-->

Category Archives: BongoFleva

Diamond Azima ‘Cheche’ ya Ommy Dimpoz

Post Image

Diamond Platnumz amedondosha nyimbo mpya akiwa na wakali wa raga kutoka Marekani, kundi la Heritage Morgan. Ngoma hiyo inayotambulika kwa jina la Halelujah imeonekana kupokelewa vyema na wadau wa muziki ambapo mpaka sasa katika mtandao wa Youtube imeweza kukusanya watazamaji zaidi ya laki tatu. Kama kawaida wengine wameanza kusema kuachiwa kwa ngoma hii ni sababu […]

Read More..

Alichokisema Prof. Jay Baada ya Nyumba Yake...

Post Image

Mbunge wa Mikumi kupitia CHADEMA ambaye pia ni msanii mkongwe wa bongo fleva Prof Jay, kwa Mara ya kwanza ametoa ya moyoni baada ya nyumba yake kubomolewa na TANROADS. wenye ukurasa wake wa instagram Prof Jay ameandika ujumbe akisema amejifunza kumshukuru Mungu, huku akuonyeshwa kushangazwa na kitendo cha serikali kutoheshimu uamuzi wa mahakama kama mhimili […]

Read More..

Alikiba Afungukia Ujio wa Ngoma Mpya

Post Image

Msanii Alikiba ameweka wazi mipango ya mkongwe wa muziki Abby Skillz, kuwa muda si mrefu atakuja na ngoma yake mpya baada ya ngoma yake ya ‘Averina’ ambayo alikuwa ameshirikishwa yeye pamoja na Mr Blue ambayo ilitoka mwaka jana. Abby Skillz ni kati ya wasanii ambao walidaiwa kuwa chini ya usimamizi wa Alikiba kupitia ‘Label’ yake […]

Read More..

Ben Pol: Sijafikiria Kuoa kwa Sasa

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ben Pol, amefunguka na kusema bado hajafikiria kuoa kwa sasa, kwani bado anahitaji kupambana na maisha ili kutimiza malengo aliyojiwekea. Akizungumza jana, Ben Pol alisema kupata mke mwema ni kazi, hivyo bado ana safari ndefu ya kuhakikisha anatengeneza maisha kwanza halafu ndoa ifuate. “Sijapanga kuoa kwa hivi karibuni, […]

Read More..

Shilole Adaiwa Kumtesa Uchebe

Post Image

MKALI wa miondoko ya Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ anadaiwa kumtesa mpenzi wake, Ashiraf Uchebe na kwamba imefikia kipindi anamgombeza mbele za watu kama mtoto mdogo. Kwa mujibu wa chanzo, kiliitonya Star Mix kuwa, juzikati katika Ukumbi wa Maisha Basement, Kijitonyama jijini Dar, Shilole alionekana akimkoromea Uchebe. “Yaani hadi aibu, Shilole sijui kwa nini aliamua kufanya […]

Read More..

TID Kugombea Ubunge 2020

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohamed maarufu kama T.I.D, ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni, kwenye uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwaka 2020, na kumng’oa mbunge wa sasa wa jimbo hilo Maulid Mtulia. Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, TID amesema sababu inayomsukuma kugombea nafasi hiyo […]

Read More..

Ommy Dimpoz Agoma Kuzungumzia Ishu ya Mama ...

Post Image

Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amesema hawezi  kuzungumzia ishu ya post ya mama mzazi wa Diamond katika ukurasa wake wa Instagram. Muimbaji huyo amesema kufanya hivyo ni kuamsha hisia upya kwa mambo ambayo yalishapita na hata menejimenti yake imemkataza kuzungumzia suala hilo. Katika exclusive interview na Bongo5 Ommy Dimpoz amesema asingependa kuzungumzia hayo lakini […]

Read More..

AliKiba Amefungukia Picha Zilizozagaa Mitan...

Post Image

Dar es Salaam. BAADA ya picha kadhaa kutembea katika mitandao ya kijamii ikimuonesha AliKiba akiwa na mrembo mmoja picha ikionesha wakiwa kitandani. Watu walianza kudai kuwa mrembo huyo atakuwa mpenzi wake mpya lakini AliKiba amekanusha suala hilo na kusihi mitandao ya kijamii watu kuitumia vizuri. Baadhi ya vyanzo vinasema kuwa mrembo huyo ni Dada yake […]

Read More..

Wema Sepetu Afungukia Kutajwa kwenye Nyimbo...

Post Image

Mlimbwende Wema Sepetu ambaye wengi humuita msanii mwenye nyota yake, amesema watu wanamfanyia vitu vya ajabu ili kujinufaisha likija suala la kuimba muziki, kwani kwake jambo hilo limeshindikana kabisa. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Wema amesema yeye hana mpango wa kuingia kwenye muziki, na hata wimbo wa Haitham alioshirikishwa hakuimba, lakini wamemgeuka na […]

Read More..

Mwanamke lazima uwe na nyama-Shilole

Post Image

staa mrembo wa bongo m ovie na bongo fleva, Shilole amefunguka kwa kusema kuwa mwanamke lakina uwe na maumbile manene ili kumvutia mwanaume. Shilole ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Kigori’, ameiambia XXL ya Clouds Fm kuwa siyo sifa mbaya kunenepa hasa kwa mwanamke na kitu ambacho anajivunia. “Mwanamke lazima uwe na sehemu mwanaume […]

Read More..

Nuh Mziwanda Atoboa Kilichovunja Ndoa Yake

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Nuh Mziwanda ambaye jina lake la kuzaliwa ni Naftal Mlawa, ni mmoja kati ya vijana wanaofanya vizuri katika ulimwengu wa Bongo Fleva kwa sasa. Miaka michache iliyopita, jina lake lilikuwa kubwa katika vyombo mbalimbali vya habari, lakini si kwa muziki, bali kwa uhusiano wake wa kimapenzi uliopata […]

Read More..

Kama Kweli! Diamond Ana Balaa Sasa

Post Image

MSHINDI wa Big Brother Afrika mwaka 2013 kutoka Namibia, Dillish Mathews inasemekana kuwa ni mjamzito hasa baada ya picha kuweka katika mtandao wa Instagram akiwa kashikilia tumbo huku akiuliza kuwa ni mtoto au baga? Hali hiyo imeibua mengi na watu wengi wamehisi kwamba kama Dillish ni mjamzito basi itakuwa Diamond Platnumz anahusika kwa sababu inasemekana […]

Read More..

Ben Pol Amzimikia Mwanamke Huyu

Post Image

Msanii Ben Pol amesema kitu pekee anachokiangalia kwa mwanamke ambaye ataweza kumzimikia na kuwa naye kimapenzi ni lazima awe anajiamini pindi wakiwa wanaongea au hata wakiwa wana-chat. Ben Pol amefunguka hayo baada ya kupita siku chache tokea aliyekuwa anadaiwa kutoka naye kimapenzi ambaye ni msanii wa vichekesho nchini Anastazia Kisaveli ‘Ebitoke’ kulalamika kwamba hapokelewi simu yake […]

Read More..

Mwakyembe:Bifu la Diamond na Ali Kiba wacha...

Post Image

Waziri wa habari utamaduni na michezo DKT. Harrison Mwakyembe amesema bifu la Diamond na Ali Kiba linafaa kuendelea sababu linaleta tija kwenye muziki. “Kama kuna ushindani kati ya Alikiba na Diamond ambao ni kiuweledi, kitaaluma basi mimi nafikirii tungeuendeleza zaidi, hamna sababu ya kuwasuluhisha, waendelee kushindani vizuri tupate muziki bora.” “Kwa hiyo mimi naomba Watanzania […]

Read More..

Ningekuwa Kibaka au Sheikh-Dogo Janja

Post Image

Rapa Dogo Janja mwenye hit ya Ngarenaro amefunguka kama asingekuwa mwanamuziki na kupata mafanikio basi angekuwa mwizi au sheikh kutokana na maisha aliyoishi huko awali. Akizungumza kwenye Top 20 ya East Africa Radio, ndani ya Back stage, Dogo Janja amesema kuwa  kama asingefanikiwa kwenye muziki basi kwenye maisha yake angeendelea na kuiba au angebadilika na […]

Read More..

Msikie Rais wa Manzese Akifunguka

Post Image

MASHABIKI wa muziki wa kizazi kipya nchini wamekuwa na mitazamo tofauti juu ya ukimya wa Tip Top Connection na kuamini limekufa baada ya bosi wao, Babu Tale kukimbilia WCB kupiga hela. Rais wa Manzese, Madee amemkingia kifua bosi wake huyo na kufunguka kuhusu kundi hilo lililowaibua nyota mbalimbali wanaotamba nchini kwa sasa. Madee anasema watu […]

Read More..

Zari The Boss Lady Alitambua Kitambo Usalit...

Post Image

UHUSIANO imara wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ umeanza kulega lega baada ya kutikiswa vibaya na mwanamitindo, Hamisa Mobetto. Kapo hiyo yenye wafuasi wengi Afrika Mashariki imefanya mambo lukuki ya maendeleo, siyo kwenye mapenzi tu bali uhusiano wao umeingia mpaka katika kazi na […]

Read More..

Ben Pol Afungukia Ishu ya Ebitoke

Post Image

Msanii Ben Pol ambaye inasemekana alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mchekeshaji Ebitoke, sasa hivi anaonekana kumuepuka msanii huyo kwa sababu ambazo hazijajulikana kwa haraka, kitendo kinachoonesha kumuumiza kihisia Ebitoke. Ben Pol ambaye alitafutwa kwa kipindi kirefu na mwandishi wetu na kufanikiwa kumpata kwa shida kutokana na ubize aliosema  anao kwa kipindi hiki, alipomueleza kwamba anataka kuzungumzia […]

Read More..