-->

Category Archives: Other News

VIDEO:Mwakyembe Alivyozidiwa Ujanja na Agne...

Post Image

Waziri wa Sheria na Katiba Dkt. Harrison Mwakyembe ameendelea kufunguka jinsi alivyokwama kudhibiti upitishwaji wa dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam wakati alipokuwa Waziri wa Uchukuzi hadi kuzidiwa kete na Agnes Masogange. Waziri Mwakyembe akiwa kwenye kipindi cha East Africa Breakfast amesimulia kilichotokea wakati alipotaka kumdhibiti binti mmoja aliyedaiwa kupitisha […]

Read More..

Haya Ndiyo Magari Anayopenda Mzee wa Upako

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar es Salaam, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye anapenda sana magari na katika magari hayo yeye anapendelea zaidi magari makubwa makubwa. Akiongea kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kwenye ukurasa wa facebook wa EATV, Mzee wa Upako alisema kuwa hapendi kabisa “vigari vidogo vidogo” na […]

Read More..

Yusufu Manji Afikishwa Mahakamani Kisutu,Ap...

Post Image

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Yusufu Manji amepata dhamana baada ya kusomewa shtaka moja la kutumia dawa za kulevya aina ya heroine. Manji amesomewa shtaka hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya wakili wake Alex Mgongolwa kuiomba dhamana na Jamhuri kusema haina pingamizi kwani shtaka hilo linadhaminika. Hakimu Cyprian Mkeha amesema Manji atakuwa […]

Read More..

Diva wa Clouds FM Afunguka Kumtamani Alikib...

Post Image

Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa katika mastaa wa muziki Alikiba ndiye msanii ambaye anatamani kudate naye. Diva ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji Heri Muziki, alikuwa host wa show ya Valentine’s Day iliyofanyika Jumatano hii katika ukumbi wa Next Door na kuhudhuriwa […]

Read More..

VIDEO: Manji Akitoka Hospitali Aje Aripoti ...

Post Image

Dar es Salaam.Ofisi ya uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imemtaka mmiliki wa Quality Plaza, Yusufu Manji kuripoti uhamiaji mara baada ya kutoka hospitali alikolazwa. Ofisa uhamiaji wa mkoa huo, John Msumule ametoa taarifa hiyo leo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari. Amesema Manji anatakiwa kufanya hivyo kwa kudaiwa kuwa ameajiri watu wanaoishi nchini kinyume […]

Read More..

JPM Atema Cheche Waliofungwa kwa Dawa za Ku...

Post Image

Serikali imesema kamwe haitawatetea Watanzania wanaotumikia vifungo katika magereza mbalimbali nje ya nchi kutokana na kujihusisha na dawa za kulevya. Pia imesema itakachokifanya ni kuzishauri serikali za nchi husika kutekeleza hukumu dhidi ya Watanzania hao kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi husika. Msimamo huo wa serikali umetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano […]

Read More..

Manji Atoka Polisi kwa Gari la Wangonjwa

Post Image

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Yusuf Manji ametolewa kwenye Kituo Kikuu cha Polisi muda mfupi uliopita na kupandishwa kwenye gari la wagonjwa ambalo lilipita Barabara ya Sokoine kuelekea Posta Mpya. Mwandishi wa Mwananchi alikuwa eneo hilo ameshuhudia Manji akipanda gari hilo la Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) lakini hawakufahamu mara moja alikoelekea. […]

Read More..

Rais Afanya Uteuzi Mamlaka ya Kupambana na ...

Post Image

 

Read More..

Mzee wa Upako Afunguka Askofu Gwajima Kutaj...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ ameshauri kuwapo kwa utaratibu maalumu wakati wa kuwaita kwa mahojiano watu wanaoitwa kwa mahojiano kuhusu dawa za kulevya. Mzee wa Upako alisema hakukuwa na umuhimu wa vyombo vya habari kuhusika katika kuwataja watu hao hasa viongozi wa dini, bali wangeitwa kwa barua maalumu. Alisema […]

Read More..

Kamanda Sirro: Mbowe Asiporipoti Tutamfuata

Post Image

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya hudhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji kumhoji. Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa […]

Read More..

Mkalimani Feki wa Mtalii Anaswa

Post Image

Mwongoza Watalii (Guide), ambaye anadaiwa kupotosha tafsiri ya matamshi ya mtalii aliyekuwa amemaliza kutembelea Mamlaka ya Bonde la Ngorongoro (NCAA), ametiwa mbaroni. Video ya mwongoza watalii huyo, ilianza kusambaa katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita, na kuzua taharuki katika sekta ya Utalii nchini,huku wadau wengi wakitaka asakwe na kukamatwa. Katika video hiyo, mtalii huyo ambaye […]

Read More..

Viongozi wa Dini Waunga Mkono Juhudi za Mak...

Post Image

Baraza la viongozi wa dini la kupambana na dawa za kulevya Tanzania linaunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupambana na dawa za kulevya. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam Jumatano hii, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa […]

Read More..

Gwajima Atinga Central Polisi Dar na Kundi ...

Post Image

Askofu Josephat Gwajima ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi  ili kuhojiwa baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kumtaja jana kwenye sakata la madawa ya kulevya. Gwajima alikuwa wa pili kuwasili kituoni hapo miongoni mwa wale 65 waliotajwa jana ambapo Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji aliripoti mapema majira ya saa 4:30 […]

Read More..

Mimi ni Mhanga wa Dawa za Kulevya Mwaka 199...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ amejitaja kuwa ni mmoja kati ya watu mashuhuri ambao wamewahi kutuhumiwa kuhusika na biashara ya dawa za kulevya. Gwajima amefunguka na kusema kuwa yeye ni mhanga wa suala hilo jambo ambalo lilimpa wakati mgumu sana katika maisha na kumfanya kunyanyapaliwa na […]

Read More..

Rais Dkt Magufuli Afanya Ziara ya Kushtukiz...

Post Image

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza ujenzi uwanja wa ndege na kukuta kazi zimelala  

Read More..

VIDEO: Manji Asema Atakwenda Polisi Kesho

Post Image

Mfanyabiashara Yusufu Manji amesema kuwa atakwenda Kituo cha Polisi kesho kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alivyotaka. Manji amesema kuwa pamoja na kuwa Makonda ametaka wafike Ijumaa yeye atakwenda kesho huku akihoji kuwa inawezekanaje wakaitwa watu 65 kuhojiwa kama hakuna shughuli za kufanya kwa siku nzima. Amesema atakwenda polisi lakini pia […]

Read More..

Audio:Mbowe, Gwajima, Manji Watuhumiwa Kuhu...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam leo ameingia awamu ya pili ya kupambana na dawa za kulevya na ametaja watu wanaotuhumiwa kuhusika na dawa za kulevya kwa namna moja ama nyingine. Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Mchungaji Josephat Gwajima ni miongoni wa watu waliotajwa katika tuhuma hizo na kuwataka kuripoti kituo kikuu cha […]

Read More..

VIDEO: Tusifanye Siasa Kwenye Vita ya Madaw...

Post Image

Mbunge wa Bunda Mjini Mh. Ester Bulaya amefunguka na kutaka siasa isiingizwe kwenye vita ya madawa ya kulevya na kusema viongozi wasimdanganye Rais Magufuli ili kujihakikishia vyeo vyao au nafasi zao katika uongozi. Ester Bulaya ametoa rai hiyo leo bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa taarifa za kamati na kusema Rais anapaswa kuambiwa ukweli ili waweze […]

Read More..