-->

Masogange: Situmii uchawi wanakuja wenyewe

Post Image

BINTI mwenye haiba ya aina yake, Masogange ametamka kwamba sasa ameamua kuachana rasmi na kuuza sura kwenye video kwavile baby wake hapendi. Lakini anadai kwamba kumbe utoto ndio ulikuwa unamdanganya. “Wakati nauza sura kipindi kile nilikuwa na akili ya kitoto, yaani nilikuwa nataka na mimi niwe Staa nijulikane. Nilikuwa nikiona wale dada zetu wanavyoonekana kwenye […]

Read More..

Jackline Wolper Kwenda Jela

Post Image

Msanii wa filamu za bongo ambaye kwa sasa ni mjasiriamali mkubwa, Jackline Wolper, amekula kiapo cha kwenda jela iwapo mtu yeyote atamtolea maneno machafu mzazi wake. Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Wolper amesema yeye kwa kawaida ni mpole lakini iwapo mtu atafanya kitu kibaya juu ya familia yake, hatofikiria […]

Read More..

Madee Amchana Roma Mkatoliki

Post Image

Rais wa Manzese, Madee amefunguka kwa kumchana rapa Roma Mkatoliki aache tabia yake ya kupenda kuichunguza simu ya mke wake na kuitumia kila mara kwani ipo siku yatakuja kumkuta makubwa asipoangalia. Madee amebainisha hayo baada ya msanii Roma kudai hamiliki simu ya kiganjani tokea alipopatwa na matatizo ya kutekwa na watu hivyo sasa anatumia simu ya mke wake […]

Read More..

Senga Atoboa Siri Anavyopiga Mkwanja

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe, Ulimboka Mwakisikye ‘Senga’ amesema kwa sasa sanaa imekuwa ngumu hivyo kitu pekee kinachomuingizia pesa ni kufanya vichekesho vya majukwaani huko mikoani pamoja na kualikwa kwenye shughuli mbalimbali za kijamii hivyo kulipwa chochote kidogo ili kuyasongesha maisha. Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni kupitia simu ya mkononi, Senga ambaye alidai yupo wilayani Kahama, […]

Read More..

Kuna Wasanii Wanabebwa na Media – Roma

Post Image

Msanii wa hip hop Bongo, Roma amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii wanapata upendeleo wa ngoma zao kupata airtime katika media. Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Zimbabwe’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa mara nyingi siyo kitu kizuri kwani pale msaada huo unapofika kikomo msanii hupotea kwenye muziki. “Yeah, off […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo August 24

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Steve Nyerere ataka mvutano wa Diamond, Ali...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Steve Nyerere ametoa ushauri kwa kile kinachoendelea kati ya Diamond Platnumz, Alikiba na Ommy Dimpoz kwenye mitandao ya kijamii. Wasanii hawa wa Bongo Flava wamekuwa wakitupiana maneno yenye mafumbo katika mitandao ya kijamii tangu Diamond aliposhirikishwa katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’ ambayo ilitoka hiyo juzi na kudaiwa kuna […]

Read More..

Nilipigwa Sana Mawe – Mr. Blue

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr. Blue ametoa siri inayomfanya afanikiwe kufanya vizuri kwenye ‘game’ ya bongo fleva tangu aanze akiwa mdogo na kusema kuwa haikuwa rahisi kwake wakati anaanza kwani wengi walimtupia maneno yenye madongo ndani yake. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mr. Blue amesema kipindi anaanza kutengeneza ‘brand’ yake kama […]

Read More..

Dimpoz amwaga ugali ishu ya ‘Malkia wa Ng...

Post Image

Wiki hii rapa, Fid Q kaachia wimbo wake mpya ‘Fresh’ akiwa amemshirikisha Diamond pamoja na Rayvanny ambao umeibua mgongano mkubwa wa mawazo kupitia mitandao ya kijamii kutokana na mistari ya Diamond ambayo ilidaiwa kwenda kwa Alikiba. Mkali huyo wa Aje alishindwa kuvumilia baadhi ya vitu vilivyozungumzwa katika wimbo huo na kuamua kunyesha mvua ya tweets […]

Read More..

Wema Sepetu Asaka Mtu Wakutoka Naye

Post Image

Msanii wa filamu wa kike bongo Wema Sepetu ambaye wengi humtaja kuwa msanii mwenye nyota ya kupendwa na mashabiki, amefunguka kuwa anasaka mtu atakaye toka naye usiku wa uzinduzi wa filamu yake.   Kwenye ukurasa wake wa Instagram Wema Sepetu amendika ujumbe wa kumtafuta mtu huyo atakayekuwa naye usiku huo, kwani akisema raha ya tukio […]

Read More..

Uwoya: Huu Ndiyo Ukweli wa Mimi na Ndiku

Post Image

DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya aliyekuwa mume wa ndoa wa muigizaji nyota, Irene Uwoya aitwaye Hamad Ndikumana kutema povu kubwa katika mitandao ya kijamii, akimsema vibaya mzazi mwenzake huyo, mrembo huyo naye ameibuka na kuanika kile alichodai, ni ukweli kuhusu wawili hao, Risasi Mchanganyiko linaripoti. HUYU HAPA IRENE UWOYA Risasi Mchanganyiko lilifanya jitihada […]

Read More..

Magazeti ya Leo Jumatano, August 23

Post Image

CHANZO:millardayo.com

Read More..

SHILOLE: Kufanya bonge la harusi!

Post Image

SHILOLE msimchukulie poa kabisa. Alichopanga kufanya kama kikikaa sawa, itakuwa gumzo kwelikweli hapa jijini. Msanii huyo wa muziki wa Bongo Flava na mwigizaji wa Bongo Muvi amewaambia mashabiki na marafiki zake kwamba, wasiwe na haraka watulie kwanza kwani anaamini ndoa yake ambayo amedai iko njiani, itaacha historia. Amesema kuwa harusi yake itakuwa ya maana na […]

Read More..

Vanessa Penzini Tena?

Post Image

Msanii wa kike bongo kwenye game ya bongo fleva anayekimbiza kimataifa Vanessa Mdee, ameonekana kupata mbadala wa aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Juma Jux, kwa kuanza kumposti mwanaume mwingine huku kukiwa na ‘caption’ zenye ujumbe wa mahaba. Kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache zilizopita Vanessa Mdee alimposti msanii wa Nigeria Run Town na […]

Read More..

Nuh Mziwanda Awalilia Mashabiki Wake

Post Image

‘STRESS’ za kumwagana na aliyekuwa mke wake ambaye pia ni mzazi mwenziye, zinaendelea kuutesa ubongo wa mwanamuziki wa Bongo fleva, Nuh Mziwanda, ambapo hivi karibuni ameamua kuomba ushauri kwa mashabiki wake, juu ya mwanamke gani atamfaa katika maisha yake. Nuh ambaye ni baba wa mtoto mmoja aliyezaa na aliyekuwa mkewe, Nawal, akiwa kwa sasa ni […]

Read More..

Hali ya Bulaya bado tete

Post Image

Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) imeelezwa kuwa bado ni tete. Hali hiyo ni kufuatia tatizo la kupumua alilolipata baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime. Mwananchi lilifika katika wodi namba 18 Sewahaji alipolazwa mbunge huyo, lakini […]

Read More..

Alikiba Ajibu Mashairi ya Diamond?

Post Image

Baada ya verse ya Diamomd Platnumz kusikika katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’, kumekuwa na tweets kutoka kwa Alikiba ambazo bado hazijaeleweka iwapo zinajibu kile alichoimba Diamond katika ngoma hiyo. Katika ngoma hiyo ya rapper huyo mkongwe kuna mIstari Diamond anasema, “Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kalle, siwalitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale”. […]

Read More..

Mh. Ester Bulaya Kuletwa Muhimbili na Ndege

Post Image

Hali ya Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mh. Ester Amos Bulaya imezidi kuwa mbaya, kwa mujibu wa Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mara Mh. Joyce Sokombi, ambaye yuko naye hospitali akimuuguza. Mh. Sokombi amesema pamoja na kwamba amepelekwa katika hospitali ya mkoa Mara Mbunge huyo hajapata nafuu, hivyo amepewa rufaa ya kuja hospitali […]

Read More..