-->

Mr Nice: Kenya Wananipenda, Tanzania Hawani...

Post Image

MWANAMUZIKI wa miondoko maarufu kwa jina la Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), ambaye alijizolea umaarufu miaka ya 2000 na baadaye kupotea kidogo kutokana na sababu za hapa na pale, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amesema kuwa anaamini kuna baadhi ya Watanzania wenzake hawampendi. Mwanamuziki huyo ambaye kwa sasa amerejea upya katika gemu, amefunguka mambo mengi katika makala haya: […]

Read More..

Snura Atoa Neno kwa Kichuya wa Simba

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Snura Mushi ambaye ni shabiki wa Simba, ameutazama mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 23 na kumtaka straika wao, Shiza Kichuya, kupambana na kuhakikisha anaitungua Yanga dakika za mwanzo. Snura amekuwa akivutiwa na straika huyo tangu alipotua Simba na kuahidi kumsapoti kila wakati timu hizo zitakapokutana. Akizungumza na MTANZANIA, Snura amemtaka […]

Read More..

VIDEO:Furaha Zatawala Mapokezi ya wanafunzi...

Post Image

Kilimanjaro. Furaha imetawala ujio wa watoto watatu wa Shule ya Lucky Vicent waliowasili leo Ijumaa, Agosti 18 wakitokea nchini Marekani kwenye matibabu baada ya kupata ajali Mei mwaka huu. Wazazi na ndugu waliruhusiwa kuingia ndani ya ndege hiyo kuwapokea watoto wao ambao wamepata nafuu kwa kiasi kikubwa. Wilson Tarimo alikuwa wa kwanza kushuka katika ndege […]

Read More..

Mzee Majuto Aanika Mafanikio Aliyoyapata kw...

Post Image

Msanii wa vichekesho Mzee Majuto amefunguka na kusema sanaa imembadilisha maisha na kudai ameweza kujenga nyumba kubwa tatu, ameweza kununua magari matano pamoja na kumiliki shamba lenye ukubwa wa ekari tano. Mzee Majuto amedai kuwa ameanza kufanikiwa katika sanaa baada ua kuanza kujitegemea mwenyewe kwenye kazi zake, hivyo amedai kwa mafanikio ambayo amepata sasa inatosha […]

Read More..

Uamuzi pingamizi kesi ya Wema kutolewa Agos...

Post Image

Dar es Salaam. Uamuzi wa kupokea au kutopokea kielelezo cha ushahidi cha msokoto mmoja wa bangi na vipisi viwili vya bangi katika kesi inayomkabili mlimbwende wa Tanzania 2006, Wema Sepetu utatolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mwisho wa mwezi huu. Hakimu Mkazi Mkuu,Thomas Simba amesema uamuzi huo ulipaswa autoe leo, lakini bado kuna tafiti […]

Read More..

Nay wa Mitego Afungukia Bifu Lake na Roma

Post Image

HIT MAKER wa ngoma inayobamba kwa sasa Acheze, Emmanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego’, amesema aliumizwa sana na maneno ya rapa mwenziye, Roma Mkatoliki, aliyeongea maneno ya kumkashifu mara baada ya kuibuka baada ya kutekwa kwake, miezi michache iliyopita. NAY WA MITEGO AFUNGUKA… “Roma anatakiwa ajue kwamba mimi ni mmoja kati ya wasanii ambao walishinda kutwa […]

Read More..

Jina la Mtoto wa Hamisa Mobetto Lazua Utata...

Post Image

Mtoto wa mwanamitindo Hamisa Mobetto Jumatatu hii ametimiza siku saba toka azaliwe Agosti 8 mwaka huu ambapo amepewa jina la Abdul Naseeb. Jina ambalo limeanza kumaliza maswali mengi ya mashabiki ambao walitaka kumjua baba wa mtoto huyo. Awali mrembo huyo alifungua akaunti ya Instagram kwa jina ‘Tanzania Baby’ lakini Jumanne hii alibadilisha jina na kuandika […]

Read More..

Janjaro Aanika Maisha Yake, Kuonja Penzi la...

Post Image

MOJA kati ya headline zilizosumbua kwenye mitandao ya kijamii hivi karibuni ni uhusiano wa kimapenzi kati ya chalii wa Ngarenaro-Arusha, Abdulaziz Chende ‘Dongo Janja’ na staa wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya. Umri wa Dogo Janja ambaye pia utakuwa hujakosea kama utamuita Janjaro umeshapita miaka 18. Ana uhuru wa kuingia kwenye masuala ya uhusiano, lakini […]

Read More..

Nikki wa Pili awapa makavu wasanii

Post Image

Msanii kutoka kampuni ya Weusi Nikki wa Pili amefunguka na kuwachana wasanii wenzake ambao wanapuuzia vikao vinavyoitishwa na kudai endapo hawatobadilika na tabia hiyo basi watambue haki zao zitachelewa kuwafikia. Nikki amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya yeye kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wasanii wa kusimamia mfuko wa wasanii wa bongo fleva […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo August 17, 2017

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Mzee Majuto Atangaza Tena Kuacha Sanaa (Vid...

Post Image

Mchekeshaji na Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Alhaji Amri Athumani almaarufu Mzee Majuto ametangaza rasmi kustaafu kazi hiyo baada ya kuitumikia kwa zaidi ya ,miaka 30. Mzee Majuto amesema amechukua maamuzi hayo baada ya kuona umri unaenda na uwingi wa changamoto wa kazi hiyo hivyo ameamua arudi kwenye kilimo na kumtumikia Mungu. “Kwa sasa […]

Read More..

Napenda Kuwafunika kwa Pamba-Lulu

Post Image

MWIGIZAJI, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka na kudai kuwa, hakuna kitu anachopenda kama kutupia viwalo na kwamba, kila kunapokuwa na hafla ni lazima avunje kabati. Lulu alisema sio kwenye sherehe tu, bali hata katika kazi zake za filamu anapenda kutupia kwa sababu anapenda kuvaa na kuonekana tofauti kila mara ikiwa ni furaha yake. “Mi napenda kupendeza […]

Read More..

Madee amkataa Wolper kucheza video yake mpy...

Post Image

Msanii Madee Ali ‘Madee’ kutoka kundi la Tip Top Connection amefunguka kuwa anashangazwa na uvumi wa msanii mwenzake, Jackline Wolper kwa kudai kuwa ametumika katika video mpya ya msanii huyo ya ‘Sikila’ bila ruhusa yake. “Ile video haijamuonyesha mtu sura zaidi ya kuwa na katuni hivyo nashangaa kusikia hivyo, kikubwa ni kuwa hajatumika yeye bali […]

Read More..

Hiki Ndicho Kilichosababisha Jina Kabula Ku...

Post Image

Msanii wa muziki Issabela Mpanda ambaye ni rafiki wa Karibu wa Mariam Jorwa au jini Kabula ambaye hivi karibuni amepata matatizo ya kurukwa na akili, ameweka wazi kilichomsababishia shoga yake huyo kuchanganyikiwa. Akizungumza na mwandishi wa eatv, Issabela amesema daktari ambaye anamtibia Kabula amesema kuwa rafiki yao alikuwa na msongo wa mawazo, lakini kwa sasa […]

Read More..

Wema Kashaamua, Sasa ni Kazi tu!

Post Image

SUPASTAA wa Bongo Movie, Wema Sepetu ‘Madame’, ameamua bwana baada ya kuweka bayana kwamba sasa amezama kisawasawa kwenye filamu ili kukata kiu ya mashabiki wake. Mrembo huyo amesema kuwa kila uchao amekuwa akipokea maoni toka kwa mashabiki, wakihoji ukimya wake kwenye sanaa na amewajibu kuwa watulie wasiwe na kokoro kwani, mambo matamu yanakuja na watakata […]

Read More..

Dokii Atoa Onyo Hili kwa wa Bongo

Post Image

Msanii Dokii amewataka Watanzania waache kumfuatilia maisha yake, kwani maisha yake hayawahusu hata kidogo, hususani kwa kipindi hiki ambacho ameamua kuokoka. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dokii amesema yeye hajali watu wanachokisema juu yake, kwani anachoangalia yeye ni yale anayoyafanya kwa Mungu wake, hivyo watu wasipoteze muda kabisa kumuongelea. “Wasiwe busy na […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, August ...

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Wanataka Kuniuwa – Said Karoli

Post Image

Ikiwa imepita miezi miwili toka msanii wa nyimbo za asili Tanzania Said Karoli arudi rasmi kwenye muziki na kuachia kazi zake mbili zilizopata mafanikio na kuwafikia watu wengi zaidi ameibuka na kudai watu wameanza kumpiga vita kishirikina na wanata. Said Karoli ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Orugambo’ amedai kuwa ushirikina upo na watu […]

Read More..