-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Shilole Amtesa Nuh kwa Tatuu

Post Image

Kama huna taarifa basi kaa ukijua kuwa, lile penzi lililokuwa na sarakasi nyingi, mara wafumaniane, mara wapigane, mara waachane sasa limefikia mwisho kama siyo kikomo. Nawazungumzia mastaa wawili, Nuh Mziwanda na Shilole ambao wametangaza rasmi kwamba kila mmoja kuwa na hamsini zake. Shilole amesema kuwa, haoni sababu ya kuendelea na Nuh kwa kuwa anahisi anambana […]

Read More..

Davina: Nimezaa Sijazeeka na Bado Nalipa

Post Image

Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa kuzaa siyo kuzeeka kama wasanii wengine wanavyodhani bali ni kupata heshima na kupendeza kama alivyonawiri yeye. Akizungumza na Ijumaa, Davina alisema kuwa yeye ni mama wa watoto lakini kila kukicha anazidi kupendeza na kuonekana ‘kigori’ tofauti na watu wanavyodhani. “Unajua kuna baadhi ya watu wanadiriki […]

Read More..

Kumteka Mwanamke Mwenye Mapenzi ya Kweli ni...

Post Image

“Kumteka mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni rahisi sana kuliko wengi wanavyofikiri, ni vitu vidogo tu, muonyeshe mapenzi ya kweli, muweke wazi kwa kila kitu chako,jiamini hata km huna uwezo sana, mjali na umpende, ukifanya hayo umeishika roho yake, walimwengu wataongea yao, watapiga kelele hatoona wala kusikia, lkn ukimdnganya na ukamletea maisha feki, na ukadhani […]

Read More..

Wolper Akanusha Kuihama CHADEMA na Kukataa ...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jacqueline Woper ambaye alikuwa msatari wa mbele kumpigia kampeni aliekuwa mgombe urasi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye uchaguzi wa mwaka jana, Mh. Edward Lowassa amekanusha habari iliyoripotiwa na moja ya magazeti ‘pendwa’ kuwa kwa sasa staa huyo ameshajitoa CHADEMA na hataki tena kuitwa mtoto wa Lowassa ‘Jacqueline […]

Read More..

Zari: Sina Haja ya Kupima DNA,Tiffah ni Mto...

Post Image

Kwa wiki kadhaa kwenye kwenye mtandao wa Instagram kumekuwa na majibishano ya vijembe kati na Wema Sepetu na Zari hasa kuhusiana na uhalali wa mtoto wa Tiffah kama ni wa Diamond. Zari amepiga stori na @cloudsfmtz moja kwa moja kutoka Sauz. ‘’Ngoja nikwambie kitu mimi ni mzazi ni muda mrefu Wema na timu yake wamekuwa […]

Read More..

Wema Adai Kuwa Kajala ni Mtu Mzima Fulani ...

Post Image

Wema Sepetu amesema hataki tena kuwa karibu na rafiki yake wa zamani Kajala Masanja kwa madai alishindwa kumtafuta na kumuomba msamaha kwa makosa aliyoyafanya.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Wema alisema Kajala kwa sasa anamchukulia kama mtu asiyemfahamu. “Mimi mtu ambaye sitaki kujiassociate naye namtoa kabisa ndio maana naweza nikakaa […]

Read More..

Nililipwa Elfu 50 Kwenye Filamu Yangu ya Kw...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema licha ya sasa hivi kumiliki kampuni yake ya filamu, pesa yake ya kwanza kulipwa katika filamu ilikuwa ni shilingi 50,000. Nisha ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wenye mafanikio kwenye filamu, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo […]

Read More..

RJ Mbioni Kudondosha ‘Tajiri Mfupi’-Ray

Post Image

  Muigizaji mkongwe na mkurugenzi wa kampuni ya RJ inayojihusisha na utengenezaji wa filamu hapa bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amedokeza kuwa kwa sasa kampuni hiyo ipo mbiyoni kuachika filamu yao mpya inayokwenda kwa jina la TAJIRI MFUPI. ‘Kampuni yako ya kizalendo nchini Tanzania RJ company (Best Quality Ever!) ipo mbioni kudondosha mzigo wa kufa mtu […]

Read More..

Picha: Riyama, Muhogo Mchungu na Kazi Mpya ...

Post Image

Staa wa bongo movies anayesifiwa kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zake, Riyama Ally ameshare nasi picha hii kupitia ukurasa wke mtandaoni akiwa Kibaha na waigizaji wenzake ambapo riyama aliezega kuwa wapo kazina wafikanya kazi yake mpya.   “Riyamaally#Mkegani mke wa #kazibure damwan kazini wapendwa wangu #kibaha Kwa mfipa…..!!! #bi* damwan #kakamuhogomchungu @senatormsungu @barafusuleiman @mwanaher @cutyhassan […]

Read More..

Wadau Wataka Ofisi ya Bodi ya Filamu Iwe Ba...

Post Image

VIONGOZI wa vyama na mashirikisho mbalimbali ya sanaa wakishirikiana na wadau mbalimbali wameliomba Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kuipatia ofisi Bodi ya Filamu katika jengo la Baraza hilo ili kurahisisha utendaji wake. Pia viongozi hao wameliomba Baraza hilo lirudishe ofisi za mashirikisho ya vyama vya sanaa katika jengo lake ili vyama hivyo viwe na […]

Read More..

Bila Kujuana Bongo Kutoka ni Kazi- Mai

Post Image

MSANII chipukizi wa Filamu Bongo Maimuna Salum ‘Mai’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii chipukizi kupata nafasi za kuigiza ni mtihani kwani bila kujuana na Muongozaji au mtayarishaji inakuwa si rahisi kupewa nafasi kucheza nafasi kubwa japo katika malipo napo kuna changamoto zake. “Tunaipenda sanaa lakini kuna changamoto kubwa sana kwani kama hauna urafiki na Director […]

Read More..

Wema Sepetu Awafunda Wabunifu Chipukizi

Post Image

MISS Tanzania 2006, ambaye pia ni mwigizaji wa filamu za bongo, Wema Sepetu, amewataka wabunifu chipukizi wa mavazi na mitindo nchini walitumie vizuri jukwaa la mitindo la Lady In Red Fashion Show 2016, ili wafikie malengo waliyojiwekea. Wema alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza nao kuhusiana na onyesho litakalofanyika Januari 31, katika ukumbi wa Danken House, […]

Read More..

Kajala Adaiwa Kunasa Ujauzito wa Kigogo

Post Image

DAR ES SALAAM: Good news? Huenda mambo yanaweza yakawa yamejipa kwa mwigizaji Kajala Masanja ‘Kay’ kwani kuna taarifa zinadai kuwa mwigizaji huyo amenasa mimba ya kigogo serikalini. Chanzo makini kilicho karibu na staa huyo ambaye ana mtoto mmoja aliyezaa na prodyuza mkongwe Bongo, Paul Matthysse ‘P Funk’ (Paula), kimepenyeza ubuyu huo kuwa Kajala ana mimba […]

Read More..

Filamu ya Kiboko Kabisa ni Zawadi kwa Funs ...

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Salma Jabu ‘Nishabebee’ amesema moja ya sababu ya yeye kuwa mahiri ni kutokana na kuwasikiliza mashabiki zake wanahitaji sinema gani ndio imemfanya asishuke na kuwa nyota na kwa kuliona hilo anakuja na filamu ya Kiboko Kabisa kuukaribisha mwaka 2016. “Nimejifunza kitu wapenzi wa filamu zetu wanalalamika kuhusu hadithi zetu […]

Read More..

Kujiunga na Vyama vya Filamu ni Lazima- TAF...

Post Image

RAIS wa shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amewataka wadau wote wa filamu kuhakikisha wanajiunga na vyama vya ambavyo vinajihusisha na utengenezaji wa filamu kwani ni lazima na wala si suala la hiari tena. “Kwa sasa tutakuwa wakali sana lazima tuwe na mfumo unaofuata sheria hakuna mtu ambaye ataweza kufanya kazi bila kuwa na […]

Read More..

Vita Kali ya Maneno Mtandaoni Kati ya Zari ...

Post Image

Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu. Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea? Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema […]

Read More..

Ndauka Aingia Kwenye Usimamizi wa Muziki

Post Image

Mwigizaji Rose Ndauka amesema kuwa, baada ya kuguswa sana na kuoa vipaji kwa wasanii wengi chipukizi, ameamua kuwekeza katika kusimamia vipaji hivyo kuhakikisha kuwa anatimiza ndoto zao za kufanikiwa kisanaa, akisimama kama Meneja. Rose amesema kuwa, kwa sasa ana wasanii wanaofikia 10, akiweka wazi kwa mashabiki wake kuwa ataanza rasmi kwa kumtambulisha msanii wake wa […]

Read More..

Mititu Aelezea Jinsi Marehemu Edwin Semzaba...

Post Image

Kufuatia kifo cha mwandishi wa vitabu vya Kiswahili kikiwemo, Ngoswe: Penzi Kitovu cha Uzembe, Edwin Semzaba amefariki dunia jana Jumapili ya January, 17, muongozaji na mtengenezaji wa filamu maarufu hapa bongo, Willium Mtitu kupitia ukurasa wake mtandaoni alieza jinsi alivyoguswa na msiba huo. Pumzika kwa amani mwalim mimi ni mmoja kati ya watu aliyefamikiwa kuongoza(KUDIRECT)mchezo […]

Read More..