Artists News in Tanzania

Diamond:Najisikia Niachie Mpya Nyimbo Leo

Huwenda Diamond Platnumz anataka kutimiza ahadi yake ya kuachia wimbo mpya baada ya wimbo wake ‘Kidogo’ aliowashirikisha wasanii wa kundi la P Square kufikisha views 4,764,307 katika mtandao wa YouTube.

Uongozi wa Diamond Platnumz uliahidi kuwa endapo video ya wimbo ‘Kidogo’ ikifikisha views milioni 5 katika mtandao wa Youtube basi watatoa zawadi kwa mashabiki wao kwa kwa kuachia wimbo mpya.

Jumapili hii Diamond kupitia twitter ameandika.

Mashabiki wengi wa staa huyo wameonyesha kufurahisha na taarifa hiyo huku baadhi yao walimtaka kusuria msimu wa Fiesta kumalizika.

Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version