Artists News in Tanzania

Hakuna mwanamke anapenda mwanaume – Giggy Money

Msanii wa muziki wa bongo fleva Giggy Money amefunguka na kusema kuwa hakuna mwanamke anapenda mwanaume bali wanawake wanapenda pesa tu hivyo amedai yeye sasa hajali kumfurahisha mwanaume kwa umbo lake ila anachoangalia yeye anapiga pesa.

Mbali na hilo Giggy Money anadai kuwa ndoto zake za kuja kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria bado ziko pale pale na kusema siku zikitimia atawathibitishia watu kuwa jambo hilo limetimia.

Comments

comments

Exit mobile version