-->

Je ni Kweli Video hii ya Wema Sepetu Imeuvunjavunja Moyo wa Idris Sultan?

WEMA73422

Mara baada ya video ya Wema Sepetu aki-kiss na jamaa mwingime kusambaa mtandaoni, mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan ambaye anadaiwa kuwa bado yupo kwenye mahusiano na Wema sepetu inasemekana kuwa video hiyo imemuumiza sana moyo.

 

 

Idris amepost picha hiyo chini kwenye mtandao wa Instagram na kuandika:

“I have learnt to consider all my failures as lessons learnt the hard way. As i focus on work kesho Jumapili i will land in Nairobi at 7:20 asubuhi.”

 

12912702_1575526859441982_2102014778_n

 

Bado Wema hajasema chochote.

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364