-->

Ray Kigosi Afunguka Kutokuwa na Wivu kwa Ir...

Post Image

Msanii Vicent Kigosi maarufu kama Ray ambaye ndiye aliyemfungulia milango ya kuingia kwenye sanaa muigizaji Irene Uwoya, amesema hawezi kuwa na wivu kwa kuolewa na Dogo Janja. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Ray amesema yeye alianza kumuona Irene kabla ya Dogo Janja, lakini hakuvutiwa kumuoa, hivyo hawezi kuwa na hisia […]

Read More..

Wanawake wa Bongo Wanalazamisha Ndoa –...

Post Image

Msanii Dudu Baya amesema wanawake wa Tanzania wana kawaida ya kulazimisha ndoa, hasa wanapopata ujauzito hata kama ni kwa bahati mbaya. Dudu Baya ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye Planet Bongo ya East africa Television, na kusema kwamba jambo hilo haliingii akilini kwani walipokutana hawakukubaliana kuona. “Mimi mwanamke wangu ni bapa, wanawake wa kitanzania ukishampa mimba ndo kashalazimisha ndoa, […]

Read More..

Mama ni Kila Kitu Kwangu- Riyama

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu wa kike Bongo Riyama Ali anasema kuwa mama yake ni ndio kila kitu katika maisha yake na hata mwanaye anamulelea kwa kumfundisha kuheshimu wazazi, huku akijaribu kumpa miongozo bora kama mzazi anayependa familia yenye malezi bora kwa watoto na jamii nzima kwa ujumla wake. “Wapo baadhi ya wanadamu ambao hutamani wafanane na […]

Read More..

Nawal Afuta Tattoo ya Nuh Mziwanda!

Post Image

Ni utamaduni wa mastaa wa Bongo, mara tu wanapoanzisha uhusiano na kukolea kwenye penzi jipya, kujichora tattoo ya jina la mpenzi huyo lakini dhoruba inapolipitia penzi lao, hutafuta kila njia za kufuta tattoo hiyo. Hili limejidhihirisha kwa aliyekuwa mke wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, anayefahamika kwa jina la Nawal, ambaye kwa sasa amefuta […]

Read More..

Shamsa Ford Atupa Dongo Bongo Movie

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amewaponda baadhi ya wasanii wa Bongo movie na kusema ukosefu wa elimu kati yao chanzo kikubwa tasnia hiyo kushindwa kuendelea na kupiga hatua kubwa na kudai wamekalia umbea, chuki, ushirikina na roho mbaya. Shamsa Ford amesema hayo kupitia mtandao wake wa Instagram na kudai kuwa anatamani muda ungekuwa unarudi […]

Read More..

Irene Uwoya Afungukia Ndoa Yake

Post Image

IKIWA hali ya sintofahamu imeendelea kutanda kuhusu ndoa ya msanii wa Bongo Fleva, Dogo Janja ‘Janjaroo’ na mwigizaji, Irene Uwoya, picha za shughuli yao zimezidi kusambaa. Uwoya, ambaye alishiriki Miss Tanzania 2006, amekuwa akituma picha hizo za harusi katika mitandao ya kijamii na mumewe, Janjaroo kujibu. Hali hiyo imekuwa gumzo mitaani huku wengi wakishindwa kupata […]

Read More..

Ukweli Kuhusu Ndoa ya Uwoya, Dogo Janja

Post Image

SASA ni wazi kuwa sanaa yetu hapa Bongo haiwezi kwenda bila kiki. Ni kiki kila kukicha. Lesso utasikia msanii huyu kafanya vile, kesho mwingine ameibuka na lake. Ni kama wanashindana. Imeonekana kama kazi kutolewa bila kianzio cha kiki huenda isiwe na matokeo mazuri sokoni. Hata hivyo kwa upande wangu, napingana na hilo. Naamini katika kazi […]

Read More..

Kajala Amfanyia Kufuru Kassim Mganga

Post Image

HUKU watu mbalimbali wakiwemo maarufu nchini wakilia kuwa, hali ya uchumi siyo nzuri ‘vyuma vimekaza’, mwanadada anayefanya vizuri kwenye ulimwengu wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ hivi karibuni ameibua gumzo baada ya kumfanyia kufuru Kassim Mganga ambaye ni staa wa muziki wa Bongo Fleva. Kufuru aliyoifanya Kajala ni ya kummwagia minoti Kassimu alipokuwa akitumbuiza […]

Read More..

MC Pilipili Asimulia ajali Ilivyomuacha Kit...

Post Image

Dar es Salaam. Mshereheshaji maarufu nchini Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili ameyataja mambo makubwa matatu aliyojifunza baada ya kupata ajali ya gari Septemba 12 mwaka huu katika Kijiji cha Nyasamba mkoani Shinyanga. Akizungumza na MCL Digital leo, mchekeshaji huyo amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuwakwepwa waendesha baiskeli waliokuwa pande mbili tofauti za barabara. […]

Read More..

Shamsa Atoa Povu Kisa Kuuza Duka!

Post Image

MREMBO wa Bongo Movies, Shamsa Ford ametoa povu la aina yake kwa mashabiki wanaomponda kwa kitendo cha yeye kuuza duka mwenyewe badala ya kumuweka binti amuuzie. Akizungumza na Amani, Shamsa ambaye anamiliki duka la nguo na mumewe Chid Mapenzi lililopo Kinondoni jijini Dar, alisema haoni aibu yoyote kuuza mwenyewe dukani hapo kwa sababu ustaa bila […]

Read More..

Dogo Janja na Irene Uwoya Wasisikilize Mane...

Post Image

Msanii Madee Seneda ambaye ni baba mlezi wa Dogo Janja, amewataka maharusi wake Irene Uwoya na Dogo Janja kutosikiliza watu kwani wakifanya hivyo hata mwaka hawatamaliza. Madee ameyasema hayo alipokuwa akipiga stori na Queen Fifi na JR kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba amefurahi kuona Dogo Janja kaoa ingawa alishtushwa na taarifa […]

Read More..

Maombi Yatikisa Nyumbani kwa Lulu

Post Image

Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’. Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake, alilidokeza Risasi Mchanganyiko kuwa, baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, […]

Read More..

Mama Yake Dogo Janja Afungukia Ndoa ya Dogo...

Post Image

Mama mzazi wa msanii Dogo Janja Bi. Zaituni Omari, amesema habari za mtoto wake kuoa ni za kweli na yeye kama mzazi alimpa baraka zote, vinginevyo asingeweza kuoa. Mama yake Dogo Janja ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa habari na kusema kwamba yeye kama mzazi ameridhika kwani pia ametimiza matakwa ya dini. “Alishawahi kuniambia […]

Read More..

Hamisa Mobetto Kuibuka Ndani ya Zero Player

Post Image

MWANAMITINDO Hamisa Mobetto, anaratajia kuonekana kwenye filamu mpya ya ‘Zero Player’ itakayozinduliwa Novemba 17 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MTANZANIA, kiongozi wa filamu hiyo, Allan Upamba, alisema Zero Player ambayo imefanyika nchini Afrika Kusini na kuchezwa na wasanii maarufu wa ndani na nje ya Tanzania, itazinduliwa rasmi kwenye Ukumbi wa Suncrest Cineplex […]

Read More..

Jokate: Nitaachana na Bongo Fleva

Post Image

MWANAMITINDO na msanii wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa, ‘soon’ ataachana na muziki huo, bila kutaja sababu ya kufanya hivyo. Jokate aliiambia Full Shangwe kuwa, anajipanga kuachia wimbo mmoja wa mwisho kisha anaachana kabisa na Bongo Fleva. “Nafikiria kutoa wimbo moja wa mwisho, halafu baada ya hapo nitakuwa nimestaafu kufanya muziki, sina sababu ya msingi ila ni […]

Read More..

Steps Aanze Kuuza DVD za Kutafsiri Nini Tun...

Post Image

KAMPUNI kubwa ambayo ilikuwa ndio mahiri katika usambazaji wa filamu Swahilihood ni kampuni ya Steps Entertainment ilitikisa lakini kwa sasa ni kama vile hawapo tena hata lile duka nzuri lilokuwepo mitaa ya Masasi na Mzimbazi likiuza filamu zetu halipo tena bali ni sehemu ya kubeti swali linakuja je waanze kuuza Dvd zilizotafsiriwa kwa Kiswahili? Ninapokuwa […]

Read More..

Nay wa Mitego Atabiri Kifo cha Bongo Fleva

Post Image

Msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa ndani ya miaka miwili au mitatu inayokuja anaona wazi muziki wa bongo fleva unakwenda kufa kama ambavyo tasnia ya filamu bongo ilivyokufa kwa kile anachodai wasanii wamekuwa wazembe na kutegemea kiki. Nay wa Mitego amesema kuwa wasanii wengi wa bongo saizi wanategemea zaidi kiki kuliko kufanya muziki […]

Read More..

Waziri Mwakyembe Awamwangia Sifa Bongo Movi...

Post Image

WAZIRI wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amepongeza shirikisho la filamu na wadau wake kufuatia kufanikiwa kusajili mfuko wa filamu pamoja na mikakati ya muda mrefu na mifupi, akiongea na wajumbe wa Bodi ya Taff na wadau chini ya Bodi ya Filamu amesema kuwa amefarijika sana kupokea taarifa za Tasnia ya filamu. […]

Read More..