-->

Category Archives: BongoFleva

Seduce Me ya Kiba Kuitetemesha Arusha

Post Image

WASANII nyota wa muziki hapa nchini, Ali Kiba, Joh Makini, Dogo Janja, Madee na Lulu Diva, ni miongoni mwa wasanii waliosajiliwa ili kutoa burudani katika tamasha la Tigo Fiesta 2017-Tumekusoma. Wasanii hao pamoja na wengine lukuki, walisajiliwa katika matukio yaliyofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, lakini lile la Mbagala Zakheem likionekana kutia fora kutokana […]

Read More..

Sasa ni Ben Pol vs Ramadee

Post Image

Hatimaye msanii Ben Pol ameamua kumaliza utata uliopo kwa mashabiki kwamba kati yake na Rama Dee nani bingwa wa minyoosho kwenye R&B kwa kuamua kufanya naye collabo. Ben Pol ambaye ameachia album yake yenye kazi zake bora ‘The Best of Ben Pol’, amemvuta Rama Dee kwenye remix ya ‘Pete’, na kukuachia wewe msikilizaji uamue nani kaifanya […]

Read More..

Ney wa Mitego: Diamond, Kiba Hawanitishi

Post Image

MKALI wa muziki wa hip hop Tanzania, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema hazimwi na bifu la Dimoand na Ali Kiba, huku akiweka wazi kuwa yeye hana mpinzani hapa nchini katika aina ya muziki anaoufanya. Akizungumza jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Rai na Dimba, Ney […]

Read More..

Fid Q ataja sababu ya wana hip hop kufeli

Post Image

Mkali wa muziki wa hip hop Bongo, Fid Q ametaja sababu ya wana hip hop kufeli katika kufikisha ujumbe kwa jamii. Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Fresh’ ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa wana hip hop wengi wanafanya muziki kwa ajili ya wenzao na siyo jamii. “Wana hip hop wanafeli […]

Read More..

Lady Jaydee Kumwaga Mipesa

Post Image

Mwanamuziki mkongwe Lady Jaydee ameamua kumwaga fedha kwa mashabiki kupitia mitandao ya kijamii kwa kuanzisha shindano ambapo washindi watatu watakao weza kujibu kwa ufasaha maswali matatu atayatoa kwenye mitandao hiyo watalamba jumla ya milioni 2. Lady Jaydee amesema katika mashindano hayo mshindi wa kwanza atajipatia milioni moja huku mshindi wa pili akipata laki saba na […]

Read More..

Masogange: Najuta Kuwa Staa

Post Image

VIDEO queen mwenye umbo tata Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa, hakuna jambo analolijutia kama kuwa staa. Masogange aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, alipokuwa hajulikani alikuwa akifanya vitu vyake kwa uhuru bila kutazamwa na mtu yeyote tofauti na sasa. “Unajua mtu anaweza kusema ukiwa na jina unakuwa furaha sana, lakini si kweli kabisa, kuna wakati najuta huwa nakosa uhuru wa […]

Read More..

Dogo Janja Aponea Chupuchupu Kupotezwa

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chande ‘Dogo Janja’ amesema moja ya tukio ambalo hawezi kulisahau kwenye maisha yake ni siku ambayo yeye na washkaji zake walipokwenda kuiba kwenye ‘godauni’ kasha mwenzao mmoja akapotea. Staa huyo wa singo ya Kidebe, ameliambia Juma3tata kuwa tukio hilo lilitokea zamani wakati anahangaika kutoka kimuziki nyumbani kwao Ngarenaro mkoani, Arusha […]

Read More..

Alikiba Awapa Neno Mashabiki

Post Image

Msanii Alikiba ambaye sasa anatamba na ngoma yake mpya ‘Seduce me’ amefunguka na kuwapa neno la pongezi mashabiki zake baada ya kuiwezesha ngoma yake hiyo mpya kufikisha watazamaji zaidi ya milioni nne ndani ya siku 10. Alikiba ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwashakuru mashabiki zake na kuendelea kuifanya ngoma hiyo kushika nafasi ya kwanza katika […]

Read More..

Nawaonea Huruma Kizazi cha Sasa – Fid Q

Post Image

Msanii mkubwa wa hip hop bongo Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q, amesema anasikitishwa na hatama ya maisha ya kizazi cha sasa, kwani kimeharibiwa kwa kiasi kikubwa na mitandao. Akizungumza kwenye kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha kinachorshwa na East Africa Radio, Fid Q amesema kizazi cha sasa hakina muda kabisa wa kujisomea vitabu […]

Read More..

Kauli ya Idris baada ya Wema Sepetu kuzingu...

Post Image

Katika uzinduzi wa viatu vya ‘SultanXforemen’, mchekeshaji Idris Sultan ametaja sababu ya mrembo Wema Sepetu kutofika katika uzinduzi huo. Akiongea na Bongo5, Idris amesema alimualika mrembo huyo ambaye alikuwa date wake katika uzinduzi wa filamu ya ‘Heaven Sent’ wikiendi iliyopita na ila mrembo huyo hajafika kutokana na  udhuru aliyopata hivyo akampa ridhaa. “Nilimualika Wema sema […]

Read More..

Video: Baada ya Tupac Chid Benz amvuta Jay ...

Post Image

Baada ya sakata la kusema amefanya collabo na Tupac na kuleta mtafaruku mkubwa kwa mashabiki huku wakimtolea maneno makali wakisema amesha athirika kiakili kwa madawa ya kulevya kwa kuwa Tupac ni marehemu, sasa Chid Benz kuja na collabo na Jay Z. Akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television and […]

Read More..

Roma Mkatoliki Aibukia Kenya

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki ambaye amerudi na ujio wa nguvu na ngoma zake ‘Zimbabwe’ na ‘Hivi ama vile’  baada ya kukaa kimya muda mrefu baada ya kupata matatizo ya kutekwa sasa ameibukia nchini Kenya. Roma Mkatoliki pamoja na Stamina ambao kwa pamoja wanaunda umoja wao unaofahamika kwa jina la ‘Rostam’ wameanza kupiga hatua mbele zaidi ya […]

Read More..

Seduce Me, Zilipendwa ni shida mtaani

Post Image

KWA vijana wa kizazi kipya na mashabiki wa Alikiba na Diamond kuna maneno mawili tu yanayotamba Seduce na Zilipendwa. Seduce ni wimbo mpya wa Kiba unaomaanisha ushawishi na Zilipendwa ni wimbo wa Diamond anaokumbushia mambo ya zamani kwa staili ya kisasa. KAMA ULIKUWA HUJUI FRESHI REMIX NI wimbo wa Fid Q ambao amewashirikisha Diamond na […]

Read More..

VIDEO: Jux Kurudiania na Vanessa?

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kuweka wazi msimamo wake endapo mpenzi wake wa zamani Vanessa Mdee akitaka kurudi na waishi kama zamani na kusema kwa sasa hajui hivyo hawezi kuhukumu wala kusema lolote juu ya hilo. Jux anasema ni bora asubiri wakati uongee kuliko kusema jambo ambalo hata yeye mwenyewe halifahamu na kusema anaweza kusema haiwezekani […]

Read More..

Aika: Mnaosubiri Niolewe na Nahreel Mtasubi...

Post Image

BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa mwanadada Aika Mariale na mpenzi wake wa siku nyingi, Nahreel, wanaounda kundi la muziki wa kizazi kipya la Navy Kenzo, wapo kwenye mipango ya ndoa, mwanadada huyo amefunguka kuwa hakuna kitu kama hicho kwa sasa. Akipiga stori na Mikito Nusunusu, Aika wa nahreel alisema watu  wanapenda kuzusha mambo wasiyoyajua na suala hilo […]

Read More..

Jux Amlilia Vanessa Mdee

Post Image

Msanii wa muziki bongo fleva Juma Jux aonyesha bado anahitaji uwepo wa aliyekuwa mpenzi wake msanii Vanessa Mdee, kwa kushindwa kuvumilia maumivu ya kuachana na kuweka bayana kwamba atafarijika sana endapo atamuona tena kwa mara nyingine. Jux amebainisha hayo kupitia ukurasa wake Instagram ambapo  ameandika ujumbe unaohusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, na kusema miaka ya […]

Read More..

Msisikilize Maneno ya Watu-Chid Benz (Video...

Post Image

Rapa Chid Benz ambaye sasa anafanya poa na wimbo wake ‘Muda’ akiwa ameshirikiana na mkongwe Q Chillah amefunguka na kuwataka mashabiki wake kutosikiliza maneno ya watu na kudai wapinzani wake wamekuwa wakimuongelea vibaya kwa lengo la kumchafua. Chid Benz anasema muda mwingine kwenye maisha yake ya kila siku amekuwa ni mtu wa utani sana kiasi […]

Read More..

Alikiba Amzungumzia Chid Benz na Sakata la ...

Post Image

Msanii Alikiba amejitosa kwenye suala la dawa za kulevya kwa kumtetea aliyekuwa swahiba wake Chid Benz kwa kusema anapofungwa mtumiaji wa dawa za kulevya ni kumtesa bali anapaswa kupelekwa katika vituo vya afya ili aweze kupatiwa tiba mbadala. Alikiba ameeleza hayo baada ya Chid Benz kukamatwa na dawa za kulevya hivi karibuni na Jeshi la […]

Read More..