Kajala Atoa Tamko Rasmi la Ndoa Yake

SUPASTAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ ametoa tamko rasmi kuhusu ndoa yake na mumewe, Faraji Chambo akisema kuwa hana mpango wa kurudi tena kwenye ndoa hiyo kwa kuwa hata mumewe huyo alipotoka gerezani hakuwa na muda wa kumtafuta yeye kama mkewe. Kajala aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, kama mume, ni lazima angefanya taratibu za […]
Read More..