Kesi ya Wema Sepetu Ngoma Nzito, Ushahidi W...

Ushahidi wa kesi ya Wema Sepetu na wenzake wawili ya matumizi ya madawa ya kulevya aina ya bangi, umezua mvutano mzito katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam Jumanne hii. Upande wa washtakiwa ambao unaongozwa na wakili Peter Kibatala na Tundu Lisu, umeupinga ushahidi wa vielelezo ambavyo vimefikishwa mahakamani hapo na ofisa […]
Read More..