VIDEO: Zitto Afungukia Uteuzi wa Kitila Mku...

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo,Zitto Kabwe anasema walifanya mashauriano kama chama ikiwemo Kitila Mkumbo, chama kimepokea uteuzi wa Kitila kuwa katibu mkuu. Uteuzi unaonyesha upinzani kuna watu wenye uwezo, weledi na uzalendo wa kuweza kutumika katika utumishi wa Umma. Zitto: Kitila ni mtumishi wa umma kwa sababu ni mhadhiri wa chuo kikuu cha […]
Read More..