-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wema Anatutoa Shimoni – Aunty Ezekiel

Post Image

Msanii wa filamu bongo Aunty Ezekiel, amejivunia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni rafiki yake mkubwa Wema Sepetu, kuzindua filamu ya Heaven Sent kwa aina ya kipekee, na kusema huenda likawa tumaini jipya kwa bongo movie. Akizungumza kwenye uzinduzi wa filamu hiyo uliofanyika katika ukumbi wa sinema jijini Dar es salaam, Aunty Ezekiel amesema […]

Read More..

Imenichukua Muda Kujikubali – Ebitoke

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini Ebitoke amefunguka na kusema imemchukua muda mrefu sana yeye kuikubali hali yake kama msanii wa kuchekesha na muonekano wake huo aliyonao sasa anapokuwa anachekesha. Ebitoke amesema kuwa mwanzo yeye alikuwa ni muigizaji wa filamu ambaye alikuwa anaigiza ‘serious movie’ na hakutegemea kama angekuja kuwa mchekeshaji kwani hakuwahi kujua kama yeye ni […]

Read More..

Wema Sepetu Kuachia Filamu ya Mil. 40 Leo

Post Image

STAA ‘grade one’ kunako filamu Bongo, Wema Sepetu amewajibu watu wanaoendelea kumsema kuwa hajui kuigiza kwamba, wajaribu kutupia jicho la tatu kwenye filamu yake mpya ya Heaven Sent ambayo inatoka leo (Ijumaa) ikiwa imetengenezwa kwa gharama ya shilingi milioni 40.   Akizungumza na Ijumaa, Wema alisema kuwa ameamua kutumia kiasi kikubwa cha pesa ili filamu […]

Read More..

Matuta Yalifanya Nijifiche -JB

Post Image

MSANII nguli wa filamu za Bongo na shabiki wa klabu ya Simba, Jacob Steven ‘JB’, amesema wakati timu yake ilipoingia hatua ya matuta katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Taifa juzi, hakuweza kuangalia na badala yake alijificha. Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya mchezo huo kumalizika, JB alisema pamoja […]

Read More..

Nawaonea Huruma Wanaume- Wolper

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka na kusema hawezi kutoka kimapenzi na wanaume ambao wameoa kwa madai anahofia wanaweza wakatelekeza familia zao kwa maana yeye akichukua kitu huwa hawi lelemama hata kidogo. Wolper amebainisha hayo wakati akipiga stori na mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo ya East AFrica Radio, Big Chawa na […]

Read More..

Jackline Wolper Kwenda Jela

Post Image

Msanii wa filamu za bongo ambaye kwa sasa ni mjasiriamali mkubwa, Jackline Wolper, amekula kiapo cha kwenda jela iwapo mtu yeyote atamtolea maneno machafu mzazi wake. Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Wolper amesema yeye kwa kawaida ni mpole lakini iwapo mtu atafanya kitu kibaya juu ya familia yake, hatofikiria […]

Read More..

Senga Atoboa Siri Anavyopiga Mkwanja

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe, Ulimboka Mwakisikye ‘Senga’ amesema kwa sasa sanaa imekuwa ngumu hivyo kitu pekee kinachomuingizia pesa ni kufanya vichekesho vya majukwaani huko mikoani pamoja na kualikwa kwenye shughuli mbalimbali za kijamii hivyo kulipwa chochote kidogo ili kuyasongesha maisha. Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni kupitia simu ya mkononi, Senga ambaye alidai yupo wilayani Kahama, […]

Read More..

Steve Nyerere ataka mvutano wa Diamond, Ali...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Steve Nyerere ametoa ushauri kwa kile kinachoendelea kati ya Diamond Platnumz, Alikiba na Ommy Dimpoz kwenye mitandao ya kijamii. Wasanii hawa wa Bongo Flava wamekuwa wakitupiana maneno yenye mafumbo katika mitandao ya kijamii tangu Diamond aliposhirikishwa katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’ ambayo ilitoka hiyo juzi na kudaiwa kuna […]

Read More..

Wema Sepetu Asaka Mtu Wakutoka Naye

Post Image

Msanii wa filamu wa kike bongo Wema Sepetu ambaye wengi humtaja kuwa msanii mwenye nyota ya kupendwa na mashabiki, amefunguka kuwa anasaka mtu atakaye toka naye usiku wa uzinduzi wa filamu yake.   Kwenye ukurasa wake wa Instagram Wema Sepetu amendika ujumbe wa kumtafuta mtu huyo atakayekuwa naye usiku huo, kwani akisema raha ya tukio […]

Read More..

Uwoya: Huu Ndiyo Ukweli wa Mimi na Ndiku

Post Image

DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya aliyekuwa mume wa ndoa wa muigizaji nyota, Irene Uwoya aitwaye Hamad Ndikumana kutema povu kubwa katika mitandao ya kijamii, akimsema vibaya mzazi mwenzake huyo, mrembo huyo naye ameibuka na kuanika kile alichodai, ni ukweli kuhusu wawili hao, Risasi Mchanganyiko linaripoti. HUYU HAPA IRENE UWOYA Risasi Mchanganyiko lilifanya jitihada […]

Read More..

Uwoya: Filamu za Bei Rahisi ni Tatizo!

Post Image

MASHABIKI wengi wa sinema za Kibongo wanaamini kuwa fani hiyo imekosa ubunifu na mwelekeo, hasa baada ya kifo cha nyota wake, Steven Kanumba ‘The Great’ ambaye alionekana kama mtu mwenye hamu ya kufanya mambo makubwa.   Lakini ifahamike kwamba, hata wakati Kanumba akiwemo, tasnia hiyo ilikuwa na changamoto nyingi, zote zikisababisha kutetereka kwa soko lake na mashabiki […]

Read More..

Siwezi Kumuacha Ray – Johari

Post Image

Msanii nguli wa filamu ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu Bi. Blandina Chagula, ameweka wazi mahusiano yake na muigizaji mwenzake Vicent Kigosi, ambaye wanamiliki kampuni moja ya filamu. Akizungumza na mwandishi wetu Johari amesema hawezi kuvunja mahusiano yake na Ray ambaye kwa sasa yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji mwengine Chuchu Hansa, kwani wana […]

Read More..

Steve Nyerere: Siku Nikifa, Wataomba Msamah...

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania Steve Nyerere ambaye pia ni mwanachama maarufu wa Chama cha Mapinduzi, amefunguka ya moyoni juu ya watu wake wa karibu, huku akisema siku akifa hawataamini na huenda ikawa wameshachelewa kuyafanya ya muhimu ju yake. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Steve Nyerere ameweka post huku akiweka picha za watu mbali mbali maarufu […]

Read More..

JB Ajiweka Pembeni, Aanzisha Barazani Enter...

Post Image

MSANII mkongwe wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ametangaza kujiengua katika uigizaji na sasa ameanzisha Taasisi ya Barazani Entertainment ili kulinda heshima yake. Katika mahojiano maalum katikati ya wiki hii, JB ambaye anachukuliwa kama mmoja wa waigizaji mahiri kuwahi kutokea, hajaondoka moja kwa moja katika filamu bali amebadili nafasi na sasa atakuwa msambazaji. “Nimeshakuwa muigizaji […]

Read More..

Nimepata Pakufia- Shilole

Post Image

Msanii Shilole ‘Shishi Trump’ amefunguka kwa kudai yupo katika maandalizi yake ya mwisho ya kuolewa huku akiwasisitizia mashabiki zake kuwa safari hii hakuna maneno mengi kama zamani kwa kuwa amepata haja ya moyo wake. Shilole amebainisha hayo baada ya baadhi ya mashabiki zake kutomuamini kwa kauli zake kwa kuwa mara nyingi ameonekana kuwa mwenye ‘drama’ […]

Read More..

Kilio chetu kimesikika- JB

Post Image

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen ‘JB amefunguka na kudai wamepata mkombozi katika usambazaji wa kazi zao za filamu huku akiwataka mashabiki zake kukaa mkao wa kula wa kupokea kazi mpya kutoka kwake baada ya kukaa kimya kipindi kirefu. JB amebainisha hayo wakati akizungumza na mashabiki zake kupitia ukurasa wake wa ‘Instagram Live’ na kusema baada […]

Read More..

Mzee Majuto Aanika Mafanikio Aliyoyapata kw...

Post Image

Msanii wa vichekesho Mzee Majuto amefunguka na kusema sanaa imembadilisha maisha na kudai ameweza kujenga nyumba kubwa tatu, ameweza kununua magari matano pamoja na kumiliki shamba lenye ukubwa wa ekari tano. Mzee Majuto amedai kuwa ameanza kufanikiwa katika sanaa baada ua kuanza kujitegemea mwenyewe kwenye kazi zake, hivyo amedai kwa mafanikio ambayo amepata sasa inatosha […]

Read More..

Uamuzi pingamizi kesi ya Wema kutolewa Agos...

Post Image

Dar es Salaam. Uamuzi wa kupokea au kutopokea kielelezo cha ushahidi cha msokoto mmoja wa bangi na vipisi viwili vya bangi katika kesi inayomkabili mlimbwende wa Tanzania 2006, Wema Sepetu utatolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mwisho wa mwezi huu. Hakimu Mkazi Mkuu,Thomas Simba amesema uamuzi huo ulipaswa autoe leo, lakini bado kuna tafiti […]

Read More..