Artists News in Tanzania

New Music: Harmorapa Aachia Wimbo ‘Kiboko ya Mabishoo’ ft Juma Nature, Awachana WBC

Msanii wa muziki Harmorapa ameachia wimbo wake mpya Kiboko ya Mabishoo akiwa amemshirikisha Juma Nature. Wimbo umeandaliwa na producer T Touchez.

Juma Nature na Harmorapa

Katika kazi hiyo ambayo tayari imeanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, Harmorapa amewachana baadhi ya mastaa akiwemo dansa Mose Iyobo, na watu wengine ambao wamekuwa wakim-‘diss’ kuwa hajui muziki na kusema yeye hajali maneno yao machafu kwani yeye amekuja kutafuta pesa

 

 

Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version