Dogo Janja: Nakua na Mziki Wangu

Msanii Dogo Janja ametoa sababu inayomfanya azidi kuwa bora kwenye kazi zake, kadri siku zinavyokwenda, tofauti na wasanii wengi ambao wakitoa hit song, hushindwa kuendelea nazo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Dogo Janja amesema kwa sasa yeye anakua kiumri, hivyo hata uwezo wa kuandika mashairi yake unakua. “Mimi ninakua […]
Read More..