Joketi Mwegelo Anavyotamani Watoto Mapacha

MWANAMITINDO na msanii maarufu nchini, Joketi Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake. Joketi aliweka wazi hayo alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na Rai, zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Joketi ameweka wazi kwamba mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi […]
Read More..