-->

Ruby Afungukia Picha ya ‘Ujauzito’

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby ambaye hivi karibuni aliibua hali ya sintofahamu mitandaoni baada ya kupost picha akionyesha tumbo lake na wengi kuhisi ni mjamzito, amesema aliamua kufanya upumbavu kuhusu tukio hilo. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Ruby amesema hana ujauzito kabisa […]

Read More..

Mwanariadha Alphonce Simbu ang’ara London...

Post Image

Mwanariadha Alphonce Simbu ameshinda medali ya shaba katika mbio ndefu za Marathon akimaliza nafasi ya tatu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha London, Uingereza. Simbu alikimbia kwa saa 2:09:51 na kumaliza kwenye nafasi ya tatu nyuma ya Mkenya, Geoffrey Kirui aliyemaliza kwenye nafasi ya kwanza akikimbia kwa saa 2:08:27 na Muethiopia, Tamirat Tola aliyemaliza wa […]

Read More..

Ujumbe wa Diamond na Zari kwa Tiffah

Post Image

Familia ya Diamond na mpenzi wake Zari The Bosslady Jumapili ya leo wamepata furaha kubwa zaidi ambayo inawafanya wakumbuke miaka miwili iliyopita. Furaha ambayo wapo nayo familia hiyo kwa sasa ni kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza Princess Tiffah ambaye anatimiza maiaka miwili ya kuzaliwa kwake. Kupitia mtandao wa instagram, wazazi hao […]

Read More..

Bongo Muvi Hatujielewi-Lulu

Post Image

Msanii wa maigizo aliyefanya vizuri na filamu ya ‘Mapenzi ya Mungu’, Elizabeth Michael ‘ Lulu’ amefunguka na kusema wasanii wa maigizo bongo wanafeli kutokana na kutojielewa ni kitu gani ambacho wanakitaka kwenye sanaa, badala yake wanafuata mikumbo. Lulu amefunguka hayo hivi karibuni akizungumza na wanahabari na kusema kuwa wasanii wengi wa Tanzania hawapendi kujishughulisha kutafuta […]

Read More..

Lulu Diva: ‘Milele’ Ilinipa Wakati Mgum...

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’, amesema wimbo wake unaoitwa ‘Milele’, ndio uliompa wakati mgumu tangu alipoanza kujihusisha na tasnia ya uimbaji. Akizungumza hivi karibuni na MTANZANIA, Lulu Diva, alisema ugumu ulianza wakati wa kuandaa wimbo huo, hadi kukamilisha. Alisema licha ya kuwa wimbo huo ulimtambulisha vema katika tasnia ya muziki […]

Read More..

King Majuto: Mastaa Wamenikaushia Bwana!

Post Image

TANGA. JANA Alhamisi tulianza makala yaliyotokana na mahojiano maalumu na mwigizaji na mchekeshaji mkongwe nchini, Amir Athuman ‘Mzee Majuto’ ambaye alivumishiwa kifo, siku chache baada ya kuanza kuugua. Mwanaspoti lilimwibukia mwigizaji huyo nyumbani kwake Donge, jijini Tanga na kumkuta katika hali inayotia tumaini na ndio maana aliweza kufanya mazungumzo yaliyozaa makala haya. Mzee Majuto aliweka […]

Read More..

Rais Magufuli Awapatanisha Ruge na Makonda

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapatanisha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda nakuwataka wafanye kazi kama pamoja. Tukio hilo la aina yake, limetokea leo AGOSTI 5, 2017 kwenye Kijiji cha Chongoleani, Tanga ambapo kulikuwa na tukio kubwa la uwekaji […]

Read More..

Hivi Ndivyo Ndoa ya Nuh Mziwanda na Nawal I...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni kumeibuka minong’ono kuwa ndoa yake na Nawal imesambaratika, amefunguka kuhusu hilo na kukiri kuwa kweli ndoa hiyo imekufa bila talaka, huku mke wake akiwa mbioni kuolewa na mtu mwingine. Nuh Mziwanda amefunguka kuwa mke wake huyo hajampa talaka lakini ameolewa na mtu mwingine, huku vuguvugu kubwa […]

Read More..

Ndikumana Amfungukia Irene Uwoya

Post Image

Mcheza mpira kutoka Rwanda Hamad Ndikumana ambaye ni mume wa muigizaji wa filamu za bongo Irene Uwoya, amekubali kumpa talaka Irene ili andelee na maisha yake baada ya kutengana muda mrefu huku akieleza kuchoshwa na skendo chafu za mke wake huyo. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Ndikumana ameandika ujumbe akisema amekubali kumpa Irene talaka, hivyo […]

Read More..

Mzee Majuto Afungukia Ombi Lake Kugonga Mwa...

Post Image

Msanii mkongwe wa vichekesho nchini Tanzania, Amir Athuman maarufu kama Mzee Majuto amesema amegundua jambo lililopelekea kunyimwa kununuliwa trekta na Rais mstaafu Jakaya Kikwete ni kutokana na kuomba kama mtu binafsi na wala siyo kwa kikundi maalum. Mzee Majuto amebainisha hayo hivi karibuni baada ya kupita takribani miaka minne alipoomba kufanyiwa kupitia kipindi cha Mkasi […]

Read More..

Mahakama Yatupa Maombi ya Wabunge Waliofuku...

Post Image

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya waliokuwa wabunge wa viti maalum wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa wabunge wateule. Wabunge hao walifungua maombi hayo wakiiomba mahakama itoe amri ya zuio kwa Bunge, lisiwaapishe wabunge hao wateule, hadi pale kesi yao ya msingi kupinga kufutwa uanachama wa […]

Read More..

Nyumba ya Profesa J Yakumbwa na Bomoabomoa

Post Image

Dar es Salaam. Nyumba za kifahari zilizojengwa pembezoni mwa Barabara ya Morogoro kuanzia maeneo ya Kimara mpaka Kiluvya jijini Dar es Salaam zimekumbwa na bomoabomoa ya aina yake. Pengine hilo linafahamika na wengi, lakini bomoabomoa hiyo haikumuacha salama Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa J’. Wamiliki wengi wa nyumba hizo hawajaanza kubomoa wenyewe kama […]

Read More..

Msami Afuta Kauli Yake, ‘Irene Uwoya Alin...

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo Flava, Msami kutoa kauli kuwa aliyekuwa mpenzi wake, Irene Uwoya ndiye aliyemtongoza, muimbaji huyo ameamua kuomba radhi kwa kutoa kauli hiyo. Msamii amesema asingependa kuona mjadala huo unaendelea kwa sasa na anatamani mashabiki wa Irene waendelee kushabikia kazi zake na mashabiki wake pia waendelee kushabiki kazi za Irene, kwani ndio njia ya […]

Read More..

Majambazi Yapora Mamilioni Kiwandani, Matat...

Post Image

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha na kupora Sh464 milioni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana Alhamisi, Agosti 3 kuwa watu hao walikamatwa Julai 19 mwaka huu mkoani Singida walipokimbilia baada ya kufanya uhalifu. Kamanda Msangi amesema […]

Read More..

Wanaomuua Jini Kabula Wajulikana!

Post Image

WAKATI hali ya staa wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ikiwa bado si shwari, watu ambao wanatajwa kuzidi kumuweka kwenye wakati mgumu na kumsukumizia kwenye kifo wamejulikana, Ijumaa linakupa habari hii ya kusikitisha. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jini Kabula anayedaiwa kuwa na tatizo la kuchanganyikiwa, alisema anashangaa wakati yuko kwenye matatizo hayo mazito ndipo […]

Read More..

Mpoto Afungukia Kutembea Peku Peku

Post Image

Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kudai hapendi kuwa ‘mpumbavu’ na ndiyo maana anatembea peku peku (bila ya kuvaa viatu) popote pale aendapo na hakuna mtu wa kumzuia kutofanya hivyo.   Mpoto amebainisha hayo baada ya kuwepo na tetesi kuwa alizuiwa kuingia kwenye nje za ughaibuni wakati anakaguliwa kwenye lango […]

Read More..

Shilole Awafunda Wasanii wa Kike

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amewataka wasanii wa kike wanaoibuka katika soko hilo kutobweteka na kutegemea mteremko ili wasonge mbele. Shilole anayeendelea kutamba na wimbo mpya wa ‘Sitoi Kiki’, alisema muda mfupi aliokaa kimya bila kusikika, hakufulia kama inavyosemekana, badala yake aliwapa nafasi wasanii chipukizi wa kike ili nao wajitangaze sokoni. “Kuna […]

Read More..

Magufuli Ataka Kufuta Hati ya Shamba la Cha...

Post Image

Rais John Magufuli amesema anasubiri taarifa kutoka kwa kamishna wa ardhi ili aweze kuifuta hati ya shamba la Chavda na kulirejesha kwa wananchi. Amesema notisi ya ombi la kufuta shamba hilo tayari siku 90 zimemalizika hivyo inasubiri mchakato wa kamishna wa ardhi amuandikie barua. Ametoa taarifa hiyo leo Alhamisi, Agosti 3 baada ya Mbunge wa […]

Read More..