-->

Category Archives: BongoFleva

Harmonize: Video ya ‘Matatizo’ ...

Post Image

Msanii Harmonize kutoka katika label ya WCB Wasafi amefunguka na kusema video ya wimbo wake mpya ‘Matatizo’ inazungumzia maisha yake wakati anaitwa Rajabu kabla ya kutambulika kama Harmonize. Harmonize alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV na kudai kuna baadhi ya watu wanashangaa kuona alikuwa anaishi maisha hayo na kusema kuwa […]

Read More..

Nay wa Mitego Ahofia Kufungiwa Ngoma Hii

Post Image

Msanii Nay wa Mitego ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Saka hela’ ameonyesha wasiwasi na kuhofia wimbo wake mpya ambao utatoka siku ya Jumatatu ya tarehe 11 kufungiwa. Nay wa Mitego amesema wimbo huo ‘Pale kati patamu’ anaamini utachafua hali ya hewa tena kwa mashabiki kutokana na kile alichokiimba ndani ya wimbo huo, […]

Read More..

Afande Sele:Natamani Kuoa Tena

Post Image

Mwanamuziki mkongwe kwenye muziki wa bongo fleva Afande Sele amefunguka na kusema kwa sasa anajisikia kuoa tena baada ya muda mrefu kupita akiishi mwenyewe na kutofurahia maisha anayoishi kutokana na kukosa mke. Afande Sele siku kadhaa zilizopita alisema kuwa yupo na marafiki kadhaa wa kike ambao wanamsaidia kulea watoto wake, na kumfanya aishi akiwa na […]

Read More..

Malaika:Sitaki Tena Mpenzi wa Bongo

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Diana Exavery ’Malaika’ amefunguka kuwa kwa sasa hataki tena mpenzi Bongo badala yake akitokea mtu kutoka nje ya nchi, yuko radhi kuwa naye.   Akizungumza na Risasi Vibes, Malaika ambaye hivi karibuni alimwagana na mpenzi wake Mbongo, anayefahamika kwa jina moja la Dadi, alisema wanaume wengi wa Tanzania […]

Read More..

Babu Seya, Papii Wamwangukia JPM

Post Image

MWANAMUZIKI Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ ambao wanasota jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, wamedaiwa kusaka uwezekano wa kujinasua gerezani kwa kumuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Taarifa kutoka kwa chanzo makini zimeeleza kuwa wanamuziki hao kwa kushirikiana na ndugu zao, wamemuandikia barua […]

Read More..

Young D:Nimemrudia Mungu Sasa

Post Image

Msanii Young D ambaye siku za karibuni ameweza kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kumrudia Mungu ili kujijenga na kuzidi kujiimarisha zaidi kiimani ili asiweze kurudi gizani alikotoka. Young D amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Young D anadai kuwa alikuwa anapigana […]

Read More..

Bifu la ‘Jike Shupa’ na Shilole Mtandao...

Post Image

Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM. ‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya […]

Read More..

Mrisho Mpoto Awafungukia Wakuu wa Wilaya Wa...

Post Image

MWANAMUZIKI wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto, amewaasa wakuu wa wilaya wawatumikie wananchi wao katika wilaya walizopangiwa  katika sherehe za kuapishwa Wakuu wa Wilaya wa Jiji la Dar es Salaam. Akiimba shairi la kuwaasa wakuu hao wa wilaya katika sherehe hiyo, alisema wanatakiwa watekeleze majukumu yao na si kujibweteka na kufanya mambo mengine yasiyo na […]

Read More..

Mr Blue Awakubali Diamond na Zari

Post Image

Mr Blue amesema Diamond na Zari ndiyo couple anayoikubali zaidi. “Ukinitoa mimi na Wahyda couple ambayo naipenda, naielewa ni Zari na Diamond,” Blue alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM. “Yaani wanapendeza unajua eeh, na Mungu amewajaalia wamepata mtoto, wanashirikiana kama marafiki kwenye biashara, wanajua kucheza na akili za raia, wanaitengeneza couple yao ya […]

Read More..

20% Amerudi Tena Ndani ya ‘Kombinenga’,...

Post Image

  Mkali wa Bongo Fleva, 20%  siku ya jana alisaini mkataba chini la Label ya Kombinenga inayomilikiwa na mtayarishaji wa muziki Man Water kutoka katika studio za Combination Sound, 20% aliweza kusaini mkataba wa miaka mitano kufanya kazi chini ya Label hiyo, ambayo itakuwa ikimsimamia katika kazi zake. “Kwa upande wake 20% alisema kuwa sasa […]

Read More..

Iyobo Amtaka Aunt Ajichore Kama Shilole

Post Image

Dansa kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Moses Iyobo ‘Moze’ ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson, amemwambia mpenzi wake huyo kuwa na yeye ajichore ‘tatuu’ ya jina lake kama ilivyokuwa kwa msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kabla ya kumwagana. Moze alimwambia hayo Aunt baada ya […]

Read More..

Mapya Kutoka kwa Lady Jaydee

Post Image

Mwanamuziki mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa tayari ana album nzima iko ndani na anachofanya ni kutoa kazi moja moja kila baada ya miezi mitatu. Leo kupitia kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio. Lady Jaydee amesema album yake imekamilika na inaitwa ‘Woman’ hivyo […]

Read More..

Pichaz: Ommy Dimpoz na Wayne Rooney Wakutan...

Post Image

Akiwa nchini Hispania, mkali wa bongo fleva, Ommy Dimpoz amekutana na mchezaji nyota wa nyota wa Manchester United na timu ya uingereza, Wayne Rooney na familia yake kwenye kisiwa cha Ibiza nchini humo. Ommy dimpozi ameweka picha hizi na video mtandaoni.  

Read More..

Abdu Kiba:Wasanii wa WCB Wanabebwa na Promo...

Post Image

Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.” “Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae […]

Read More..

Ruby Amjia Juu Said Fella

Post Image

Baada ya Saidi Fella kumzulia jambo msanii Ruby ameibuka na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini ila haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video ya ngoma ya Bendi ya Yamoto. Baada ya mkubwa Fella kuzungumza na eNewz na kutufahamisha kuwa mwanadada Ruby ana msongo wa mawazo, kitu ambacho kilipelekea uongozi wa Bendi […]

Read More..

Diamond Ampa Heshima Alikiba

Post Image

Meneja wa Diamond, Babu Tale ameonyesha kuwa wao hawana tatizo na Alikiba baada ya kupost kipande cha video kinachoonyesha picha ya msanii huyo ndani ya studio ya Wasafi Records. Ni muda mrefu imezungumzwa kuwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka kupelekea kuanzishwa kwa baadhi ya team za mitandaoni za kukejeli mafanikio ya msanii wa team […]

Read More..

Video: Mtoto wa Shilole Akionyesha Uwezo Mk...

Post Image

Mtoto wa msanii wa bongo movies na bongo fleva,  Shilole anaeitwa Rahma aonyesha uwezo mkubwa wa kuimba kitendo ambacho kimemshagaza hadi shilole mwenyewe. Mtoto huyo, Rahma alionesha uwezo huo kwenye kipindi cha leo tena cha cloudsfm hivi majuzi. “Sikuwahi kujua kama mwanangu anajua kuimba leo kanisuprise”-Shilole alemadika kwenye ukurasa wake mtandaoni.  

Read More..

Kayumba Amuumbua Mkubwa Fela

Post Image

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Afrika Radio, Kayumba amesema pesa bado ipo ingawa imeshapungua, tofauti na alivyosema Mkubwa Fela, na kwamba hata ujenzi wa nyumba bado unaendelea. “Hela ipo, ingawa sio tena milioni 50 , itakuwa uwongo nikisema bado ipo milioni 50, lakini zipo siwezi kusema imebakia ngapi, si unaona napendeza nini, nyumba ipo […]

Read More..