-->

Category Archives: Other News

Waziri Mwakyembe Akutana na Uongozi wa Simb...

Post Image

Waziri wa Habari,Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu ya Simba nchini. Waziri Mwakyembe ameonana na uongozi huo ofisi kwake mjini Dodoma, Ukiongozwa na Rais wa klabu hiyo, Evans Maveva ambapo uongozi huo umetii wito wa Mheshimiwa Mwakyembe, ili kujadili mambo mbalimbali yanayohusu mpira wa miguu, zikiwemo fursa na […]

Read More..

Mwili wa Mbunge wa Chadema Wawasili -VIDEO

Post Image

Dar es Salaam.Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson leo Alhamisi ameongoza mapokezi ya mwili Mbunge wa viti maalumu (Chadema) Dk Elly Macha. Dk Macha alifariki dunia Machi 31 mwaka huu katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton nchini Uingereza alikokuwa akitibiwa. Baadhi ya viongozi waliokuwepo wakati mwili huo ukiwasili, […]

Read More..

VIDEO:Upendo Nkone amuangukia JPM akiomba u...

Post Image

Mwanamuziki wa injili, Upendo Nkone amesema yuko tayari kutumikia nafasi ya ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania endapo  Rais Magufuli atamteua. Akiwa katika kipindi cha Kikaangoni cha EATV, Upendo alisema, anaamini ametumwa na Mungu kufikisha ujumbe wake kupitia uimbaji, lakini pia yuko tayari kuitumikia jamii kupitia nafasi ya ubunge, na kuweka wazi […]

Read More..

Kamati ya Bunge Kujadili Usalama wa Nchi -V...

Post Image

Dodoma. Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama leo mchana itakutana ili kujadili masuala ya kiusalama ikiwamo ya kuuawa kwa polisi na raia nchini.   Spika wa Bunge, Job Ndugai ameyasema hay oleo baada ya kipindi cha maswali na majibu alipokuwa akijibu muongozo wa Mbunge wa Bukombe, (CCM) Dotto Bitteko. Polisi wanane […]

Read More..

Rais Magufuli Ashiriki Ibada ya Pasaka, Awa...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea. Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi. Taarifa iliyoletwa na Kurugenzi ya Mawasiliano […]

Read More..

Sakata la Filamu za Nje: Makonda Amueleza H...

Post Image

Jumamosi hii Rais John Pombe Magufuli alikuwa katika uzinduzi wa mabweni ya Chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) ambapo Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alipata fursa ya kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea ndani ya mkoa wake na kuzungumzia ishu ya operesheni yake mpya ya kupiga vita filamu za nje ambazo hazilipi […]

Read More..

VIDEO:Nasubiri Ripoti ya Wafanyakazi 9000 w...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati Jumamosi hii akizindua majengo ya Hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) amefunguka kwa kusema kuwa anasubiri ripoti ya wafanyakazi wa Serikali zaidi ya elfu tisa ambao wanatumia vyeti vya kufoji. Rais Magufuli amesema kumekuwa na changamoto kubwa katika kila sekta […]

Read More..

Video: Mwigulu Awaongoza Wananchi Kuwaaga P...

Post Image
Read More..

Waziri Nchemba Awasili Eneo Yalipotokea Mau...

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewasili eneo yalipotokea mauaji ya askari wanane katika kijiji cha Jaribu, Wilayani Kibiti. Waziri Nchemba ameambatana na naibu wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni. Nchemba atatembelea kambi za askari polisi wa kanda ya Pwani na katika kata ya Bungu wilayani Kibiti. Mwananchi

Read More..

Polisi Wadaiwa Kuuawa kwa Risasi Kibiti

Post Image

Ikwiriri. Polisi saba waliokuwa doria katika Kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya za Rufiji na Kibiti mkoani Pwani, wanadaiwa kuuawa usiku huu kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika. Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo, lakini akasema taarifa zaidi zitatolewa na kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani. Taarifa […]

Read More..

Askofu Gwajima Afutiwa Kesi ya Kumtolea Man...

Post Image

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima katika kesi ya kutoa lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo. Gwajima ameachiwa huru leo baada ya mahakama kuifuta kesi hiyo kwa sababu upande wa Jamhuri […]

Read More..

VIDEO:Waziri Mwakyembe Atoa Sababu za Kuwep...

Post Image

Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia, Jumanne hii alipata nafasi ya kusimama bungeni Dodoma ambapo alielezea kushangazwa na kitendo cha Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari na rapper Roma aliyetekwa hivi karibuni na watu wasiojulikana. Hatimaye Dkt Mwakyembe, Jumatano hii amesimama bungeni kujibu hoja hiyo. “Nianze […]

Read More..

VIDEO: Mbunge Ali Kessy Amshambulia Roma Mk...

Post Image

Mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Mohamed Keissy amefunguka na kusema wasanii ambao wanaandika nyimbo za kumtukana na kumkashfu Rais Magufuli wanapaswa kupata kibano zaidi ili waache tabia hiyo. Mbunge huyo amesema hayo leo bungeni na kusema angeaachiwa yeye dakika mbili tu wangeona ni nini angewafanya, hivyo kuendelea kuwatetea […]

Read More..

Mwenyekiti wa Freemanson Azikwa kwa Kuchomw...

Post Image

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji Chande maarufu kama Andy Chande, umeteketezwa leo Kijitonyama, jijini Dar es Salaam kupitia tukio lililodumu kwa takribani saa moja. Mwili huo umeteketezwa kwa moto kupitia ibaada iliyofanyika kwenye nyumba maalumu inayotumika kama sehemu ya maziko ya waumini wa dini ya Hindu. […]

Read More..

VIDEO:Bashe, Sugu Wataka Bunge Lijalidi Ute...

Post Image

Dodoma. Wabunge wawili wa CCM na Chadema wametaka Bunge liahirishne shughuli zake mara moja na kutoa nafasi kwa wabunge kujadili suala la utekwaji wa raia nchini. Wabunge hao ni Hussein Bashe(Nzega Mjini) na Joseph Mbilinyi(Mbeya Mjini)wameomba mwongozo wa Spika kuhusu suala hilo leo asubuhi. Bashe amesema ni muhimu suala hilo likajadiliwa kwani iko orodha ya […]

Read More..

Maalim Seif: Hakuna CUF ya Maalim wala CUF ...

Post Image

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama hicho kitaendelea kufanya mambo kiungwana kwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani na kuwa hakuna CUF ya Maalim Seif wala CUF ya Lipumba.   Akizungumza na waandishi wa habari leo, Maalim Seif alisema CUF inatimiza wajibu wa kutunza amani na iwapo kingetaka […]

Read More..

Nape Nnauye Asimulia Maneno Haya Aliyoambiw...

Post Image

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye leo April 9 2017 amekutana na wazee wa jimbo la Mtama na kuzungumza nao. Kati ya vitu amezungumza ni pamoja na kusimulia kipindi alipoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Masasi na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete.   Millardayo

Read More..

Simu Yamponza Aliyejitosa Baharini

Post Image

Zanzibar. Msichana aliyejirusha baharini juzi, alikimbia kwao Zanzibar baada ya kukutwa na simu kinyume na utamaduni wa familia yao. Msichana huyo, ambaye jina tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili kutokana na kuwa na umri mdogo, alikuwa amepanda boti ya Kilimanjaro iliyokuwa ikisafiri kwenda Zanzibar juzi na alijirusha katika Bahari ya Hindi saa 5:15 asubuhi. Picha za […]

Read More..