-->

Halima aitaka Serikali ijibu hoja za kuporo...

Post Image

Waziri Kivuli wa Mipango, Fedha na Uchumi, Halima Mdee ameitaka Serikali kujibu hoja kuhusu kuporomoka kwa uchumi katika utawala wa Rais John Magufuli badala ya kuwadanganya wananchi. Mdee ambaye pia ni mbunge wa Kawe (Chadema) amesema hoja zilizotolewa na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hazijajibiwa na Msemaji wa Serikali, Dk Hussein Abbas badala yake anatoa […]

Read More..

Irene Uwoya Anafaa – Dogo Janja

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Dogo Janja kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu mahusiano yake, na kutoa sintofahamu kuhusu kutoka kimapenzi na muigizaji wa filamu za kibongo Irene Uwoya. Akizungumza na mtandao wa East Africa Television, Dogo Janja ambaye mara nyingi hapendi kuzungumzia maisha yake binafsi, ameamua kusema kuwa msanii huyo anafaa. “Irene ni […]

Read More..

Nuh Mziwanda Abadili Dini, Amkacha Mke

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda amethibitisha kurudi katika dini yake ya awali ya Ukristo na kutengana na mkewe. Kupitia XXL ya Clouds FM, Nuh ameeleza kuwa ni kweli alikuwa kanisani siku ya Jumapili kama taarifa zilivyozagaa katika mitandao mbalimbali kuwa ameonekana kanisani. “Nimerudi kwa Mungu wangu ili mambo yangu yaende vizuri maana […]

Read More..

Wolper Awapa Ngumu Kumeza Instagram

Post Image

Kupitia ukurasa wake wa Instagram,muigizaji Jacqueline Wolper ameandika kupitia ukurasa wake Instagram. Hivi ni nani asiekuwa na furaha instagram, kila mtu hujitia mapenzi mazuri, maisha mazuri, hakuna magomvi ndani ya nyumba wakati in reality watu wanalia kimyakimya tunawachora, wengine wanapigika wee bila kusahau mikopo kibao mpaka usiku wanaota wanakimbizana na marejesho lakini wakija insta wanajitia […]

Read More..

Mau Fundi na Filamu ya Mwalimu Masemele

Post Image

FILAMU ya Mwalimu Masemele iliyotayarishwa na muigizaji nyota Maulid Ally aka Maufundi imeingia sokoni leo na inasambazwa nchi nzima kwa maduka yote ambayo yanauza filamu za kibongo sinema hiyo imeandaliwa mkoani Morogoro lengo la mtayarishaji ikiwa ni kuwaweka pamoja wasanii wote. Akiongea na FC Mau amesema kuwa filamu hiyo ni nzuri na ina mafunzo kwa […]

Read More..

Mwanaume Wangu wa Sasa sio Serengeti Boy-Sh...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya asiyeisha vituko Shilole amemtetea mwanaume wake mpya baada ya tuhuma za kutoka na serengeti boys. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Shilole amesema kwa sasa yeye hana mahusiano na wanaume ambao amewazidi umri, kwani mpenzi wake wa sasa ni mwanaume halisi (gentle man) na amemfanya […]

Read More..

Mkojo wa Wema Wakutwa na Vimelea Vya Bangi

Post Image

MKEMIA, Elias Mulima, amedai mahakamani kuwa mkojo wa mrembo wa zamani wa Tanzania (2006), Wema Sepetu ulibainika kuwa anavuta bangi, baada ya kufanyiwa uchunguzi. Mulima ambaye anatoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam alipokuwa akitoa ushahidi upande wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa […]

Read More..

Mkojo wa Masogange Umebainika Kuwa na Heroi...

Post Image

Dar es Salaam. Mkemia kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Elias Mulima, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa sampuli ya mkojo wa msanii Agnes Gerald maarufu kama Deal ama Masogange (28) umebainika kuwa na dawa ya kulevya aina ya heroin. Akitoa ushahidi leo Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, shahidi huyo […]

Read More..

Waziri Dkt. Mwakyembe Kukutana na Wadau wa ...

Post Image

WAZIRI mwenye dhamana ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (MB) anatarajia kukutana na wadau wa tasnia ya filamu (Shirikisho la filamu Tanzania na vyama vyake) tarehe 4 August, 2017 siku ya ijumaa kuanzia muda wa saa 2:30 asubuhi hadi 7:00 mchana katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalim Nyerere posta. Mhe. Waziri makundi […]

Read More..

Mdukuzi Amenirudisha Sana Nyuma- Ray C

Post Image

Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila ‘Ray C’ amedai kumfunga mwizi aliyedukua (hack) ukurasa wake wa Instagram uliokuwa na wafuasi zaidi ya laki tano na kusema kwamba hataweza kuvumilia wezi kuendelea kuwepo mitaani. Ray C amefunguka hayo siku chache zilizopita alipokuwepo kwenye Heshima ya Bongo fleva kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yaanza Kuunguruma Mahak...

Post Image

Kesi ya matumizi ya madawa ya kulevya inayomkabili malkia wa filamu nchini Wema Sepetu na wenzake wengine wawili imeendelea tena mchana wa leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kuahirishwa mapema leo asubuhi. Katika kesi hiyo imeonekana kuanza kuwavutia watu kutokana na ushindani wa vifungu vya sheria kutoka kwa […]

Read More..

Mzazi Mwenzake Linah Afungukia Picha Tata

Post Image

Baba mtoto wa msanii Linah Sanga, Mchomvu amedai picha alizopiga msanii huyo akiwa mjamzito ni za kawaida na kwamba alihusika kwa asilimia zote kuhakikisha zoezi linaenda sawa ikiwa ni pamoja na kuandaa mavazi, ingawa kwa jamii ilionekana tofauti. Aidha ameongeza kuwa picha kama zile kwa Linah ambaye ni mwanamuziki hazina shida hata kidogo ingawa kwa […]

Read More..

Exclusive: Maskini Jini Kabula! Ukimsikia U...

Post Image

Ikiwa ni takriban miezi miwili na siku kadhaa tangu kuzagaa kwa ishu za kuugua ugonjwa wa afya ya akili ukiambatana na kuchanganyikiwa kwa mwigizaji wa sinema za Kibongo, hasa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, hatimaye ameibuka na kunena mambo mazito yenye kuumiza juu ya sakata hilo. Miongoni mwa mambo anayodai kutendewa, Kabula alisema kuwa, […]

Read More..

Wema Ashindwa Kupokea Kadi CHADEMA

Post Image

Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu CHADEMA, Frederick Sumaye amefunguka na kusema msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ameshindwa kupokea kadi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutokana na kuchelewa mahakamani. Frederick Sumaye amesema kuwa leo ilikuwa imepangwa Wema Sepetu pamoja na wenzake kukabidhiwa kadi za Chama na msanii huyo […]

Read More..

Shamsa Yupo Tayari Kuachika!

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ amefunguka kuwa, yupo tayari kupewa talaka kuliko kuacha kazi yake ya uigizaji. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shamsa alisema kuwa, ikitokea mumewe kumtaka aachane na uigizaji atamuomba talaka kwani hayupo tayari kuachana na kazi hiyo kwa sababu anaipenda […]

Read More..

Sijampiga Dongo Wolper Aku Raha ya Serenget...

Post Image

”Salma Jabu” Nisha muiogizaji wa filamu swahilihood.[/caption]NYOTA wa filamu Bongo Salma Jabu ‘Nisha’ amesikitishwa na baadhi ya watu ambao wanajaribu kumtengenezea ugomvi na msanii mwezake wa kike Jack Wolper kwa kutafsiri ujumbe wake alioposti katika ukurasa wake kama ilikuwa ni dongo akimpiga msanii mwezake. “Jamani sipendi kinachoendelea mimi siwezi kumuingilia Wolper awe na nani, na asiwe […]

Read More..

Wema: Nisipopata Mtoto Nafunga Kizazi

Post Image

Exclusive! Hapo nyuma kumepita matukio mengi yaliyomhusu staa mwenye jina lake kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Wema Abraham Isac Sepetu, lakini mwenyewe hakuwa tayari kufungua kinywa kutoa ufafanuzi na hisia zake. Ni kupitia Ijumaa Wikienda ambalo limethubutu kufanya naye mahojiano maalum ambayo ndani yake alifunguka mambo mazito kuhusu maisha yake ya sasa na kuelezea dhamira yake ya kutaka […]

Read More..

Q Chief Amsihi TID

Post Image

Msanii Q Chief amefunguka na kusema yeye hana muda wa kumjibu TID na kudai saizi yeye anaona ni muda wa kujipanga kwa ajili ya kazi zake na maisha yake kwani TID si mtu ambaye anaweza kuwa wa aina yake. Q Chief amesema hayo leo kwenye kipindi cha Planet bongo kufuatia TID siku ya Ijumaa kupitia […]

Read More..