Vijana Wawili Jela Miaka Mitatu Kwa Kuduruf...

Mahakama ya wilaya ya Ilala imewahukumu vijana wawili sayi kapama na Rigobert Massawe miaka3 jela au kulipa faini ya laki sita kwa kosa la kudurufu na kusambaza kazi za sanaa kinyume na sheria. Akisomea mashitaka hayo na karani Plasidia Namalla, mbele ya hakimu Adolf Sachore, katika kesi iliyofunguliwa kwa jarada 240/ 2013. Watuhumiwa hao walikamatwa […]
Read More..