Shilole: Skendo Kwangu Sasa Basi

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema sasa ameamua kutulia kuepukana na skendo, kwa kuwa tayari yupo kwenye hatua za mwisho kuingia kwenye maisha ya ndoa. Kauli ya Shilole kudai anatarajia kuolewa hivi karibuni ilizua gumzo, huku baadhi ya watu wakidai si kweli, lakini mwenyewe amekiri kwa kusema mashabiki wake watarajie kumuona akivalishwa shela […]
Read More..