-->

Kesi ya Wema Sepetu Ngoma Nzito, Ushahidi W...

Post Image

Ushahidi wa kesi ya Wema Sepetu na wenzake wawili ya matumizi ya madawa ya kulevya aina ya bangi, umezua mvutano mzito katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam Jumanne hii. Upande wa washtakiwa ambao unaongozwa na wakili Peter Kibatala na Tundu Lisu, umeupinga ushahidi wa vielelezo ambavyo vimefikishwa mahakamani hapo na ofisa […]

Read More..

Wahyda Mkwe wa Mr Blue Atoboa Haya Kuhusu K...

Post Image

Mke wa msanii wa Hip hop bongo Mr. Blue Bi. Wahida maarufu kwa jina la Wahida wa Mr. Blue, ametoa sababu ambayo iliwafanya yeye na mumewe kupigana mara kwa mara. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Wahda amesema wakati wanamlea mtoto wao wa kwanza wa kiume Heri Samir, walikuwa na changamoto […]

Read More..

Chid Benz Akamatwa kwa Madawa ya Kulevya

Post Image

Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji […]

Read More..

Huddah: Natamani Kuwa Mke wa Rais

Post Image

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amesema anatamani siku moja aje kuwa mke wa rais ili aweze kuishi kwa amani katika maisha yake. Mrembo huyo wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, alitumia mitandao yake ya kijamii kuonesha wazi kumpigia debe Rais Uhuru Kenyata. Hata hivyo, baada ya Uhuru kushinda urais, Huddah alisema anatamani […]

Read More..

Mke wa Mugabe akamatwa Afrika Kusini

Post Image

Johannesburg, Afrika Kusini. Grace Mugabe, ambaye ni mke wa Rais Robert Mugabe aweza awe amewafanyia ubabe watu kadhaa nchini kwake lakini kitendo cha kumshambulia, kwa waya wa umeme, mrembo mwenye umri wa miaka 20 kimemweka matatani. Mama Mugabe alikamatwa jana na alikuwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumshambulia mrembo huyo anayedaiwa kuwa ni […]

Read More..

Hakuna mwanamke anapenda mwanaume – G...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Giggy Money amefunguka na kusema kuwa hakuna mwanamke anapenda mwanaume bali wanawake wanapenda pesa tu hivyo amedai yeye sasa hajali kumfurahisha mwanaume kwa umbo lake ila anachoangalia yeye anapiga pesa. Mbali na hilo Giggy Money anadai kuwa ndoto zake za kuja kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria bado […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya leo August 15, 2017

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Richie: Msichana Anaweza Kubadili Jamii

Post Image

MSANII mkongwe katika filamu Bongo, Single Mtambalike ‘Richie’ yupo mbioni kuachia kazi yake ya Queen of Maasai mwanzoni mwa Septemba ambayo anaonyesha jinsi gani msichana anaweza kubadili maisha ya jamii yake. Akizungumza na Over Ze Weekend, Rich alisema waigizaji wengi wanakimbilia kutengeneza filamu za kimapenzi, lakini yeye kama mkongwe, ameamua kuonyesha jinsi msichana mdogo anavyoweza kubadili maisha ya jamii […]

Read More..

Prezzo Akanusha Kutaka Kumuua Mke Wake

Post Image

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amekanusha taarifa kwamba anamtishia kifo aliyekuwa mke wake, Michelle Yola. Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kulikuwa na taarifa kwamba Michelle anatishiwa kifo na mkali wa mavazi ‘King of Bling’ Prezzo, lakini msanii huyo amekanusha na kusema Michelle anatafuta kiki. “Niliweka wazi kuwa sina […]

Read More..

Fid Q Ajibu Hoja ya Mwakyembe

Post Image

Msanii Fareed Kubanda ambaye wengi humuita ‘concious rapper’ kutoka bongo, amejibu kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe aliyosema wasanii wasiimbe siasa, na kusema kuwa siyo rahisi kwa wasanii kuacha kitu kitu hicho. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Fid Q amesema Waziri hakuwa sahihi kusema hivyo, kwani siasa ipo kwenye […]

Read More..

TID Ameathirika Kisaikolojia – Q Chief

Post Image

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Q Chief ameamua kumchana swaiba wake TID kwa kumwambia aachane na tabia ya kuzungumza vitu visivyomuhusu huku akimshauri kwa umri wake ni bora angejitahidi kuangalia jinsi ya kurudi kwenye muziki. Chief amesema TID ameathirika kisaikolojia kwani kwa hali ya kawaida msanii anayejitambua hawezi kuwa muda mwingi anafuatilia maisha ya mtu […]

Read More..

Kashfa Zamrudisha Shigongo Darasani

Post Image

Mtunzi wa vitabu mashuhuri Tanzania Erick James Shigongo, anatarajia kurudi shule na kusoma elimu ya shahada, baada ya kuhangaika muda mrefu kutafuta nafasi hiyo, huku akisukumwa na masimango na matusi ya mitandaoni. Kwenye ukurasa wake wa facebook Erick Shigongo ameandika waraka mrefu akielezea safari yake kitaaluma na furaha aliyonayo, ya kuweza kufikia ndoto yake ya […]

Read More..

Waumini wakimbia Kanisa kupisha bomoabomoa

Post Image

Waumini wa Kanisa la Freedom Pentecostal Bible Tanzania lililopo Kibamba kwa Mangi wamelikimbia kanisa lao baada ya kukumbwa na bomoabomoa na jana, ibada ya Jumapili ilihudhuriwa na waumini 10 tu. Kanisa hilo ni miongoni mwa nyumba 30 za ibada zilizokumbwa na bomoabomoa hiyo ili kupisha upanuzi wa Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kiluvya ikiwa […]

Read More..

Yasome Hapa Magazeti ya Leo August 14

Post Image

    Chanzo:Millardayo.com

Read More..

Makala: Watu 7 Maarufu Waliozungumza Kuhusu...

Post Image

Kipindi hiki cha utawala wa awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais Dkt. John Magufuli, unapotaka kuzungumzia muziki wa wa Bongo Flava ni vigumu kuepuka kutaja la Diamond Platnumz na Alikiba. Muziki wao, ushindani na maneno ya hapa na pale yanatoa picha halisi ya game ya muziki huo ilivyo kwa sasa. Kutokana na uzito […]

Read More..

Wema: Sijawahi ‘Kummisi’ Kajala, Muna

Post Image

STAA wa filamu mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa hajawahi kuwakumbuka (kuwamis) waliokuwa mashoga zake wa damu, Muna Alphonse ‘Muna’ na Kajala Masanja na kudai alishawatoa kwenye akili yake. Akizungumza na Star Mix, Wema alisema kuna baadhi ya watu ambao hajaonana nao muda mrefu na anawakumbuka kila mara lakini kwa upande wake hajawahi […]

Read More..

Sitegemei Kiki za Instagram-Shilole

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shilole amewatolea povu mashabiki zake kwa kuwataka kuacha kumkalili kuwa yeye bila ya kiki na kukaa mtupu hawezi kufanya vizuri katika kazi zake za kimuziki. Shilole amebainisha hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live ‘FNL’ kutoka EATV baada ya baadhi ya mashabiki zake kumuona msanii huyo kutoa video ya […]

Read More..

Labda Nina Mimba ya Wizkid – Gigy Money

Post Image

Video vixen Bongo, Gigy Money amekanusha tetesi za kuwa na ujauzito. Gigy Money ambaye ameamua kuingia kwenye muziki na sasa anatamba na ngoma ‘Papa’, ameiambia FNL ya EATV kuwa ndoto yake kubwa ni kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria pengine hapo ndipo utapatikana ujauzito. “Kipindi cha sasa hivi na Papa ndio nimetoa?, hapana, ujue […]

Read More..