Artists News in Tanzania

Hiki Ndicho Kilichotoakea Kwenye House Party ya Shilole ‘Karunguyeye’ Usiku wa Jana

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole aka shishi bybee ambaye amejipa jina la Karunguyeye siku ya jana alifanya pati nyumbani kwake ‘House Party’ na kuwaalika baadhi ya mastaa wenzake.
Kajala, Mwasiti, Linnah,Baba Levo, Baby Madah,Millard Ayo, Tudd Thomas na Makomandoo hao nibaadhi ya watu waliohudhulia pati hiyo.

Hizi ni baadhui ya picha za pati hiyo.

 

Comments

comments

Exit mobile version