-->

Category Archives: Artists News

Dimpoz amwaga ugali ishu ya ‘Malkia wa Ng...

Post Image

Wiki hii rapa, Fid Q kaachia wimbo wake mpya ‘Fresh’ akiwa amemshirikisha Diamond pamoja na Rayvanny ambao umeibua mgongano mkubwa wa mawazo kupitia mitandao ya kijamii kutokana na mistari ya Diamond ambayo ilidaiwa kwenda kwa Alikiba. Mkali huyo wa Aje alishindwa kuvumilia baadhi ya vitu vilivyozungumzwa katika wimbo huo na kuamua kunyesha mvua ya tweets […]

Read More..

Magazeti ya Leo Jumatano, August 23

Post Image

CHANZO:millardayo.com

Read More..

Casso Afunguka Tattoo ya Rose Ndauka

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Casso ambaye yupo chini ya lebo ya Ndauka Music inayomilikiwa na mwigizaji, Rose Ndauka amesema sababu zilizofanya achore tattoo yenye jina la mrembo huyo kwenye mkono wake wa kulia ni mapenzi aliyonayo kwa bosi. Casso ameliambia Show Biz kuwa Rose Ndauka ana roho ya kipekee na ni rafiki ambaye Mungu amemleta […]

Read More..

Alikiba kupiga tatu

Post Image

Msanii Alikiba ambaye yupo kimya kwa muda mrefu ameamua kukata kiu ya mashabiki wake na kumaliza hasira zao kwa kushusha ngoma tatu mfululizo pindi atakaporejea Tanzania kutokea nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya kufanya show. Siku mbili zilizopita Alikiba kupitia mitandao yake ya kijamii alianza kuweka post ambayo ilionyesha ni ishara ya ujio wake mpya […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya leo August 19, 2017

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo August 17, 2017

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, August ...

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya leo August 15, 2017

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Yasome Hapa Magazeti ya Leo August 14

Post Image

    Chanzo:Millardayo.com

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya leo August 13

Post Image

    Chanzo:Millardayo.com

Read More..

Soma Magazeti ya Leo August 12 Hapa

Post Image

  Ni asubuhi nyingine tena nakukutanisha na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 12 2017 kuanzia ya Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa.   Chanzo:Millardayo.com

Read More..

Magazeti ya Leo August 11, 2017

Post Image

   Chanzo:millardayo.com

Read More..

Lulu Michael Afungukia Umuhimu wa Kiingerez...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema lugha ya Kiingereza ni muhimu zaidi kutumika katika filamu za kibongo, kwa kuwa wanatamani kufika mbali zaidi kimataifa. Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mkutano uliowakutanisha na Waziri wa Habari, Lulu alisema kutumia maneno ya Kiingereza ‘subtitle’ kwenye filamu zao ni muhimu, kwa kuwa ndiyo lugha inayowasapoti […]

Read More..

Mwanariadha Alphonce Simbu ang’ara London...

Post Image

Mwanariadha Alphonce Simbu ameshinda medali ya shaba katika mbio ndefu za Marathon akimaliza nafasi ya tatu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha London, Uingereza. Simbu alikimbia kwa saa 2:09:51 na kumaliza kwenye nafasi ya tatu nyuma ya Mkenya, Geoffrey Kirui aliyemaliza kwenye nafasi ya kwanza akikimbia kwa saa 2:08:27 na Muethiopia, Tamirat Tola aliyemaliza wa […]

Read More..

Roma Mkatoliki Akiri Alitelekezwa na Serika...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Roma Mkatoliki amefunguka na kusema kuwa ingawaje Serikali ilimsaidia mpaka kupatikana kwake kipindi alipotekwa lakini haikumsaidia chochote mpaka kupona kwake. Roma na wenzake wanne ambao walitekwa na watu wasiojulikana mwanzoni mwa mwaka huu na kupata majeraha makubwa kwenye mwili wake amekiri wazi kuwa Serikali haikumsaidia chochote mpaka anapona zaidi […]

Read More..

Wastara Amelazwa Hospital Huko Kenya

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amelezwa hospital huko inchini Kenya akisumbuliwa na mumivu ya mgongo taarifa iliyotolewa na uongozi wake kupitia mtandao wa instagram imeeleza. “Habari za Asubuhi Wapendwa Naomba Tumuweke kwenye Sala Zetu Dada Yetu mpendwa Wastara, kutokana na hali yake Anasumbuliwa na maumivu ya mgongo ambayo yanampelekeaga kupoteza Fahamu, Jana usiku yamemkuta […]

Read More..

Sitti Mtemvu: Nilivuliwa Taji La Miss Tanza...

Post Image

SHINDANO la Miss Tanzania Mwaka 2014, liliingia kwenye dosari baada ya mshindi wa taji hilo, Sitti Mtemvu kuzua sintofahamu kwa kudaiwa kwamba alishiriki akiwa juu ya umri stahiki wa mashindano hayo. Skendo nyingine iliyomtafuna Sitti ni kudaiwa kuwa alishiriki u-miss huku akiwa na mtoto. Kutokana na fi gisufi gisu za hapa na pale, hatimaye Sitti […]

Read More..

Zari Asimulia Alivyokiona Kifo cha Ivan

Post Image

SIKU chache baada ya mfanyabiashara maarufu nchini Uganda, Ivan Ssemwanga ‘Ivan Don’ kuzikwa, aliyekuwa mkewe Zarina Hassan ‘Zari the Boss Lady’ ameeleza namna alivyokiona kifo cha Ivan Don. Akizungumza na mtandao mmoja wa burudani, Zari alisema alipewa taarifa na madaktari mapema baada ya hali ya Ivan kubadilika. Zari alikuwa akijibu swali aliloulizwa na mtandao huo […]

Read More..