Artists News in Tanzania

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda Tena

Muigizaji wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefika Mahakama ya Kisutu leo kwaajili ya kesi yake inayomkabili ya kutumia dawa za kulevya.

 

Wema Sepetu akiwa na mama yake leo

Ambapo Wakili wa serikali amesema kuwa kesi hiyo imeitishwa kutokana na kuendelea kwa ushahidi, Jaji amesema kutokana na muda kuwa mchache kesi hiyo inahairishwa mpaka Novemba 24 mwaka huu.
Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version