Shilole Amtesa Nuh kwa Tatuu

Kama huna taarifa basi kaa ukijua kuwa, lile penzi lililokuwa na sarakasi nyingi, mara wafumaniane, mara wapigane, mara waachane sasa limefikia mwisho kama siyo kikomo. Nawazungumzia mastaa wawili, Nuh Mziwanda na Shilole ambao wametangaza rasmi kwamba kila mmoja kuwa na hamsini zake. Shilole amesema kuwa, haoni sababu ya kuendelea na Nuh kwa kuwa anahisi anambana […]
Read More..