-->

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10

Zari amruka Diamond, ataka asimchezee

Post Image

Dar es Salaam. Drama za sakata la Diamond na mwanamitindo Hamisa Mobetto limechukua sura mpya baada ya Zari kujibu mapigo katika mtandao wa Snapchat akionya asihusishwe. Awali katika maelezo yake mwanamuziki Diamond amesema ameshazungumza na mpenzi wake huyo kuhusiana na mtoto aliyezaa na Hamisa na kwamba ameelewa na hakuna tatizo tena. Wakati Diamond akiendelea na mahojiano katika […]

Read More..

Diamond Platunumz afunguka mazito kuhusu mt...

Post Image

Dar es Salaam. Mwanamuziki Diamond Platnumz amesema uhusiano wake na mwanamitindo Hamisa Mobeto umeidhalilisha familia yake hasa mama yake na mzazi mwenzake Zarina Hassan, maarufu Zari. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na kituo cha Redio cha Clouds jijini Dar es Salaam leo Jumanne, Diamond amesema mama yake alitukanwa katika mitandao ya kijamii baada […]

Read More..

AliKiba Awashangaa Wanaompakazia Amekopi Se...

Post Image

Wakati Seduce me ikiendelea kukimbiza ambapo mpaka sasa imeweza kufikisha watazamaji milioni tano na kuahidi kuachia dude jipya endapo itafikisha watazamaji milioni kumi, Ali Kiba amewatolea povu watu wanaodai kuwa wimbo huo amekopi kutoka kwa jamaa huko ufilipino. “Kitu kizuri siku zote huwa kinapigwa mawe, wimbo huu ni wa kisasa ndio maana watu wanaongea sana […]

Read More..

Mbasha Avunja Ukimya

Post Image

Msanii wa muziki wa Injili bongo Emmanuel Mbasha, ameamua kuvunja ukimya juu ya tuhuma alizopewa za kutelekela watoto aliozaa na wanawake wotauti tofauti, na kusema habari hizo hazina ukweli wowote. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Emmanuel Mbasha amesema tuhuma hizo ni uongo na anachukia watu wanaotengeneza habari hizo, kwani yeye haitaji habari za […]

Read More..

Harmorapa Awananga Mzungu wa Harmonize, Wem...

Post Image

MSANII wa anayechipukia kwa kasi nchini kwenye miondoko ya Hip Hop, Harmorapa, amefunguka mengi juu ya mpenzi wa mwanamuziki mwenzake, Harmonize, anayefahamika kwa jina la Sarah na mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Madam Wema Sepetu, akisema wote ni mabibi yaani watu wenye umri mkubwa. Akizungumza kuhusu mpenzi huyo wa Harmonize, alifunguka kwamba: “Mimi […]

Read More..

Tunda Afunguka Kutoa Mimba

Post Image

Mlimbwende Tunda ambaye ni gumzo kwenye mitandao ya kijamii kutokana na urembo wake, amekana taarifa za kutoa ujauzito ambao alionekana nao, na kusema hakuwa na mimba na hajawahi kupata ujauzito maishani mwake. Akizungumza na mwandishi wa East africa Television Tunda ambaye pia ni ‘video vixen’, amesema tumbo alilonalo lilikuwa ni kitambi kilichoongezeka kutokana na kunenepa, […]

Read More..

Lady Jay Dee Shabiki Namba Moja wa Asley

Post Image

Dar es Salaam. Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee amekiri wazi kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Aslay na huwa anamsikiliza mara kwa mara. Komando Jide katika moja ya mahojiano na kituo cha habari anasema, Aslay ndio msanii anayemkosha kwa sasa sababu ana sauti nzuri ambayo huwezi kuisikia sehemu nyingine ila kwake. “Naupenda […]

Read More..

JB Awachana Wakina Gabo na Duma

Post Image

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen ‘JB amefunguka na kuwachana Gabo Zigamba pamoja na Duma kwamba njia pekee ya kufahamika ni kupitia kazi zao wanazozifanya na wala siyo masuala ya ugomvi baina yao. JB amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV, baada ya msanii Duma kutoa kauli yake iliyokuwa inamponda Gabo siku za hivi karibuni […]

Read More..

Nay wa Mitego: Dimpoz Angenigusa Mimi Pasin...

Post Image

RAPA mahiri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amesema endapo kitendo alichokifanya Ommy Dimpoz cha kuweka picha ya mzazi wa Diamond Platnumz kwenye Instagram yake, angefanyiwa yeye basi pangechimbika. Mitego anayefanya poa na wimbo wake mpya, ‘Makuzi’ ameliambia ShowBiz kuwa anampenda sana mama yake mzazi hivyo adui anaweza kumtukana yeye au […]

Read More..

Hamisa Mobetto na 40 ya Mwanaye

Post Image

LICHA ya kuendelea kuwaficha mashabiki baba halisi wa mtoto wake wa pili aliyemtaja kwa majina ya Abdul Nasibu, mwanamitindo, Hamisa Mobetto ameanza kufanya maandalizi ya kusherehekea siku 40 za mwanaye huyo kuzaliwa ambaye mpaka sasa hakuna aliyebahatika kuiona sura zaidi ya ndugu zake wa karibu. Katika ukurasa wa Instagram wiki hii, Mobetto amekuwa akiyanadi mavazi […]

Read More..

Chuchu Hans: Naanza Kumwandaa Jaden Kuwa St...

Post Image

STAA wa Filamu za Bongo, Chuchu Hans, amesema kuwa atafanya kazi kwa bidii kuhakikisha anamwandaa mtoto wake wa kiume kuwa staa wa baadaye. Msanii huyo pamoja na Vicent Kigosi ‘Ray’ walifanikiwa kupata mtoto wa kiume mapema mwaka huu, ambaye amepewa jina la Jaden. Akizungumza na MTANZANIA jana, Chuchu alisema Jaden si wa kwanza, hivyo ili […]

Read More..

Masogange: Natamani Kuwa Mchungaji

Post Image

UKITAJIWA jina la Agness Jerald na kuambiwa ni muuza nyago kwenye video za Kibongo kidogo unaweza kubishana na mimi lakini ukitajiwa jina la Masogange bila hata kubisha utaanza kuorodhesha video zake alizoshiriki ikiwemo Masogange ya Belle9 pamoja na Msambinungwa ya Tundaman akiwa na Alikiba.   Masogange ni mmoja wa modo wasiokauka kwenye midomo ya wanaburudani […]

Read More..

Asikuambie mtu, ndoa tamu jamani-Meya

Post Image

MWIGIZAJI na mchekeshaji wa Filamu Bongo, Meya Shaabani amesema kabla ya kuingia katika ndoa aliichukulia poa, lakini kwa sasa anaona utamu wake na kumfanya afurahie maisha. Meya alisema maisha anayoishi kwa sasa ni ya furaha na amani tofauti na enzi za uselana hiyo imetokana na kuoa mke anayefanana naye na kupendana kila siku upendo ukitawala […]

Read More..

Wolper Afunguka Kama Akitendwa na Mpenzi Wa...

Post Image

Muigizaji wa filamu na Mfanyabiashara, Jacquline Wolper amefunguka na kusema iwapo mpenzi wake wa sasa (Brown) akimtenda na kumuumiza kama waliopita ataamini kuwa hakuna wa kumwamini kwenye mapenzi na kwamba wanaume wote wana matendo ya kufanana. Akizungumza na Mwandishi wa EATV, Wolper ambaye miezi michache alitangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake (Msanii wa muziki) ma […]

Read More..

Duma vs Gabo Moshi Unafuka!

Post Image

Upande wa Bongo Movie nako kunazidi kuwaka moto ambapo safari hii tena hali inazidi kuwa ya balaa juu ya uwepo wa bifu wa Mwigizaji aliyetamba na tamthiliya ya Siri ya Mtungi, Daudi Michael “Duma” pamoja na Gabo Zigamba. Kwa mujibu wa Duma anasema, Katika watu wa kwanza wanaoongoza kuharibu sanaa ya Bongo Movie ni Gabo […]

Read More..

Dimpoz Mikononi Mwa Polisi Dar Masaa Matano

Post Image

STAAA wa Bongo Fleva nchini, Ommy Nyembo aka ‘Dimpoz’, ambaye anatamba na kibao chake cha ‘Cheche, jana alikuwa kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam kunako saa tano asubuhi akiwa amesindikizwa na watu wengine wawili. Alipohojiwa na mtandao huu baada ya kutoka kituoni hapo, Dimpoz alisema: “Niliitwa kwa ajili ya mahojiano lakini mambo mengine yapo […]

Read More..

Hakimiliki Itawanufaisha Wasanii, Mapato ya...

Post Image

Ili kukidhi mahitaji ya kila siku, jitihada zinahitajika. Kila mtu anayo namna yake halali ya kumuingizia kipato. Katika harakati hizo wapo wasanii wa uigizaji, muziki au uimbaji, uchoraji, uandishi, utunzi na ubunifu tofauti. Hakimiliki ni sheria ambayo inampa msanii haki ya kumiliki kitu alichotengeneza au kubuni. Kinaweza kuwa kwenye mfumo au muonekano wa mchoro, picha, […]

Read More..

Wema Sepetu na Idris Kazi Bado Ipo

Post Image

INSTAGRAM siku hizi ndo imekuwa sehemu ya watu wengi maarufu kutolea mapovu yao mengi pengine inaweza ikawa sababu ya umaarufu wa mtandao huo na uwepo wa watu wengi wanaotumia pia. Majuzi kolabo hatari ambalo liliingia doa mapema, kati ya Idris Sultan na Wema Sepetu lilianza kuonekana tena kuanza kurudi rudi baada ya wote kwa pamoja […]

Read More..