Artists News in Tanzania

Chuchu Hansa: Daku Ina Masharti Yake

Msanii wa kike kutoka katika kiwanda cha Bongo Move Chuchu Hans ameiambia eNewz kwamba ameamua kuandaa filamu hiyo amabayo itaonyesha masharti na utaratibu wa daku kwa watanzania wote bila kuangalia tofauti za dini zao.

Usiku wa Daku

Hata hivyo Chuchu amesema watu wengi huwa wanakuwa makini katika kufuatilia futari na mchana wanapokuwa wamefunga na muda wa kula daku, hivyo ameona ni vyema kuwakumbusha watu na kuwaonyesha umuhimu wa daku hasa katika mwenzi huu Mtukufu wa Ramadhani.

eatv.tv

Comments

comments

Exit mobile version