawahusisha wasanii nyota wa Bongo Fleva, Henry Samir ‘Mr Blue’ na Nasibu Abdul ‘Diamond’ lime­muibua mkongwe Suleiman Msindi ‘Afande Sele’ ambaye alikuwa kwenye mishe za siasa. Afande Sele maarufu Mfalme wa Rymes, aliyeku­wa akigombea Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini, amesema yeye ndiye mwanzilishi wa jina hilo […]

Read More..

‘Ninja’ Kisa cha Mapenzi Toka China Had...

Post Image

Ninja Revenge of Love ni kisa kinachomkuta Mr potlee ambaye mara baada ya kutoka China anaonekana na mwanamke wa kichina wakati Tanzania ana mwanamke ambaye ni askari wa jeshi la polisi Tanzania ,je nini kitatokea? Filamu ya Ninja Revenge of Love chini ya usambazaji wa Steps Entertainment itaingia sokoni kesho kutwa tarehe 04.01.2016. Jipatie nakala […]

Read More..

Shilole, Eddy Kenzo wa Uganda Penzi Jipya

Post Image

Kwa sasa ni dhahiri kabisa penzi la Shilole na Nuh Mziwanda limefika mwisho baada Shishi kumtambulisha mpenzi wake mpya msanii,Eddy Kenzo kutoka nchini Uganda. ‘’Nuh hanipendi Eddy Kenzo ndio ananipenda,ameniimbia wimbo nilikuwa sijui,naomba mjue kuwa ndiye mchumba wangu mpya,’’Alisema Shilole. ‘’Eddy Kenzo amenipenda tangu zamani lakini nilikuwa nikimpuuzia tu maskini ameonyesha upendo wake kwangu hadi […]

Read More..

Maneno ya Lulu kwa Mama Yake ni Fundisho To...

Post Image

Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi. The pic Says all…! Umenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu WA kweli uko vipi. Pale ambapo wote walikimbia,walikuwa kinyume Na Mimi Wewe Ndo ulisimama . Naweza kuandika maneno Milioni lkn kiukweli hakuna […]

Read More..

Wema Sepetu Amrushia kijembe Diamond!

Post Image

SIMBA! Kufuatia lile sakata la jina la mnyama Simba ambapo Diamond amekuwa akijiita jina hilo siku za hivi karibuni na msanii  Mr Blue kudai kuwa alilianzisha yeye kujiita simba huku mkongwe Afande Sele akisisitiza yeye ndiyo samba dume, mastaa wengi wa hapa bongo wamekuwa  wakijiita majina ya wanyama ikiwa ni namna moja ya kuchombeza sakata […]

Read More..

Thea Atetwa kwa Vimini, Acharuka!

Post Image

MSANII mkongwe wa fi lamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amejikuta akitetwa akidaiwa kuwa mcharuko kwa kuvaa vimini hasa baada ya kuachana na mumewe, Michael Sangu ‘Mike’. Kutetwa huko kumeonekana kumkera sana Thea ambaye juzikati akichonga na Ijumaa alisema, anawashangaa wanaomsema vibaya kwani anaamini anaishi maisha anayotaka yeye na wala hakuna anayeweza kumzuia. “Mimi napenda kuvaa vimini tangu zamani […]

Read More..

Picha 5 za Shoo ya Funga Mwaka ya king Kib...

Post Image

Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya. Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers  balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee

Read More..

Bongo Muvi, TAFF Wamaliza Tofauti Zao

Post Image

BIFU kubwa lililokuwepo kati ya wasanii wa fi lamu wanaounda Bongo Movie na wale wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘Taff ’ limeyeyuka baada ya viongozi wa pande zote mbili kukutana na kuona kuna ulazima wa kuwa kitu kimoja. Taarifa za pande hizo mbili kumaliza tofauti zao zilitua kwenye dawati la gazeti hili na kuthibitishwa na […]

Read More..

Chilo Afungukia Kupotea Tamthilia za Nyumba...

Post Image

Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni. Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka. […]

Read More..

‘Home Coming’ Iwe Fundisho kwa Wasanii ...

Post Image

KATIKA tasnia ya filamu hapa nchini tunaanza kupiga hatua kwa kiasi kikubwa sana kutokana na wasanii wengi kujituma kwa lengo la kutangaza kazi zao ndani na nje ya nchi, huku ikiwa njia mojawapo ya kujipatia kipato. Siku zote tumekuwa tukiona filamu zetu za hapa ndani zikitazamwa kwa muda mfupi na zinaanza kusahaulika kutokana na uwezo […]

Read More..

Hii Ndiyo Mipango Mipya ya Wema Sepetu

Post Image

Meneja Wema Sepetu, Martin Kadinda amesema mpango alionao ni kumtoa mwanadada huyo katika drama na kumfanya awe mfanyabiashara mkubwa mwaka 2016.   Kadinda ambaye pia ni mbunifu wa mavazi, ameiambia Bongo5 kama Wema akiweza kubadilika na kuacha drama, atakuwa na mafanikio makubwa. “Wema is a business woman, kitu ambacho nitakifanya ni kuhakikisha anasimama kama mfanyabiashara,” […]

Read More..

Zari: Tiffah Atakuja Kuwa Raisi Wenu

Post Image

Kufuatia tabia ya baadhi ya watu kuendelea kumporomoshea maneno machafu mototo wake Tiffah tangu hata hajazaliwa na hadi leo, Zari the boss Lady amewapasha watu hao kuwa Tiffah siku moja atakuaja kuwa rais na watamuheshimu kwani anamlea aje kuwa rais kama Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia. “Matusi from day one even before she was born. […]

Read More..

Ray Awapa Makavu Wanaofatilia Maisha ya Wat...

Post Image

Ray ameandika haya kwenye ukurasa wake Instagram. “Kijana mwenzangu mwaka ndio huo unaisha inama tafakari nini ulichokifanya mwaka huu,je ulichokipanga kimefanikiwa kwa asilimia ngapi au kazi yako ilikuwa nikuangaika na maisha ya watu kwenye insta? Wenzako wanapiga hatua kumi mbele wewe unapiga hatua kumi nyuma. ujachelewa achana na maisha ya watu pambana na maisha yako […]

Read More..

Shilole Ampigisha Dj Tass ‘Sorry For That...

Post Image

MWIGIZAJI na mwanamuziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amemzingua Dj Tass mtangazaji wa kipindi cha Kwetu Fleva baada ya kushusha matusi hewani akihojiwa na mtangazaji huyo na kumfanya aombe msamaha kwa wasikilizaji kwa kutamka Sorry for That mara mia. Tass alikatiza matangazo baada ya Shilole kuulizwa swali kuhusu mpenzi wake Shilole ambaye ametangaza kutengena […]

Read More..