-->

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10

Dully Sykes Amgaragaza T.I.D

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini Abdul Sykes ‘Dully Sykes’, amemgaragaza Khalid Mohamed ‘T.I.D’ kwa idadi kubwa ya mashabiki wa muziki wao. Wasanii hao walishindanishwa katika kituo cha radio One ambapo walikuwa wanawashindanisha kwa ubora wa nyimbo zao huku mashabiki wa muziki huo wakipiga kura kumchagua mkali zaidi. Dully alifanikiwa kuibuka kidedea kwa kumzidi […]

Read More..

Maneno Matamu ya Uwoya kwa Mama Yake

Post Image

Leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi, staa wa Bongo Movies Irene Uwoya amemuandikia maneno haya matamu kupitia ukurasa wake instagram. My mom my world. ..u kept me in ur prayers night and day. ..I wish to return my gratitude in more ways than I can say. ..mom lov is the most […]

Read More..

Wastara: Mimi na Mke Mwenza Shega Tu

Post Image

Picha ya pamoja Wastara sajuki akiwa na mke mwenzie. Wastara akiwa na mke mkubwa baaada ya harusi.. Adai watu msiumize kichwa mke mkubwa kampokea vizuri kwa mikono miwili na wanajuana na kuheshimiana. By Amavubi on JF

Read More..

Chuchu Hans Akanusha Kuachana na Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Chuchu Hans amesema bado yupo kwenye uhusiano wa kimapenzi na Vicent Kigosi aka Ray licha ya hivi karibuni baadhi ya watu kudai wawili hao hawapo tena pamoja.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumanne hii, Chuchu alisema toka aanze kutoka kimapenzi na staa huyo mengi yamezushwa juu […]

Read More..

Ndoa ya Wastara Bond Nusu Afe!

Post Image

DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita siku chache tangu staa wa filamu, Wastara Juma kufunga ndoa na Mbunge wa Jimbo la Donge,  Zanzibar, Sadifa Juma aliyekuwa mpenzi wake, Bond Suleiman nusu afe, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili. Wakizungumza na gazeti hili, ndugu wa karibu wa kijana huyo ambaye pia ni muigizaji (jina linahifadhiwa) alisema siku moja […]

Read More..

Rose Ndauka Hajali Nyumba Yao Kuvunjwa

Post Image

WAKATI mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waishio mabondeni na pembezoni mwa bahari na mito wakihaha nyumba zao kuvunjwa, staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema hajali kama nyumba yao itakutwa na bomoabomoa hiyo. Badala yake, alimpongeza Rais John Magufuli kwa kusimamia zoezi hilo, kwani wengi wa wanaobomolewa walishapewa taarifa mapema na hawakutii agizo […]

Read More..

H-Baba Ajiita Baba wa Sanaa Tanzania

Post Image

Staa wa muziki H-Baba ametoa kauli ya kuwabeza wasanii wenzake, akieleza kuwa kwa sasa yupo kimya akiangalia mchezo kama baba mwenye nyumba ambaye akirejea, wasanii wengine kama wapangaji lazima waelewe juu ya uwepo wake. H-Baba ambaye majukumu ya kifamilia ambayo sasa ni makubwa si chanzo cha ukimya wake kwa mujibu wake, ameeleza kuwa nafasi yake […]

Read More..

Jennifer Mgendi, Mussa Banzi Wang’ang’a...

Post Image

Kanga foto! Staa wa sinema na nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na mwigizaji mwenzake, Mussa Banzi walijikuta waking’ang’aniwa na mashabiki wao ili wapige picha wakiwa lokesheni. Ishu nzima iliyoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Ubungo-Makuburi, Dar ambapo wasanii hao wakiwa na wenzao walikuwa wakirekodi moja ya sinema za Mgendi inayokwenda kwa jina […]

Read More..

Picha: Lulu Asifiwa ‘Mitupio’

Post Image

Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael’Lulu’ amemwagiwa sifa mtandao kuwa ni moja ya mastaa wanao penda mitindo ‘Fashion’ kitu ambacho kinamfanya kuonekana mrembo zaidi kile leo. Tofauti na mastaa wengi wakike wa hapa bongo Lulu kupitia ukurasa wake wa Instagram amekuwa akitupia picha akiwa amevalia mitindo mbalimbali ya mavazi na nywele. Lulu amekuwa […]

Read More..

Nikipata Mwanamke Atakayeweza Kuziba Nafasi...

Post Image

Ingawa Shilole tayari amefunika tattoo aliyochora kifuani yenye jina la ex wake Nuh, kwa kuongeza mchoro wa ua juu yake baada ya wawili hao kuachana, Nuh Mziwanda amesema yeye bado hajaamua kufuta tattoo zake. Nuh ambaye alichora tattoo mbili, moja ikiwa na jina la Shishi Baby na nyingine ikiwa na sura ya Shishi amesema kuwa […]

Read More..

Faiza Ally Afungukia Mavazi Yake na Kushaur...

Post Image

Inawezekana kuvaa nguo fupi au bikini ni tatizo hasa ktk upande wa imani zetu kutokana na maamrisho ya vitabu. Lkn Lkn hakuna tatizo kubwa kuliko kumtangazia mtu sifa mbaya – unapo sema maneno mabaya unatengeneza sumu mbaya sana kwenye mioyo na fikra za watu…tofauti na yale mavazi maana akisha vaa anavua mwisho wa siku ni […]

Read More..

Mazito Yaibuka Ndoa Mpya ya Wastara

Post Image

Dar es Salaam: HAYA ni mazito! Nyuma ya shughuli ya kuolewa kwa staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma iliyofungwa Alhamisi iliyopita, kuna matukio ya kustaajabisha ambayo Ijumaa Wikienda limeyabaini. Ndoa hiyo iliyofungwa kimyakimya, ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji huyo, Tabata-Barakuda, jijini Dar […]

Read More..

Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina na k...

Post Image

January 11 ndio ilikuwa siku ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutangaza washindi wa tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo ilikuwa inawaniwa naLionel Messi, Neymar na Cristiano Ronaldo. FIFA usiku wa January 11 Zurich Uswiss wamemtangaza mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina na klabu ya FC Barcelona yaHispania Lionel Messi kuwa ndie mshindi […]

Read More..

Naweza Kuuza Movie Zangu Bila Kumtegemea Mh...

Post Image

Msanii wa filamu aliyetamba kwenye Bado Natafuta, Gabo Zigamba amesema filamu yake mpya ‘Safari ya Gwalu’ aliyoisambaza mwenyewe kupitia kampuni yake ya D Entertainment, imemfanya agundue kuwa kusambaza mwenyewe filamu kuna manufaa zaidi kuliko kupeleka kwenye makampuni binafsi ya usambazaji. Gabo ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa tayari filamu yake imeshasambazwa Tanzania nzima na ameuza nakala […]

Read More..

‘Kwa Heri Mwaka 2015 Karibu 2016’ Makal...

Post Image

UMEMALIZA mwaka 2015 tupo mwaka 2016 ambao kuna baadhi wanajenga matumaini huku wengine wakisubiri kama mimi kuona majaliwa ya mola kama kutakuwa nan a unafuu au ndio balaa zaidi katika tasnia ya filamu mwaka jana hali haikuwa shwari baada ya wasanii kupotea. Soko la filamu limeshuka sana huku kukiwa na sababu ambazo si za kitafiti […]

Read More..

Mguu Wamzima Stara Kisiasa

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Stara Thomas, amesema kuwa aliyokuwa amepata katika mguu imezima ndoto yake ya kuingia katika siasa katika kipindi cha uchaguzi kilichopita. Stara aliyekuwa na mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum huko Mwanza ambapo ni nyumbani kwao, katika mahojiano aliyofanya na Planet Bongo ameeleza kuwa, harakati za kisiasa zinahitaji mtu […]

Read More..

Mzee Majuto Aibukia Kwenye Bongo Fleva

Post Image

Vunja mbavu! Komediani the big name Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ au ‘King Majuto’ (68) ameibukia kwenye Muziki wa Bongo Fleva baada ya kushirikishwa kwenye ngoma inayokwenda kwa jina la Baba na Mjukuu Wake (mtoto wa mtoto wake wa kumzaa), Emmanuel Ernest ‘Dady.’ Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Mzee Majuto, mbali na kumsifia Dady […]

Read More..

Mr Aomba ieleweke Kuwa Hana Ugomvi na Diamo...

Post Image

Mr Blue amesema hana tatizo na Diamond Plutnumz licha ya hivi karibuni kuibuka sintofahamu katika mitandao ya kijamii juu ya nani mmiliki halali wa jina ‘Simba.’   Blue ambaye anajipanga kuachia wimbo mpya akiwa na Alikiba mwezi huu, amekiambia kipindi cha The Weekend Chart Show cha Clouds TV kuwa aliamua kuweka wazi kwa umma juu […]

Read More..