Artists News in Tanzania

Niva Supermarioo Alamba Dili Nono

NIVA34

Mwigizaji Niva Zubery wanamwita Niva  supermarioo Niva ameingia mkataba mpya na kampuni ya  Steps entertainment wa kuangusha filamu kali kwa mwaka huu. Huku akianza na filamu kali ya Kasanga nae Mwana akiwa na Gabo. Wakati huo kazi nyingine hiyooo ya KIZA akiwa na Riyama Ally na Grace Mapunda.

Niva

Comments

comments

Exit mobile version