Shamsa Ford Anahitaji Watoto Wanne Zaidi

MKE wa mfanyabiashara wa nguo, Rashid Said (Chid Mapenzi), Shamsa Ford, ameweka wazi kwamba baada ya kuishi katika ndoa kwa muda mrefu sasa anataka watoto wengine wanne. Msanii huyo ambaye alifunga ndoa Septemba mwaka jana, aliliambia MTANZANIA kwamba ameshafanya mambo mbalimbali ya starehe na mume wake huyo na sasa umefika wakati wa kuongeza watoto wengine […]
Read More..