-->

Seduce Me, Zilipendwa ni shida mtaani

Post Image

KWA vijana wa kizazi kipya na mashabiki wa Alikiba na Diamond kuna maneno mawili tu yanayotamba Seduce na Zilipendwa. Seduce ni wimbo mpya wa Kiba unaomaanisha ushawishi na Zilipendwa ni wimbo wa Diamond anaokumbushia mambo ya zamani kwa staili ya kisasa. KAMA ULIKUWA HUJUI FRESHI REMIX NI wimbo wa Fid Q ambao amewashirikisha Diamond na […]

Read More..

Zari Awajibu Wanaodai Hamkumbuki Ivan

Post Image

AMEWAJIBU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz, Zari kutembelea kaburi la aliyekuwa mumewe marehemu Ivan Semwanga ‘Ivan Don’, Kayunga, jijini Kampala, Uganda. Mrembo huyo ambaye amekuwa akipata wakati mgumu kutoka kwa watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ambao wamekuwa wakimtuhumu kutomkumbuka mume wake huyo wa zamani, […]

Read More..

VIDEO: Jux Kurudiania na Vanessa?

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kuweka wazi msimamo wake endapo mpenzi wake wa zamani Vanessa Mdee akitaka kurudi na waishi kama zamani na kusema kwa sasa hajui hivyo hawezi kuhukumu wala kusema lolote juu ya hilo. Jux anasema ni bora asubiri wakati uongee kuliko kusema jambo ambalo hata yeye mwenyewe halifahamu na kusema anaweza kusema haiwezekani […]

Read More..

Goodluck Gosbert Anazidi Kupasua Anga

Post Image

Jina la nyota wa muziki wa Injili Nchini Goodluck Gozebert maarufu kama ‘Lollipop’ sio geni masikioni mwa wengi hasa kutokana na aina ya muziki anaoufanya. Kwa namna moja au nyingine, amechangia kwa kiasi kikubwa kubadili mahadhi ya muziki wa Injili nchini toka ule uliokuwa umezoeleka zamani na kuwa wa kizazi kipya yaani ‘Bongo Gospo’. Ukarimu, […]

Read More..

Aika: Mnaosubiri Niolewe na Nahreel Mtasubi...

Post Image

BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa mwanadada Aika Mariale na mpenzi wake wa siku nyingi, Nahreel, wanaounda kundi la muziki wa kizazi kipya la Navy Kenzo, wapo kwenye mipango ya ndoa, mwanadada huyo amefunguka kuwa hakuna kitu kama hicho kwa sasa. Akipiga stori na Mikito Nusunusu, Aika wa nahreel alisema watu  wanapenda kuzusha mambo wasiyoyajua na suala hilo […]

Read More..

Gabo Zigamba ni kirusi kwenye tasnia ya fil...

Post Image

Msanii wa filamu aliyewahi kufanya vizuri na tamthilia ya Siri ya Mtungi, Duma, amefunguka kwa kudai kuwa muigizaji bora wa filamu 2016 kupitia tuzo za EATV Awards, Gabo Zigamba ni kirusi katika tasnia ya filamu. Duma amedai muigizaji huyo hawezi kuvaa vizuri na kujiweka kistaa hali ambayo inachafua tasnia ya filamu. “Gabo ni kirusi, popote […]

Read More..

Ben Selongo Aikacha Bongo Movie?

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu za vichekesho nchini, Ben Branco Selengo amefunguka na kusema sasa ameamua kuimba muziki wa singeli huku akiwataka wakali wa singeli kujipanga kwani amekuja kuchukua pesa zilizopo kwenye muziki wa singeli. Ben anasema kwenye filamu hakuna msanii ambaye anaweza kuchukua nafasi yake hivyo ameamua kwenda kwenye muziki kutafuta mkwanja huku akidai kuwa […]

Read More..

Kisa Gauni, Wema Ashindwa Kuhudhuria Uzindu...

Post Image

Diva anayebamba kunako tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushindwa kuhudhuria uzinduzi wa viatu vya x- wake, Idriss Sultan, kutokana na fundi kumharibia nguo yake. Wema ameonyesha kusikitishwa kwa kitendo hiko, hasa ukizingatia kwamba Idriss alimsapoti kwa asilimia kubwa katika uzinduzi wa filamu yake ya Heaven Sent. Na kupitia ukurasa wake wa Instagram, amemuomba radhi na kumuelezea kilichotokea. “Siku […]

Read More..

Idriss Amuonea Huruma Sana Jack Wolper kwa ...

Post Image

MCHEKESHAJI na muigizaji wa filamu Bongo Idris Sultan amewaacha wapenzi wa filamu pale aliposema kuwa anamuonea huruma sana Jack Wolper kwa mikasa inayomkabili katika maisha yake ya mahusiano kwani amekuwa hana bahati kila mwanaume anayekutana naye lazima amuumize na hayo usimlimua akipigwa chini. “Juzi hapa tumesikia kuwa alipata mwanaume akaenda kwake hana hela mama akajua mume […]

Read More..

Charugamba Ammwagia Sifa Rose Mhando

Post Image

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili, Ussy Charugamba, amesema katika wakongwe kwenye tasnia hiyo, anamkubali zaidi Rose Mhando kwa kuwa amewaonyesha njia waimbaji wengi. Bosi huyo wa Ussy Production, ameliambia MTANZANIA kuwa anajiona mwenye bahati kufanya kazi na Rose Mhando kwa kumshirikisha kwenye wimbo wake unaoitwa ‘Wema’ ambao utakuwa kwenye albamu yake ya sita. “Rose Mhando […]

Read More..

Mahakama yafuta ushindi wa Uhuru Kenyata

Post Image

Mahakama ya juu nchini Kenya imefuta ushindi wa Rais Uhuru Kenyata kwa uchaguzi uliofanyika Agosti 8, 2017, na kutaka uchaguzi huo urudiwe.   Hukumu hiyo imetolewa leo na jopo la majaji 6 ilirushwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari nchini Kenya, imesema uchaguzi huo utarudiwa baada ya siku 60. Akisoma uamuzi huo Jaji Mkuu […]

Read More..

Jux Amlilia Vanessa Mdee

Post Image

Msanii wa muziki bongo fleva Juma Jux aonyesha bado anahitaji uwepo wa aliyekuwa mpenzi wake msanii Vanessa Mdee, kwa kushindwa kuvumilia maumivu ya kuachana na kuweka bayana kwamba atafarijika sana endapo atamuona tena kwa mara nyingine. Jux amebainisha hayo kupitia ukurasa wake Instagram ambapo  ameandika ujumbe unaohusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, na kusema miaka ya […]

Read More..

Mahakama Yakataa Vielelezo Kuhusu Kesi ya W...

Post Image

Mahakama ya hakimu mkaazi Kisutu Jijini Dar es salaam imekataa kupokea vielelezo vya ushahidi wa msokoto na vipisi viwili vya bangi vilivyotolewa na upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Wema na wenzake. Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba alisema Mahakama haiwezi kupokea vielelezo hivyo kwa sababu vina kasoro “Nakubaliana na hoja kwamba msokoto wa bangi na […]

Read More..

Msisikilize Maneno ya Watu-Chid Benz (Video...

Post Image

Rapa Chid Benz ambaye sasa anafanya poa na wimbo wake ‘Muda’ akiwa ameshirikiana na mkongwe Q Chillah amefunguka na kuwataka mashabiki wake kutosikiliza maneno ya watu na kudai wapinzani wake wamekuwa wakimuongelea vibaya kwa lengo la kumchafua. Chid Benz anasema muda mwingine kwenye maisha yake ya kila siku amekuwa ni mtu wa utani sana kiasi […]

Read More..

Wolper: Nikiangalia Picha Hii Nalia Kabisa

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameguswa na tatizo la ukosefu wa ajira ambalo vijana wengi wanakumbana nalo kwa sasa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper ameweka picha ya vijana waliojitokeza jana katika usaili wa kazi TRA na kuandika ujumbe mrefu akieleza namna alivyoguswa; Nikiangalia picha kama hizi naumiaga sana nanilivyo na machozi ya karibu basi […]

Read More..

Alikiba Amzungumzia Chid Benz na Sakata la ...

Post Image

Msanii Alikiba amejitosa kwenye suala la dawa za kulevya kwa kumtetea aliyekuwa swahiba wake Chid Benz kwa kusema anapofungwa mtumiaji wa dawa za kulevya ni kumtesa bali anapaswa kupelekwa katika vituo vya afya ili aweze kupatiwa tiba mbadala. Alikiba ameeleza hayo baada ya Chid Benz kukamatwa na dawa za kulevya hivi karibuni na Jeshi la […]

Read More..

Magazeti ya Leo August 31

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Machinga Wahahaa Kuitafuta Filamu ya Bei Ka...

Post Image

BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu staa wa filamu Bongo Simon Mwapagata ‘Rado’ amerudi kwa nguvu zote akija na filamu kubwa ijulikanayo kwa jina la Bei Kali, filamu hiyo ambayo imezua simulizi mitaani huku wapenzi wa filamu wakiomba kampuni itakayosambaza sinema hiyo ya Papazi Entertainment iitoe haraka. Mmoja kati ya wauzaji wa filamu za […]

Read More..