-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Ujumbe wa Haji Manara Kwa Wema Sepetu

Post Image

Manchester United jana imeendelea kutengeneza njia ya kuignia kwenye nafasi nne za juu baada ya kuifunga Chelsea mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ kwenye Uwanja wa Old Trafford. Baada ya mechi hiyo msemaji wa timu ya Simba, Haji Manara  ambae mara kadhaa ameonesha kumkubali sana muigizaji Wema Sepetu alisema hivi […]

Read More..

VIDEO:Upendo Nkone Ataja Sababu ya Kutumia ...

Post Image

Msanii wa Injili nchini Upendo Nkone amekiri kuwa ni kweli alikuwa anatumia mkorogoro (anajichubua ngozi) lakini hivi sasa ameacha kufanya hivyo baada ya mashabiki wake kumjia juu na kutaka aachane na mambo hayo ya kujichubua. Upendo Nkone amesema hayo kupitia kipindi cha Kikaangoni kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia […]

Read More..

VIDEO:RC Makonda Atoa Ahadi Hii Kuhusu Roma...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, wameahidi Roma Mkatoliki, Moni pamoja na wengine wawili kupatikana Jumapili hii baada ya wasanii hao kutekwa na watu wasiojulikana Jumatano hii wakiwa Tongwe Record. Alisema hayo akiwa nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam, muda mchache baada ya kutembelewa na wasanii ambao walimtaka mkuu huyo kuwasaidia […]

Read More..

Video:Flora amethibitisha kuzaa nje ya ndoa...

Post Image

Muimbaji wa nyimbo za injili madam Flora (Zamani Flora Mbasha) amekiri kupata mtoto nje ya ndoa yake na aliyekuwa mume wake Emmanuel Mbasha ambaye pia ni muimbaji wa nyimbo za injili. Imefahamika. Hilo limefichuliwa leo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha, alipokuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano […]

Read More..

Nahitaji Demu Mzuri Anagonga Ngeri Sana- Id...

Post Image

IDRIS Sultan mwigizaji na mchekeshaji katika tasnia ya filamu Bongo amefunguka kwa kusema kuwa anahitaji mwanamke ambaye atamuoa, sifa ya kwanza awe mzuri sana awe na tabia nzuri hasa ya kuwapenda watoto kwani yeye anapenda Watoto zaidi. “Siku hizi mambo ya kidigitali mambo yanakuwa wazi tu, binafsi nampenda mwanamke mwenye sifa hizi awe na akili, […]

Read More..

Masogange Apewa Onyo na Mahakama

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya dawa za kulevya inayomkabili msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange baada ya kutohudhuria kesi hiyo mahakamani. Kesi hiyo ambayo imetajwa kwa mara ya kwanza mbele ya hakimu mkazi wa Kisutu Wilbard Mashauri wakili wa serikali Adolf Mkini amesema kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili ya kutumia […]

Read More..

VIDEO: Sirro Akoleza Moto Wakazi wa Mabonde...

Post Image

Dar es Salaam: Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema watu wote wanaoishi mabondeni watoke mara moja kwa sababu kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha na ambaye hatafanya hivyo atakamatwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo (Jumanne), Sirro amesema tayari amewaagiza Ma OCD na wakuu wa upelelezi kuanza oparesheni hiyo mara […]

Read More..

Rose Muhando Asakwa Apelekwe Soba

Post Image

DAR ES SALAAM: Taarifa mbaya ya kusikitisha kutoka kwa staa wa nyimbo za Injili, Rose Muhando zinadai kuwa, mwimbaji huyo anasakwa na uongozi wa Sober House ya Pederef ili waweze kumwokoa kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’. Chanzo kilicho karibu na mwanamama huyo ambaye amejijengea jina kubwa kupitia nyimbo zake nzuri kama Nibebe, kimeeleza […]

Read More..

Idris Sultan: Mimi na Wema Sio Maadui

Post Image

Idris Sultan amedai kuwa hana uadui na ex wake Wema Sepetu – bado kwa mbali wana ushkaji. Mchekeshaji na mtangazaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa huzungumza na ex wake huyo mara chache kwa sasa. “Unajua sipendi unafiki nikasema ‘ahh tunaongeaga, mbona washkaji tu tuko peace sana’ hapana sio kihivyo,” amesema Idris. “Unakuta ni mara moja moja […]

Read More..

Nyumba ya Gwajima Yapigwa Picha

Post Image

Dar es Salaam. Wakili Peter Kibatala amesema polisi wamepiga picha nyumbani kwa Askofu wa Kanisa la Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima. Kibatala ambaye ni wakili wa Askofu Gwajima amesema jana kuwa mbali na kupekuwa na kupiga picha kila kona walikwenda katika kanisa lake lililopo Ubungo. “Waache wafanye yao na sisi […]

Read More..

Zitto Alia na Serikali Ugumu wa Maisha

Post Image

Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefunguka na kuililia serikali juu ya ukali wa maisha nchini kufuatia gharama za maisha kupanda. Mhe. Zitto Kabwe ameitaka serikali ifanye juhudi na jitihada kupunguza au kumaliza kabisa ukali wa maisha kwa wananchi kwani “Mtwara unga wa ugali ( sembe) Sasa tshs 2000 […]

Read More..

Flora Mbasha Achumbiwa, Kuolewa Tena

Post Image

Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza. Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra […]

Read More..

Sakata la Madawa ya Kulevya: Masogange Adai...

Post Image

Taarifa zinadai kuwa mrembo Agnes ‘Masogange’ Gerald amekamatwa na polisi usiku wa kumkia leo, ikiwa ni sehemu ya msako wa watu wanaohusishwa na biashara ya dawa za kulevya.   Kwa mujibu wa Jamii Forums, Masogange anashikiliwa kwenye kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam. Mrembo huyo anakuwa staa mpya kuingizwa kwenye orodha ya mastaa […]

Read More..

Zari the Bosslady: Uraia wa Nillan ni ̵...

Post Image

Kwenye mahojiano yake na Dizzim Online, mchumba huyo wa Diamond amesema pindi tu mtoto wake amezaliwa huko nchini Afrika Kusini, alipewa uraia wa nchi hiyo. “Yaani hiyo iki complicated because amezaliwa kule akapata immediate citizenship lakini vile amerudi nyumbani sasa hivi tutarudisha ile citizenship ya South Africa halafu atachukua ya Tanzania,” alisema Zari.

Read More..

Idris Sultan Afungukia Ishu ya Wema Sepetu ...

Post Image

MCHEKESHAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mshiriki wa shindano na ‘Big Brother Africa’, Idris Sultan amefunguka kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa sauti ya Wema ilirekodiwa bila ya Wema mwenyewe kujua. Idris amefunguka kwa wanaokwenda kumtembelea Wema wengi ni wanafiki na wanamalengo yao mengine tofauti na kwenda kumjulia hali Wema. Mpaka hivi sasa sakata hili bado […]

Read More..

Familia Yakubali Barua Uchumba wa Wema, Man...

Post Image

DAR ES SALAAM: Hivi karibuni, msemaji wa Klabu ya Simba ya jijini hapa, Haji Manara alisema anataka kumchumbia Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu akijipa matumaini kwamba hawezi kukataliwa, lakini habari mpya ni kwamba, mwanaume mmoja aliyedai ni mjomba wa Wema, ameongea na Amani na kusema kuwa, anamshangaa Manara. Mjomba huyo alisema kuwa, anamshangaa Manara kwa […]

Read More..

Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wen...

Post Image

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 […]

Read More..

Muigizaji Mtanzania Ateuliwa Kuwa Rais wa K...

Post Image

Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon (pichani hapo chini), ameteuliwa kusimamia kampuni ya Kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais. Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake katika nchi anayoiongoza Rais Donald Trump, Marekani kwenye jiji la New York na […]

Read More..