-->

Chemical afunguka kisa cha kubadili muoneka...

Post Image

Rapa wa kike anayefanya vizuri na ngoma ya ‘Queen Of Dar es salaam’, Chemical ameweka wazi sababu ya kukubali kubadili muonekano kwenye video mpya ya Msami ‘So Fine’ iliyotoka hivi karibuni ni kutaka kujiona yeye mwenyewe kwenye muonekana mpya. Akifanya mahojiano na EATV Website, Chemical amesema baada ya Msami kumuelekeza kwamba anamuhitaji Chemical wa aina […]

Read More..

Shilole ‘Ampuuzia’ Gigy Money

Post Image

Baada ya choko choko za kila mara kutoka kwa Gigy Money kwenda kwa msanii Shilole, hatimaye msanii huyo ameonyesha kuchukulia poa choko choko za video vixen huyo. Siku zilizopita Gigy Money alidai hawezi kufanya muziki na Shilole kwa sababu hamshabikii na hajawahi kupenda muziki wake, pia hivi karibuni alidai Shilole hajui kuongea kingereza vizuri. Kupitia […]

Read More..

Wanafunzi Wenzake Norah Waamsha Vilio Msiba...

Post Image

Dar es Salaam. Vilio na simanzi vimetawala kwenye msiba wa mtoto Norah Marealle baada ya kuwasili kwa wanafunzi wenzake wa Shule ya Atlas ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Wanafunzi hao waliwasili saa tano nyumbani kwa kina Norah eneo la Sinza Mori. Nora ambaye amefariki dunia jumapili iliyopita huku kukiwa na madai kwamba alibakwa na […]

Read More..

Sizai Hadi Ndoa Kwanza- Dr. Sandra wa Siri ...

Post Image

MWAJABU Omary ‘Dr. Sandra’ mwigizaji anayetamba katika tamthilia ya Siri za familia amefunguka kwa kusema kuwa pamoja na kuwa na mchumba wake zaidi ya miaka mitano katika mahusiano lakini hawezi kumzalia watoto hadi akimuoa na kufunga ndoa. “Najua mchumba wangu ananipenda sana na nipo nnaye zaidi ya miaka mitano, lakini sitaki kuzaa nje ya ndoa […]

Read More..

Kesi ya Masogange Yapigwa Kalenda

Post Image

Kesi inayomkabiri mrembo Agnes Gerald maarufu kama Masogange imeahirishwa hadi Agosti 2 mwaka huu, kesi hiyo imepigwa kalenda kutokana na Wakili wa Serikali kuuguliwa na mtoto wake. Masogange ambaye amejizolea umaarufu nchini kutokana na kupamba video za wasanii mbalimbali, anakabiliwa na mashitaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam. Katika kesi […]

Read More..

Linah Ajifungua Mtoto wa Kike

Post Image

Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga maarufu kama Linah amejifungua mtoto wa kike salama katika hospitali ya Marie Stopes, Mwenge jijini Dar es Salaam. Linah amejifungua leo, Jumanne, Julai 25 ikiwa ni muda mfupi baada ya maneno ya mashabiki zake kusambaa kwamba ujauzito wake ni wa muda mrefu tofauti na ilivyo kawaida. Mtu […]

Read More..

Orodha ya vyuo vilivyozuiwa na TCU kudahili...

Post Image

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa orodha ya vyuo vilivyozuiwa kudahili wanafunzi katika mwaka wa masomo 2017/18.  

Read More..

Hili Ndilo Tatizo la Wasanii wa Kike

Post Image

UKIMWULIZA msanii wa kike anakutana na changamoto gani kwenye kazi yake ya sanaa, pamoja na nyingine wengi watakutajia kusumbuliwa kimapenzi. Naomba niweke wazi mapema, kuna tofauti kati ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na kutakiwa kutoa rushwa ya ngono. Hapa nazungumzia usumbufu wa rushwa ya ngono. Hiyo imekuwa kero kubwa kwa wasanii wa kike. Utakuta […]

Read More..

Sitakaa Kimya Tena – Madam Flora

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili nchini Madam Flora ambaye aliwahi kuwa mke wa muimbaji injili Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema sasa hivi hata kaa kimya kwa watu wote ambao wanakuwa wakimzushia habari mbalimbali. Madam Flora amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya chombo kimoja cha habari kusambaza habari kuwa ameachana na aliyekuwa mume […]

Read More..

Masanja Mkandamizaji Awatembelea Majeruhi w...

Post Image

Dar es Salaam. Msanii na Mhubiri wa Injili, Masanja Mkandamizaji leo amewatembelea wanafunzi majeruhi wa Shule ya Msingi ya Lucky Vincent nchini Marekani. Masanja, aliyepata umaarufu katika kipindi cha televisheni cha ze comedy, ameandika katika ukurasa wake wa instagram akionyesha kumshukuru Mungu kwa kuwaona watoto hao akiwa Marekani. “Mungu amenipa neema ya kwenda kuwaona wadogo […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Ukimfuatilia Diamond…...

Post Image

Kuna njia mbili pekee za kuishi maisha yako. Moja ni kama hakuna kitu cha miujiza. Nyingine ni kama kila kitu ni miujiza. Watanzania na wanamuziki wote wa Bongo wamesimama wakimtazama Diamond katika kiwango chake cha juu kabisa cha muziki. Yuko juu sana. Ukifanya kukaa na kubishana kila siku, unatoa maombi kwa shetani. Waliobishana mwanzoni wote […]

Read More..

Mimi ni Chawa kwa Matajiri – Shetta

Post Image

Msanii Shetta ametaka watu wasimuhisi kuwa anajishughulisha na biashara za madawa na badala yake watambue yeye ni mtu anayetumia fursa kila aonapo na ndio maana ana marafiki wengi matajiri ambao wanamsaidia. Akizungumza kwenye Planet Bongo East Africa radio, Shetta amesema kwamba yeye hajishughulishi na biashara hizo za madawa na wala hana pesa za kutisha kama jinsi […]

Read More..

Mboto: Mzee Majuto Hajafa Jamani!

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Haji Salum maarufu kama Mboto, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zinazodai kuwa nguli wa vichekesho katika tasnia ya uigizaji, Amri Athuman maarufu kama King Majuto amefariki dunia. Mboto baada ya kupata taarifa hizi alifunga safari kuelekea mkoani Tanga ambapo ni nyumbani kwa Mzee Majuto na kumkuta hai, na amekanusha uvumi huo kupitia […]

Read More..

Lissu Asomewa Mashtaka ya Uchochezi

Post Image

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka ya kutoa lugha ya uchochezi. Akisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri leo Jumatatu, Julai 24, mahakama imeelezwa kuwa Lissu ametoa lugha ya uchochezi dhidi ya Serikali Julai 17 akiwa maeneo ya Ufipa, Kinondoni. Imedaiwa kuwa […]

Read More..

Hamisa Mobeto Afunguka Penzi Na Diamond, Uj...

Post Image

TANGU ilipoachiwa video ya kibao cha Salome ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akishirikiana na Rayvanny, kulianza maneno kuwa Diamond anatoka kimapenzi na mwanamitindo mwenye mvuto Hamisa Mobeto. Hamisa alikuwa mmoja wa video vixens waliopamba video hiyo kali iliyomrudisha mwanamama Saida Karoli kwenye game baada ya kujipa likizo kwa muda mrefu. Lakini […]

Read More..

VIDEO: Ben Pol Bado Hajanitoa Usichana- Ebi...

Post Image

Msanii wa vichekesho Ebitoke amefunguka na kusema Ben Pol mpaka dakika hii bado hajafanikiwa kufungua mlango wa binti huyo hivyo anadai mpaka sasa bado hajawahi kulala na mwanaume yoyote yule katika maisha yake. Ebitoke amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV na kudai Ben […]

Read More..

Flora Mbasha Alia na Wanaomchafua Mitandaon...

Post Image

Msanii wa nyimbo za Injili Tanzania, Flora Mbasha amevunja ukimya na kutoa onyo kwa baadhi ya watu wanaomchafua kupitia mitandao ya kijamii hususan Instagram. Flora ambaye kwa sasa ameolewa na mwanaume mwingine baada ya kutengana na mume wake wa awali ambaye pia ni mzazi mwenziye, Emmanuel Mbasha, amelazimika kutoa onyo hilo baada ya kusambaa kwa […]

Read More..

Apigwa Risasi Nje ya Kanisa Kibangu

Post Image

Mkazi wa Ubungo, Kibangu amenusurika kifo baada ya kupigwa risasi wakati akitaka kuingia katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Kibangu, wilayani Ubungo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Suzan Kaganda alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Akisimulia tukio hilo, mfanyakazi wa kanisa hilo, George Ng’atigwa amesema aliyejeruhiwa ni muumini wa kanisa hilo aliyemtaja kwa jina la Adrian […]

Read More..