-->

Ommy Alichomoa Kufundishwa Gari na Demu

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Cheche’ amefunguka na kusema aligoma kabisa kujifunza au kufundishwa gari na demu wake mpaka siku alipokuja kununua gari yake ya kwanza ndipo alijifunza kupitia gari yake. Ommy Dimpoz amesema hayo kupitia kipindi cha ‘Bongo Flava Top 20’ kinachorushwa na East Africa Radio na kudai kuwa […]

Read More..

Gig Money: Nimekua Sitafanya Ujinga

Post Image

VIDEO Queen anayezipendezesha nyimbo za wasanii Bongo, Gift Stanford, ‘Gig Money’, amesema kwa sasa amekuwa mtu mzima, hivyo hawezi kuishi maisha kama ya zamani ya kufanya matukio. Akizungumza na MTANZANIA jana, Gig Money alisema sasa ana umri mkubwa, hivyo hawezi kwenda na matukio kama aliyoyafanya zamani, kwani ule ulikuwa ni utoto. “Sasa nimekua, najua nini […]

Read More..

Nisha Awatolea Povu Kina Marioo

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo na Mchekeshaji, Nisha amewatolea uvivu wanaume wanaopenda kulelewa kwa madai ya kuwaridhisha wanawake kwenye mapenzi kwa kuwaambia kwamba hata wanawake huwa wanachoka kupigwa vizinga vya kila mara. Nisha ametoa povu hilo kwenye FNL ya EATV na kusema wanaume wengi wanaokuwa hawapendi kufanya kazi kwa madai wanatunzwa na wanawake wanakuwa ni mzigo kwani […]

Read More..

Nitawakimbiza Sana- Ibrah

Post Image

MUIGIZAJI Bora wa kiume katika Tamasha la Filamu la Zanzibar, (ZIFF), Ibrahim Osward ‘Ibrah’ ameanza kuchonga baada ya kunyakua tuzo hiyo akidai kuna nyingine zinakuja kwa umri na kipaji alichonacho. “Namshukuru Mungu kwa kuniweka juu na kushinda tuzo kubwa ya ZIFF. Naamini nitawakimbiza sana waigizaji wa kiume kwani umri wangu unaruhusu,” alisema Ibrah. Kinara huyo […]

Read More..

Uwoya Alinitaka Mwenyewe – Msami Baby.

Post Image

Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma ya ‘So Fine’ Msami baby amedai hana mawazo ya mpenzi wake wa zamani, msanii wa bogo movie, Irene Uwoya kutoka kimapenzi na msanii Dogo Janja kwani hakuwahi kumtaka bali mwanadada huyo ndiye aliyemtaka wa kwanza. Msami amefunguka hayo kwenye FNL ya EATV ijuma hii wakati alipokuwa akijibu swali la mtangazaji […]

Read More..

Fatma Karume Amshtaki Polisi Aliyemzogoa Ma...

Post Image

WAKILI wa Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Tundu Lissu, Fatma Karume amefungua kesi ya madai Mahakama Kuu ya Tanzania dhdi ya Inspekta wa Polisi Eugene Mwampondela wa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es salaam. Katika kesi hiyo, Fatma anahitaji alipwe na Inspekta Mwampondela Sh bilioni moja kwa kosa la […]

Read More..

Sijapigwa ‘stop’ na Baraka – Naj

Post Image

Msanii wa bongo fleva na mpenzi wake Baraka the Price, Najdattani amefunguka kwa kukanusha kuwa hajawahi pigwa marufuku na mwenzake wake kuwatumia ‘model’ wa kiume katika video yake mpya ya wimbo wa utanielewa kama watu wengine wanavyodai. Naj amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuwepo minong’ono mingi inayodai kuhusisha wivu wa […]

Read More..

Diamond Awapa Makavu Watu Hawa

Post Image

Diamond Platnumz amewatolea povu watu wanaokosoa kitendo cha yeye kula ‘Good time’ na mama watoto wake Zari the boss lady kwa madai kuwa mwanamama  huyo ametoka kwenye majonzi ya kufiwa na mama yake siku sio nyingi. Kupitia mtandao wa instagram, Diamond aliweka picha hiyo hapo juu nakufunguka; “Kuna vichupi kunuka wanajifanya wanajua sana uchungu wa […]

Read More..

Johari: Sijawa ‘Used’ Bado Ninaheshimik...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye tasnia hiyo lakini bado anaheshimika kwa mashabiki wake na siyo ‘Used’ kama wanavyodai mastaa wanaochipukia. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Johari ambaye jana Ijumaa Julai 28, 2017 ilikuwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, alisema anaamini […]

Read More..

Hatimaye Shilole Kuolewa Sasa

Post Image

Msanii wa bongo fleva asiyekaukiwa drama Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kwa sasa ameshatolewa barua na mpenzi wake aliyeko naye kwenye mahusiano na endapo Mungu akimjalia atafunga naye ndoa ili kuhalalisha. Shilole amefunguka hayo kwenye 5Selekt ya  EATV na kusema kwa sasa ameamua kuweka mahusiano yake faragha kidogo ili aweze kuwa huru na mpenzi wake. “Mimi […]

Read More..

Rich Mavoko Asafiria Nyota ya Diamond

Post Image

MSANII wa kizazi kipya Rich Mavoko June 2, aliingia mkataba na lebo ya Wasafi na kuanza kufanya kazi chini ya lebo hiyo inayomilikiwa na Diamond Platinamz. Tangu ajiunge na lebo hiyo, Mavoko ameachia nyimbo tatu mpaka sasa ambazo ni ‘Imebaki Story’, ‘Kokoro’ aliyomshirikisha Diamond Platinamz na ‘Sheli’ ambao ni mpya aliomshirikisha Fid Q. Kabla ya […]

Read More..

Nisha Anasa Penzi Jipya, Abadili Jina

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amebadili jina lake na kujiita Nisha Minhal Azad huku kisa kikidaiwa kuwa amefanya hivyo baada ya kuingia katika uhusiano wa kimapenzi na ‘Serengeti Boy’ anayetumia jina hilo. Alichokiandika Insta. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na msanii huyo, Nisha amekuwa karibu na ‘Serengeti Boy’ huyo ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva na kwamba ameamua kuanika kabisa uhusiano huo bila […]

Read More..

Abdukiba Atoboa Siri ya Alikiba

Post Image

Msanii Abdukiba ambaye ni mdogo wa Alikiba ametoboa siri kuwa Alikiba anaweza kuachia ngoma yake mpya pindi atakaporudi Tanzania kutokea nchini Kenya ambapo amekwenda kufanya mambo mawili matatu na gavana wa Mombasa Hassan Joho. Abdukiba alipoongea na East Africa Radio kupitia kipindi cha PlanetBongo aliweka wazi kuwa Alikiba yupo nchini Kenya na kusema amekwenda kushirikiana […]

Read More..

Wema Sepetu Awa Mbogo kwa Polisi

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ametoa yake ya moyoni na kutoa tuhuma kwa jeshi la polisi nchini kufuatia baadhi ya polisi kumpiga ndugu yake ambaye jana alikwenda naye mahakamani kusubiri kesi ya Tundu Lissu. Wema Sepetu anasema kuwa ndugu yake huyo kwa sasa anapatiwa matibabu hospitalini kufuatia kipigo alichopata kutoka kwa polisi hao kwa […]

Read More..

Ben Pol Akanusha Kutoka na Ebitoke

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Benard Paul maarufu Ben Pol, amefunguka na kusema hana uhusiano wowote na msanii mwenzake Ebitoke, ila watu wameamua kujipa majibu wenyewe. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ben Pol alisema watu wameamua kuongea maneno wanayoona yanaweza kuwapa majibu sahihi lakini yeye ameamua kukaa kimya na muda ukifika ataweka wazi kila kitu […]

Read More..

Baraka The Prince Awapa Makavu RockStar4000

Post Image

Msanii Baraka The Prince amefunguka kwa kudai sababu kubwa zilizomfanya yeye kujiengua katika usimamizi wa kampuni ya RockStar4000 ni kutokuwa makini na ukweli katika kazi wanazozifanya dhidi yake. Baraka amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuona takwimu zake zimezidi kushuka katika kazi zake alizokuwa anasimamiwa na uongozi huu pamoja na kutolewa nyimbo […]

Read More..

Wastara Akiri Sadifa Juma Kumharibu Kisaiko...

Post Image

STAA mahiri wa Bongo Muvi, Wastara Juma ameibuka na kusema aliyekuwa mume wake wa tatu ambaye ni Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, amemuharibu sana kisaikolojia kiasi kwamba anamchukia kila mwanaume anayemweleza kuwa anampenda. Akizungumza na Za Motomoto News, Wastara alisema kuwa huwa hataki hata kuiona kabisa picha ya mbunge huyo, iwe kwenye gazeti, televisheni au […]

Read More..

Ndugai Abariki Kutimuliwa Wabunge Nane CUF

Post Image

Spika wa Bunge, Job Ndugai, ameikubali barua aliyoandikiwa na Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, kuwatimua uanachama wabunge wake wanane wa viti maalum. Hatua hiyo ya Spika Ndugai inamaanisha kuwa wabunge hao wamepoteza viti vyao Bungeni na chama hichi kitatakiwa kuwateua wanachama wengine kuziba nafasi hizo. Taarifa iliyotolewa […]

Read More..