Artists News in Tanzania

BASATA Yakanusha Kuifungia “Zari All White Party”

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekanusha taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa limelifungia onesho la mpenzi wake Diamond, Zari, ‘Zari White Party’.

Moja kati ya mitandao iliyoandika story hiyo ni Jamii Forums, ambapo walidai BASATA imelifungua onesho hilo kufanyika hapa nchini.

Kupitia ukurasa wa Twitter, BASATA limekanusha taarifa hizo huku likiwataka wananchi kupuuza taarifa hizo.

Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version