-->

Shamsa Ford Anahitaji Watoto Wanne Zaidi

Post Image

MKE wa mfanyabiashara wa nguo, Rashid Said (Chid Mapenzi), Shamsa Ford, ameweka wazi kwamba baada ya kuishi katika ndoa kwa muda mrefu sasa anataka watoto wengine wanne. Msanii huyo ambaye alifunga ndoa Septemba mwaka jana, aliliambia MTANZANIA kwamba ameshafanya mambo mbalimbali ya starehe na mume wake huyo na sasa umefika wakati wa kuongeza watoto wengine […]

Read More..

Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest...

Post Image

Jana usiku kulikuwa na tamasha kubwa la muziki la Castle Light Unlocks lililowakutanisha wasanii wakubwa wa kimataifa kama Diamond Platnum, Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini, Rapa Future kutoka Marekani na wengine na kundi la Weusi, Navy Kenzo na Vanessa Mdee wote kutoka Tanzania. Kwenye Tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest wameonekana kusepa […]

Read More..

Ushindi wa Mwana Fa, Ay Umeipa Heshima Sana...

Post Image

HARAKATI mbalimbali zinaendelea duniani kote za kuhakikisha kazi za sanaa zinaheshimiwa na kutumika kwa faida ya msanii mwenyewe. Habari njema kwenye muziki wa Bongo Fleva ni ushindi wa wasanii Hamis Mwinjuma ‘Mwana Fa’ na Ambwene Yessaya ‘AY’, katika kesi waliyoifungua dhidi ya kampuni moja ya mawasiliano nchini, ambapo jana, Mahakama Kuu ikaitupilia mbali rufaa hiyo […]

Read More..

Chemical: Sifagilii Masharobaro, Nataka Mgu...

Post Image

Miongoni mwa marapa wa kike wanaofanya vizuri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Chemical ni miongoni mwao ambapo hivi karibuni ameonekana kwenye muonekano mpya wa ‘kisistaduu’ tofauti na alivyozoeleka. Kufuatia wengi kumhoji kuhusu mwonekano huo mpya, mwanadada huyo amefunguka kwamba yeye siyo sistaduu n ahata kwenye suala zima la mapenzi, hawafagilii masharobaro bali anataka mwanaume mgumu kama Nay wa Mitego watakayeendana. Chemical ametaja sifa za […]

Read More..

Hali ya Mzee Majuto Kwasasa

Post Image

Baada ya kulazwa hospitali kwa muda wa siku tatu , muigizaji wa filamu za vichekesho Mzee Majuto ameruhusiwa na kurudi nyumbani kwake baada ya kufanyiwa upasuaji wa hernia (ngiri) mkoani Tanga. Akizungumza kwa njia ya simu mke wa Mzee Majuto Bi. Aisha Majuto amesema kwamba tatizo lililokuwa likimsumbua mumewe lilianza siku nyingi ingawa  kwa wiki […]

Read More..

He! Nisha kumbe Naye Yumo Buana

Post Image

STAA wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’ amechomoa kupakaziwa kesi kwa Jacqueline Wolper juu ya kumponda kupenda kwake Serengeti boys (vijana wadogo kimapenzi), akifichua kuwa raha ya wapenzi wa aina hiyo anaijua vema. Nisha alitupia ujumbe kwenye akaunti yake ya Instagram ambayo ilitafsiriwa na mashabiki wake kama jiwe kwa Wolper, juu ya tabia yake ya […]

Read More..

Dude: Hali Ngumu Imenipoteza Nimeamua Kulim...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza kuwa kutokana na hali ngumu ya maisha na soko la filamu kuwa gumu amejikuta akiwa kimya na kugeukia kwenye kilimo cha mpunga. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Dude alisema hivi sasa hali imekuwa ngumu sana hasa kwa upande wa sanaa ya filamu jambo ambalo limemsababisha kuwa […]

Read More..

Mbasha Amuwashia Moto Flora

Post Image

Muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ambaye aliwahi kuwa muwe wa Flora Mbasha amefunguka ya moyoni na kuwamuashia moto aliyewahi kuwa mke wake Flora ambaye siku za karibuni ameolewa na Daudi Kusekwa. Emmanuely Mbasha amewataka Flora pamoja na huyo mumeo mpya kutoendelea kumtaja taja na kumuhusisha kwenye mambo ambayo yeye hausiki nayo, na kusema […]

Read More..

Mama Mzazi wa Zari, Afariki Dunia!

Post Image

Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi ya leo hii baada ya kuumwa. Kupitia Instagram yake asubuhi hii Zari amethibitisha kifo cha mama yake akiandika>>>”Kwa huzuni kubwa mimi na familia yangu tunatangaza kifo cha mama yetu mpendwa aliyefariki asubuhi hii. […]

Read More..

Young Killer Akubali Yaishe

Post Image

Yale majibizano kati ya Nay pamoja na Msodoki yameendelea tena, baada ya Nay wa Mitego kusema amesikia ngoma ya Young Killer lakini kwake ni kama jingo kwani wimbo huo haujamilika. Msodoki amekiri ‘True Boya’ si wimbo rasmi kwani hakufanya serious. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Young Killer amesema wimbo wake […]

Read More..

Kajala: Nilivuta Bangi, Kidogo Inipoteze

Post Image

CONFESSION! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja amevunja ‘sefu’ ya kuhifadhia siri moyoni mwake na kuweka wazi kuwahi kujihusisha na ulevi wa madawa ya kulevya, aina ya bangi, Ijumaalina kauli yake.   Katika mahojiano na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema akiwa na umri wa kuingia usichanani kutoka utotoni, alijikuta mikononi mwa marafiki waovu, waliojihusisha na ulevi huo, […]

Read More..

VIDEO: Ndugai Achoshwa na Haya

Post Image

Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai amefunguka kuwa wabunge wanaodai kuwa bunge ni dhaifu basi ni wazi watakuwa na mambo yanawasumbua ndio maana wanatoa kauli za kudhihaki chombo hicho. Mhe. Ndugai amesema hayo leo mjini Dodoma baada ya kuwepo kwa baadhi ya wabunge wanaotoa kauli zisizokuwa rasmi katika vikao vya bunge bila kufikiria kwamba […]

Read More..

Uwoya: Kuzaa Walizwe Wasio na Watoto

Post Image

STAA mwenye mvuto wa kipekee wa Bongo Muvi, Irene Uwoya amefunguka kuwa anachukizwa na ishu ya kuulizwa lini ataongeza mototo mwingine baada ya mtoto wake wa kwanza, Krish huku kukiwa na mastaa wengine ambao hawana hata mtoto wa kusingiziwa. Akizungumza na 3 Tamu, Uwoya alisema kuwa, hata kama yeye hatazaa tena, lakini ishu hiyo haita […]

Read More..

Kassim Mganga Afungukia Nyimbo Zake Kubamba...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Kassim Mganga amesema muziki wake ambao unabeba utamaduni wa Pwani zaidi umekuwa ukipendwa sana kwenye harusi. Muimbaji huyo ameeleza kutokana na hilo ndio sababu ya yeye kutosikika zaidi katika muziki wa kisasa (Bongo Fleva). “Kwa mfano sasa hivi napata changamoto ya kupokea simu nyingi zaidi za harusi, kwa hiyo nimekuwa natengeneza […]

Read More..

Mwanafunzi Ajirusha Ghorofani

Post Image

Mtoto anayedhaniwa kuwa ni mwanafunzi wa  shule ya DYCCC iliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam amejirusha kutoka ghorofa ya nne mpaka chini huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika haraka. Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi Temeke,  Andrew Satta amekiri kutokea kwa tukio hilo ingawa taarifa hizo zipo kwenye mitandao na hazijafikishwa kituoni hapo, lakini […]

Read More..

Lowassa Afika Polisi, Ulinzi Mkali, Atakiwa...

Post Image

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amewasili katika makao makuu ya Jeshi la Polisi leo (Alhamisi) kama alivyoelekezwa siku ya Jumanne wiki hii baada ya kuhojiwa kwa saa nne. Lowassa amewasili saa 5:52 asubuhi akiwa ameambata na viongozi wengine wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama […]

Read More..

Rais wa Simba Evans Aveva na Makamu wake Go...

Post Image

Rais wa Simba Evans Aveva na Godfrey Nyange wamepelekwa Rumande baada ya kukabiliwa na mashitaka matano ikiwemo ya utakatishaji fedha ambayo hayana dhamana. Washitakiwa wote kwa pamoja wanadaiwa kutakatisha fedha ambayo ni dola za Marekani 300,000 walizozipata kwa kughushi nyaraka kuonesha kwamba Club ya Simba imelipa deni la fedha hiyo kwa Aveva. Hakimu Mkazi Mkuu […]

Read More..

Siku Chache Baada ya Kifo cha Mkewe, Mzee Y...

Post Image

Zikiwa zimepita siku kumi tangu apate pigo la kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis, aliyekuwa Mfalme wa Taarab Bongo na Mkurugenzi wa Kundi la Jahazi Modern, Alhaj Mzee Yusuf kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu endapo ataoa mke mwingine. Mzee Yusuf amefunguka alipoulizwa na Gazeti la Risasi endapo hali yake itarejea kama kawaida, Mzee Yusuf […]

Read More..