-->

Filamu za Nje Zinatutia Njaa Jamani- Tino

NYOTA wa filamu Hisany Muya ‘Tino’ anasema kuwa sinema kutoka nje zimeua soko la ndani na kuwafanya wasanii waishi kwa shida kwani hata watengeneze kazi zenye ubora wa namna gani bado wanashindwa kuuza kwa bei ya kimaslahi.

HISANY-MUYA-TINO-

Hisany Muya ‘Tino’

“Serikali tunaomba itusaidie kwa hili sinema kutoka nje ni tatizo ndio zimeua soko letu, hazilipi ushuru zimezagaa kila kona huku zikiuzwa kwa bei ya kutupwa kwa hiyo bora sisi tufe njaa Wachina wanemeke,”anasema Tino.

Toka urasimishaji wa filamu na muziki hali imekuwa mbaya sana kwa wasanii wa filamu kwani soko la filamu kutoka nje limeshika hatamu huku tamthilia za kifilipino zilizotafsiriwa zikitamba mitaa yote ya Kariakoo na kuzifunika kazi za ndani ambao ndio walipa kodi.

FC

NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

KAMA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA FILAMU POPOTE PALE:

Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489.

Filamu Zilizotoka Hivi Sasa >>>>HIZI HAPA

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364