-->

Dogo Janja Amfungukia Irene Uwoya, ‘Nampe...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya. Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya leo ‘Ngarenaro’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na hakuna kilichokuwa kinaendelea kati yao ingawa watu waliwachukulia vinginevyo. “Nampenda sana yule dada […]

Read More..

Amini Afungukia Kutompongeza Linah

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Amini amefunguka mambo kadhaa kuhusu aliyekuwa mpenzi wake Linah tangu alipojifungua. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Yamoyoni’, ameiambia XXL ya Clouds Fm aliposikia Linah amejifungua alimuombea tu ila hakuweza kumpatia zawadi yoyote. “Sikuwahi kumpongeza wala kumpelekea zawadi kwa sababu sifahamu anapokaa, vile vile sina mawasiliano naye. […]

Read More..

Chid Benz: Tupac yupo Cuba na Ninawasiliana...

Post Image

Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni. Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na  eNewz alisema kuwa  “Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na […]

Read More..

Wolper Hafikirii Kabisa Kujibusti

Post Image

JACQUILINE Wolper, mmoja ya nyota wa kike wa filamu nchini, ametamba anajiamini kwa urembo alionao wa rangi na sura na kwamba hana mpango wa kujitengeneza. Wolper alisema kuwa hana muda wa kutumia dawa yoyote kukuza makalio yake au chochote mwilini mwake kama kinadada wengine wafanyavyo kwani anaukubali uumbaji wa Mungu. “Kuna watu wanajibusti mzee, utaona […]

Read More..

Alikiba Atoboa sababu ya Baraka The Prince ...

Post Image

Baada ya muda mrefu wa maswali juu ya sababu iliyomfanya msanii Baraka The Prince kutoka kwenye lebo kubwa ya muziki ambayo ilimsaini ya Rockstar4000, hatimaye mmoja wa mabosi wa lebo hiyo msanii Alikiba aweka wazi kila kitu. Akizungumza kwenye Planet bongo ya East Africa Radio alipokwenda kutambulisha wimbo wake mpya wa ‘seduce me’, Alikiba amesema […]

Read More..

RC Makonda kasitisha bomoabomoa ya zaidi ya...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo August 30, 2017 ametembelea Bonde la Mto Msimbazi lililopo katika Wilaya ya Kinondoni ambako wananchi walitangaziwa kuwa nyumba zao zaidi ya 17,000 zitabomolewa. RC Makonda amewaondoa hofu wananchi ambao walikuwa na hofu ya kubomolewa akisema kuwa hakuna atakayefanya hivyo kwa kuwa hawakufuata utaratibu na kuagiza […]

Read More..

Alikiba, Diamond, Lulu, Millard Ayo Watajwa...

Post Image

Mastaa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania, Alikiba na Diamond Platnumz wametajwa kwenye orodha ya vijana 100 waliochini ya miaka 40 wenye ushawishi zaidi barani Africa kwa mwaka 2017. Kwenye orodha hiyo iliyotolewa leo na mtandao wa African Youth Awards imemtaja pia muigizaji wa filamu nchini Tanzania mrembo Elizabeth ‘Lulu’ Michael na mwanamitindo Flaviana Matata na mwana habari […]

Read More..

Young Dee Aomba Radhi Kuhusu Picha ya Utupu

Post Image

Rapper Young Dee amewaomba radhi mashabiki wake kutokana na picha ya utupu iliyosambaa leo mitandaoni , akiwa na Amber Lulu ambaye ndiye aliyekaa utupu. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Young Dee ameandika kwamba picha hiyo imevujishwa na watu wasiojulikana, ambayo ilikuwa na lengo la tangazo la nguo. “Nasikitishwa kwa picha inayosambaa mitandaoni.. imevuja bila ridhaa […]

Read More..

Nisha Awatolea Uvivu Walioponda Shepu Yeka

Post Image

Msanii wa filamu za kibongo Nisha bebe amewawakia mashabiki wanaomsema vibaya kwamba hana shepu, na kusema kuwa wasimlazimishe kuishi maisha feki. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Nisha ameandika ujumbe mrefu akionyesha kushangazwa na watu hao, huku akisema kwamba kuwa na shepu kwake sio kitu cha msingi, la muhimu ni akili ambazo amepewa na Mungu. “Halafu […]

Read More..

Jux Aendelea Kumng’ang’ania V Money

Post Image

LICHA ya ‘couple’ ya mastaa Vanessa Mdee ‘V Money’ na Juma Mussa ‘Juma Jux’ kufikia mwisho, Jux ameibuka na kusisitiza kuwa, atendelea kuwa karibu na mwanadada huyo kwa kuwa bado anampenda. Jux alisema ni kweli wameachana, baada ya kushindwa kufikia mwafaka wa tatizo lao, lakini wataendelea kuwa karibu kutokana na ustaa wao na urafiki. Akizungumza […]

Read More..

Mkojo wa Masogange Gumzo Mahakamani

Post Image

MAHAKAMA ya Hakimu Mkasi Kisutu ilipokea ripoti ya uchunguzi wa sampuli ya mkojo ya Msanii Masogange kutoka kwa Mkemia Elias Mulima kwenda kwa ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kama kielelezo. Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya mawakili wa Masogange, Nehemia Nkoko na Ruben Simwanza, kupinga mahakama isipokee ripoti […]

Read More..

Simuogopi Simba- Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba ambaye ni shabiki  wa klabu ya Yanga, amesema haiogopi wala kuihofia timu ya Simba hata kama wameanza vizuri kwa kugawa kichapo katika mechi za awali Ligi Kuu huku akidai mpira unadunda na muda wowote Simba itapotea. Alikiba ameeleza hayo muda mchache alipomaliza mahojiano kwenye kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio akiwa ameongozana na mtayarishaji wake […]

Read More..

Magazeti ya leo Jumanne August 29, 2017

Post Image

Chanzo Millardayo.com

Read More..

Wema Awacharukia Ali Kiba, Diamond

Post Image

MREMBO wa Bongo, aliye pia mwigizaji Wema Sepetu amewatolea povu waimbaji wa Bongofleva, Diamond na Ali Kiba kwa kuwaita ‘Wendawazimu’ na kuwataka wakue. Wema alizungumza hayo wakati wa uzinduzi wa muvi yake katika ukumbi wa Mlimani City juzi, akisema waimbaji hao wanampa ugumu kwani anapenda kazi za Kiba na kazi za Diamond, lakini amachukizwa na […]

Read More..

Msanii nguli wa filamu wa Marekani atua Ser...

Post Image

Arusha. Msanii wa filamu maarufu duniani na raia wa Marekani, Cynthia Rothrock, maarufu Lady Dragon, ametua kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Cynthia aliyewahi kushinda tuzo tano za filamu duniani kupitia filamu zake za mapigano, amefikia katika hoteli ya Grumeti Serengeti inayomilikiwa na bilionea wa Marekani, Paul Tudor. Msanii huyo ambaye ameigiza zaidi ya […]

Read More..

Aunt Ezekiel Afungukia Ukimya Wake

Post Image

Muigizaji mahiri kutoka bongo, Aunty Ezekel amekiri kuwa suala la yeye kuingia kwenye suala zima la malezi ndiyo chanzo cha ukimya wake na kubainisha kuwa kwani kipindi hicho ndiyo wakati ule mauzo ya soko la filamu yaliporomoka nchini. Akizungumza kwenye zulia jekundu mapema wiki hii katika uzinduzi wa filamu ya muigizaji mwenzake Wema Sepetu, Aunt amesema hakuwa […]

Read More..

Ukiwa Staa Unatafuta Marafiki wa Faida – ...

Post Image

NYOTA wa filamu Bongo Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amesema kuwa kwa mtu anayetazama mbele kila hatua anayopiga ili asonge mbele lazima abadilishe marafiki kufikia ndoto zake na kama itatokea mtu akabaki na kuendelea na marafiki wa awali hatofanikiwa katika harakati zake. “Kuna wakati watu wengi hukosea kuishi kwa mazoea unaweza kusikia kuwa Gabo alikuwa rafiki […]

Read More..

Ali Kiba Atupa Jiwe Gizani Kisa Watoto Wake

Post Image

STAA anayekimbiza na Wimbo wa Seduce Me, Ali Kiba Saleh ‘King Kiba’ ametupa jiwe gizani kwa kusema, hana tabia ya kutelekeza watoto kama mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva anavyofanya. Kiba ambaye wiki iliyopita alikuwa nchini Marekani kikazi, alifungukahayo alipokuwa akipiga stori mbili tatu na Ijumaa Wikienda kuhusiana na maisha yake ya kimuziki. Kiba alisema […]

Read More..