Dimpoz amwaga ugali ishu ya ‘Malkia wa Ng...

Wiki hii rapa, Fid Q kaachia wimbo wake mpya ‘Fresh’ akiwa amemshirikisha Diamond pamoja na Rayvanny ambao umeibua mgongano mkubwa wa mawazo kupitia mitandao ya kijamii kutokana na mistari ya Diamond ambayo ilidaiwa kwenda kwa Alikiba. Mkali huyo wa Aje alishindwa kuvumilia baadhi ya vitu vilivyozungumzwa katika wimbo huo na kuamua kunyesha mvua ya tweets […]
Read More..