-->

Idris Sultan Amvulia Kofia Joti

Post Image

Mchekeshaji na Muigizaji maarufu nchini Tanzania, Idris Sultan ameweka wazi kwa kuwambia mashabiki wake waache kumfananisha na mchekeshaji mkongwe, Joti kwani kufanya hivyo ni kumvunjia heshima yake. Idris Sultan amesema amekuwa akisikia minong’ono kutoka kwa wadau wa burudani wakimfananisha na Joti kitu ambacho yeye binafsi hakipendi kwani hadi kufikia hapa alipo ni kutokana na kujifunza […]

Read More..

Latifa Ilimtuliza Mwenye Kichaa – Mb Dog

Post Image

Msanii Mb Dog amesema kwamba wimbo wake wa Latifa ulimpa historia kubwa kwenye maisha yake, ikiwemo kumtuliza mwanamke ambaye alikuwa na kichaa cha mimba. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mb Dog amesema wakati ametoa wimbo huo na kufanikiwa kufanya vizuri, alienda Mwanza kwenye show na kukutana na mzee mmoja ambaye alimfuata akimuomba […]

Read More..

Asante kwa Kunikubali Mh. Waziri J. Makamba...

Post Image

STAA wa Series Comedy kali ya Side wa Kitonga Said Bakary Mbelemba aka Side Jangala Junior inayotamba katika Luninga ya E Tv amefurahishwa sana na kukubalika January Makamba-Waziri wa Nchi, Ofisi ya M/Rais, Muungano na Mazingira kupitia Side wa Kitonga ambayo inakimbiza kupitia kituo chako cha Luninga cha E Tv. “Unajua unakutana na mtu mkubwa […]

Read More..

Snura, Ngassa Mnazuga?

Post Image

WAHENGA wanasema, lisemwalo lipo na kama halipo basi laja. Si mnakumbuka kipindi fulani hivi, staa wa filamu na muziki wa mduara, Snura Mushi na winga nyota wa zamani wa Yanga aliyepo Mbeya City, Mrisho Ngassa picha zao za kiutu uzima ziliwahi kuvuja na kuvumishwa kuwa ni mtu na mtuwe? Hata hivyo jamaa hao walituzuga hakuna […]

Read More..

Matatizo Yamenifikisha Hapa-Wema Sepetu

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Wema Abraham Sepetu amefunguka na kudai hawezi kubweteka chini na kushindwa kufanya kazi zingine kwa sababu ana kesi mahakamani huku akiamini kwamba matatizo wameumbiwa wanadamu na Mungu ndiye anayepanga. Akizungumza na wanahabari kwenye zulia jekundu wakati wa uzinduzi wa filamu yake mpya ‘Heaven Sent’ Mlimani City Century Cinema, Wema amesema matatizo […]

Read More..

Shamsa Atamani Kumfuata Mzee Yusuf

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa, anatamani kumfuata aliyekuwa staa wa Taarab, Mzee Yusuf kwa kuokoka kwani anahisi siku za kufa zimekaribia. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Shamsa alisema kuwa, kila kukicha anajikuta anatamani kuokoka na kuacha kila kitu anachokifanya, abaki kusali tu kwani ana hofu sana ya Mungu, lakini hajui ataanzaje, ingawa […]

Read More..

Wema Anatutoa Shimoni – Aunty Ezekiel

Post Image

Msanii wa filamu bongo Aunty Ezekiel, amejivunia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni rafiki yake mkubwa Wema Sepetu, kuzindua filamu ya Heaven Sent kwa aina ya kipekee, na kusema huenda likawa tumaini jipya kwa bongo movie. Akizungumza kwenye uzinduzi wa filamu hiyo uliofanyika katika ukumbi wa sinema jijini Dar es salaam, Aunty Ezekiel amesema […]

Read More..

Country Boy Afunguka Kulelewa na Kajala (VI...

Post Image

Rapa Country Boy ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Turn Up’ akiwa na mkongwe Mwana FA amefunguka na kusema kuwa msanii wa filamu nchini Kajala Masanja anamlea vizuri na kusema kwake ni kama mama. Country Boy anasema yeye na Kajala wanafahamiana muda mrefu na kudai kuwa hata wimbo wake wa kwanza kufanya Kajala ndiye […]

Read More..

Afande Aibuka Baada ya Kutajwa kwenye ̵...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa hop hop, Afande Sele baada ya kujwa kwenye wimbo Zilipendwa wa WCB, amedai amependezwa na kitendo hicho kwa mpongeza Diamond Platnumz. Wimbo ‘Zilipendwa’ uliowahusisha wasanii wote wa WCB, umeibua maswali mengi kwa baadhi ya mashabiki kutokana na maudhui ya wimbo huo kwa kuwataja baadhi ya mastaa wa zamani akiwemo Afande […]

Read More..

Kwa Nini Wema Sepetu Anatusua?

Post Image

Mama yake mzazi afunguka siri nzito Na KYALAA SEHEYE Unakumbuka Top 5 ya Miss Tanzania mwaka 2006? Kama kumbukumbu zimeondoka nitakukumbusha. Walikuwa ni Irene Uwoya, Wema Sepetu, Sarah Kangezi, Jokate Mwegelo na Lisa Jensen. Miss Tanzania iliyofunika pengine kuliko mwaka wowote tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo. Wakati walimbwende hao wakipanda jukwaani haikuwa rahisi kumbashiri mshindi. […]

Read More..

Imenichukua Muda Kujikubali – Ebitoke

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini Ebitoke amefunguka na kusema imemchukua muda mrefu sana yeye kuikubali hali yake kama msanii wa kuchekesha na muonekano wake huo aliyonao sasa anapokuwa anachekesha. Ebitoke amesema kuwa mwanzo yeye alikuwa ni muigizaji wa filamu ambaye alikuwa anaigiza ‘serious movie’ na hakutegemea kama angekuja kuwa mchekeshaji kwani hakuwahi kujua kama yeye ni […]

Read More..

Magazeti ya Leo Jumamosi, August 26

Post Image

    Chanzo: Millardayo.com

Read More..

Wema Sepetu Kuachia Filamu ya Mil. 40 Leo

Post Image

STAA ‘grade one’ kunako filamu Bongo, Wema Sepetu amewajibu watu wanaoendelea kumsema kuwa hajui kuigiza kwamba, wajaribu kutupia jicho la tatu kwenye filamu yake mpya ya Heaven Sent ambayo inatoka leo (Ijumaa) ikiwa imetengenezwa kwa gharama ya shilingi milioni 40.   Akizungumza na Ijumaa, Wema alisema kuwa ameamua kutumia kiasi kikubwa cha pesa ili filamu […]

Read More..

Matuta Yalifanya Nijifiche -JB

Post Image

MSANII nguli wa filamu za Bongo na shabiki wa klabu ya Simba, Jacob Steven ‘JB’, amesema wakati timu yake ilipoingia hatua ya matuta katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Taifa juzi, hakuweza kuangalia na badala yake alijificha. Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya mchezo huo kumalizika, JB alisema pamoja […]

Read More..

Harmorapa Ampa Makavu P-Funk Majani

Post Image

Msanii wa hip hop bongo Harmorapa, amefunguka juu ya kitendo cha kumchana mtayarishaji wa muziki ambaye iliaminika anamkubali zaidi, na kukiri kuwa kwa sasa hayuko vizuri na P Funk. Akizingumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmorapa amesema kwa sasa hawana mawasiliano mazuri na P Funk, kwani kuna mambo ambayo yalitokea, yaliyosababisha kutoelewana kwao, […]

Read More..

VIDEO:TANROADS Yadai Kutopata Zuio la Mahak...

Post Image

Dar es Salaam. Wakati Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kikilaani Kitendo cha Wakala wa Barabara Mkoa wa Dar es Salaam (Tanroads) kubomoa nyumba ambazo zina kinga ya mahakama, taasisi hiyo ya Serikali imeendelea na kazi hiyo kwa kuwa haijapewa zuio. Lakini meneja wa Tanroads wa Dar es Salaam, Julius Ndyamkama amesema hatua hiyo […]

Read More..

Nawaonea Huruma Wanaume- Wolper

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka na kusema hawezi kutoka kimapenzi na wanaume ambao wameoa kwa madai anahofia wanaweza wakatelekeza familia zao kwa maana yeye akichukua kitu huwa hawi lelemama hata kidogo. Wolper amebainisha hayo wakati akipiga stori na mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo ya East AFrica Radio, Big Chawa na […]

Read More..

Itazame Hapa Video Mpya ya Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amevunja ukimya wake leo 25 Agosti 2017 kwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Seduce me’ ambayo imekuja moja kwa moja na video zake. Wimbo huu wa Alikiba umetengenezwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Tanzania Man Water Itazame hapa video hii mpya  ya Alikiba

Read More..