-->

Mobeto: Sitaki Kufuata Maneno ya Mtandaoni

Post Image

MWANAMITINDO, Hamisa Mobeto ameibuka na kusema kuwa hataki kuyafuata maneno ya mtandaoni kwani yanaweza kumkondesha hivyo ameamua kuyatupilia mbali. Akiongea na Risasi Jumamosi, Hamisa alisema kuwa ili maisha yake yamuendee vizuri ameamua kutojali maneno ya mtandaoni kwani akiyaendekeza anaweza kujikuta anabaki mifupa na kushindwa kufanya mambo yake muhimu. “Mitandaoni kunasemwa mambo mengi na kila kukicha naandikwa tu nikisema nikomae […]

Read More..

Nilikuta Chupa ya Pombe na Mapanga Mawili C...

Post Image

Kati ya mashahidi watatu waliotakiwa kutoa ushahidi leo katika Mahakama ya Kanda Maalumu Dar es salaam kuhusiana na kesi ya kuuwa bila kukusudia inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu, wawili wamefanikiwa kutoa ushahidi huku mmoja akitakiwa kufika Siku ya Jumatatu kwa zoezi hilo. Kati ya mashahidi wawili waliofanikiwa kutoa ushahidi siku ya leo kuhusiana na kesi hiyo […]

Read More..

Lulu Afungukia Kesi Yake

Post Image

Ikiwa imebakia siku moja kuanza kusikilizwa tena kwa kesi ya mauaji ambayo inamkabili, msanii Elizabeth Michael (Lulu) amesema yupo tayari kukabiliana na kesi hiyo, ambayo alijua ipo siku itarudi tena. Lulu ameyasema hayo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa alikuwa na taarifa ya kesi […]

Read More..

Huyu Wolper ukimzingua tu, anakumwaga

Post Image

“Kila mtu anatakiwa kuwa na maamuzi yanayompa faraja, si kila jambo lazima liwe sawa na mtu mwingine kifikra, kuna baadhi ya wanawake wanajikuta wakinyanyasika kwa kuhofia jamii itawaonaje wakiachana na waume wasaliti, ila kwangu haipo hivyo,” alisema. JACQUELINE Wolper, mmoja wa nyota wa filamu nchini amesema hajaumbwa ili ateseke au kunyanyasika kwa mwanaume, hivyo anapokuwa […]

Read More..

Hamisa Mobetto: Nina Uhusiano na Diamond kw...

Post Image

MWANAMITINDO Hamisa Mobetto amesema ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinum, kwa takribani miaka tisa hadi sasa. Mobetto alitoa kauli hiyo Dar es Salaam juzi usiku alipokuwa akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Shilawadu kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Clouds, Soudy Brown, katika hafla ya mtoto wake […]

Read More..

Martin Kadinda Atoa Siri ya Wema

Post Image

Mbunifu maarufu wa mavazi bongo ambaye pia ni mtu wa karibu wa Wema Sepetu, Martin Kadinda, ametoa siri kwa wasiomjua mlimbwende huyo maarufu kama Tanzania Sweetheart ni mkorofi kuliko anavyoaminika. Kadinda ametoa siri hiyo ambayo wengi walikuwa hawajui kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba Wema Sepetu yuko tofauti na watu wengi […]

Read More..

Calisah Afunguka Kuvaa Viatu Vya Kike

Post Image

BAADA ya kusambaa kwa picha za mwanamitindo Calisah Abdulhameed, akiwa amevaa viatu vya kike (High Heels), modo huyo amefunguka kuwa licha ya kitendo hicho kupokewa na jamii kwa mitazamo tofauti malengo ya kutangaza bidhaa hiyo yametimia. Akizungumza na MTANZANIA, Calisah alisema kwa mara ya kwanza alipopigiwa simu na jamaa anayeitwa Frank Knows anayewavalisha viatu mastaa […]

Read More..

Mapokezi ya Zari Leo (Video)

Post Image

Zari The Bosslady ametua Tanzania, leo jioni  Septemba 13, akitokea nchini Afrika Kusini kwaajili ya kuzindua duka jipya la bidhaa za nguo, Danube lililopo Mlimani City jijini hapa. Zari ametua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa bila mtoto wake mdogo Nillan kitendo ambacho kimeonyesha huwenda mrembo huyo hajafika kwa ajili ya mpenzi wake na ni kwa muda […]

Read More..

Lady Jaydee Afungukia Ishu ya Ndoa

Post Image

Msanii Lady Jaydee amesema sasa hivi hafikirii kufunga ndoa na mchumba wake Mnigeria ambaye pia ni msanii, kwa sababu haamini kila mahusiano ni lazima yaishie kwenye ndoa. Jaydee ametoa siri hiyo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kuwataka watu wasitegemee jambo hilo kwake na wasikariri kila […]

Read More..

Diamond kuingiza sokoni albamu mpya

Post Image

Mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume Afrika Mashariki kwa miaka minne mfululizo katika tuzo za Afrimma, Diamond Platnumz ametangaza ujio wa albamu mpya aliyoipa jina la A Boy From Tandale. Hii itakuwa albamu ya tatu kwa mwanamuziki huyo, baada ya Kamwambie na Lala Salama. Taarifa zimeeleza baadhi ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye albamu hiyo ni Number […]

Read More..

Kauli ya Jaydee baada ya kupatana na FA

Post Image

Msanii Lady Jaydee ambaye hivi karibuni amepatana na aliyekuwa mhasimu wake msanii Mwana FA, amesema alishukuru sana kwa kitendo cha Mwana FA kumpa ushirikiano kwenye kazi zake na kupost Instagram kumpa promo. Akiongea  kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Lady Jaydee amesema ni jambo jema na la kumshukuru Mungu kwa wasanii wanapopeana ushirikiano. “Ni […]

Read More..

ACHA ASLAY ATAMBE… ALIFICHWA YAMOTO BAND!

Post Image

NAENDA Kusema ndio moja kati ya ngoma ambazo zilimfanya Aslay Isihaka ajulikane kwenye gemu la Bongo Fleva, wakati huo alikuwa chini ya mikono ya Mkubwa Fella kupitia Yamoto Band. Kadiri miaka ilivyozidi kusogea, imani kwa bwa’mdogo huyo ilizidi kuwa kubwa kwa mashabiki. Walioujua vizuri muziki wake waliweza kumfananisha na wasanii wakubwa tu Bongo lakini swali […]

Read More..

Mapenzi Kwangu Yanashika Nafasi ya Nne-Vane...

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Vanessa Mdee ‘V-Money’, ameeleza vitu vinne vilivyopewa nafasi kubwa katika maisha yake, huku mapenzi yakishika nafasi ya mwisho. Akizungumza hivi karibuni na MTANZANIA, mwanadada huyo alisema ameamua kuyapa mapenzi nafasi ya mwisho ya nne ili kuongeza juhudi katika vitu vya maana. V-Money alisema kitu kilichopewa nafasi kubwa na kinachoshika […]

Read More..

Alikiba sio level yangu – Aslay

Post Image

Msanii Aslay ambaye sasa hivi anafanya vizuri zaidi huku akiachia kazi mpya kila siku, amewataa mashabiki kutompambanisha na Alikiba au msanii yeyote, kwani hajaweza kufikia nafasi ya Alikiba. Aslay ameyasema hayo kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na East Africa Televison, na kusema kwamba ingawa anaendelea kufanya vizuri lakini hawezi kupambanishwa na msanii huyo kwani hawako […]

Read More..

Alikiba sio level yangu – Aslay

Post Image

Msanii Aslay ambaye sasa hivi anafanya vizuri zaidi huku akiachia kazi mpya kila siku, amewataa mashabiki kutompambanisha na Alikiba au msanii yeyote, kwani hajaweza kufikia nafasi ya Alikiba. Aslay ameyasema hayo kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na East Africa Televison, na kusema kwamba ingawa anaendelea kufanya vizuri lakini hawezi kupambanishwa na msanii huyo kwani hawako […]

Read More..

Nay Afunguka Kuuza Magari Yake

Post Image

Msanii wa muziki wa kizai kipya Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, ameweka wazi sababu ya kuuza magari yake na kuonekana akipanda daladala, na kukiri kweli ameuza magari Akiongea na mwandishi wa East Africa Television, Nay amesema ameuza magari hayo kwa sababu mbalimbali ambazo anazijua yeye, hivyo watu wasishangae wakimuona akikatisha mtaani kwa mguu […]

Read More..

Sina Urafiki na Bongo Movie Zaidi ya Kazi- ...

Post Image

MUIGIZAJI bora katika tasnia ya filamu Bongo Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema kuwa hana rafiki ndani ya Bongo movie zaidi ya kazi kitu anachokipenda kuliko kitu kingine , alisema kuwa anakuwa na rafiki katika kazi husika tu na si vinginevyo hivyo anashanga kutokea mtu kumshambulia katika mitandao ya kijamii.   “Niwe wazi kiukweli naweza sina rafiki […]

Read More..

Dogo Janja: Uwoya Kanigombanisha na Demu Wa...

Post Image

HIT maker wa ngoma ya Ngarenaro, Abdulaaziz Chende ‘Dogo Janja’, amefunguka kuwa skendo inayosambaa ikimhusisha yeye na Queen wa Bongo Muvi, Irene Uwoya, kuwa wanavunja amri ya sita kisirisiri, ishu hiyo imeleta mgogoro wa kukata na shoka kati yake na mpenzi wake, ambaye anadhani huenda labda ishu hiyo ina ukweli ndani yake. Dogo Janja ambaye hata […]

Read More..