Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeshapagwa, kama inavyoonekana hapo chini
Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, mwaka huu.
Comments
comments