-->

Joketi Mwegelo Anavyotamani Watoto Mapacha

Post Image

MWANAMITINDO na msanii maarufu nchini, Joketi Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake. Joketi aliweka wazi hayo alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na Rai, zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Joketi ameweka wazi kwamba mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi […]

Read More..

Chriss Mhenga Chimbuko Bongo Movie (Sehemu ...

Post Image

Inaendelea ilipoishia ….. Na bado anaamini kuwa makundi ndio kila kitu kuliko kumchukua msanii moja huku mwingine kule kwani kila mtu anavyokuja anakuja kwa ajiili ya kazi hiyo tu hana muda wa kumsikiliza mtayarishaji au muongozaji vitu vingine vya ziada, watarekodi na kusambaratika hadi kazi nyingine. Sanaa ni taaluma ni lazima wasanii kila siku wawe […]

Read More..

Watoto wa JK, Juma Nkamia Washinda Medali z...

Post Image

Dar es Salaam. Mtoto wa Rais mstaafu, Rashid Kikwete na mtoto wa mbunge wa Kondoa, Abdulrazak Nkamia wamelipa sifa Taifa baada ya kushinda medali za dhahabu katika mashindano ya Genius Olympiad, Marekani. Genius Olympiad ni shindano la kimataifa la mazingira linalofanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Oswego kilichopo nchini Marekani. Rashid ambaye ni mtoto […]

Read More..

Sitti Mtemvu: Nilivuliwa Taji La Miss Tanza...

Post Image

SHINDANO la Miss Tanzania Mwaka 2014, liliingia kwenye dosari baada ya mshindi wa taji hilo, Sitti Mtemvu kuzua sintofahamu kwa kudaiwa kwamba alishiriki akiwa juu ya umri stahiki wa mashindano hayo. Skendo nyingine iliyomtafuna Sitti ni kudaiwa kuwa alishiriki u-miss huku akiwa na mtoto. Kutokana na fi gisufi gisu za hapa na pale, hatimaye Sitti […]

Read More..

Dogo Janja Aruka kwa Muna Love

Post Image

Msanii wa hip hop Dogo Janja amekanusha tetesi za kujihusisha kimapenzi na muigizaji wa zamani na mfanyabiashara Muna Love kwa kusema hajawahi kuwa na mahusiano na habari hizo zinamuweka sehemu mbaya katika mahusiano lakini pia kifamilia. Janjaro amelazimika kufunguka hayo baada ya tetesi kuenea muda mrefu kujihusisha na Mwanadada huyo huku wengine wakienda mbali zaidi […]

Read More..

Baada ya Harmonize, Rayvanny kufanya yake

Post Image

Baada ya Harmonize na Rayvanny kusainiwa lebo ya WCB na kutumia studio ya Wasafi, kurekodia nyimbo zao sasa tutegemee kusikia sauti hizo katika studio zingine. Kwa mujibu wa Diamond Platanumz akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, amesema kuwa Rayvanny, naye anatarajia kufungua studio yake ya muziki itakayo weza kutengeneza midundo chini ya mtaarishaji Rash […]

Read More..

Katika Utawala Wangu Hakuna Atakayepata Mim...

Post Image

Pwani. Rais John Magufuli amesema wakati wa utawala wake hakuna mwanafunzi atakayepata mimba na kuruhusiwa kurudi shule. Ameyasema hayo leo (Alhamisi) wakati wa ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani ambako amezindua viwanda saba. “Azae halafu aende kuwahubiria wenzake, unajua ilikuwa hivi, halafu nilifanya hivi,”amesema. Amesema waliozaa shuleni wanaweza kwenda kupata elimu nyingine kama vyuo […]

Read More..

Vanessa Atoa Povu Jux Kumaliza Chuo

Post Image

Msanii Vanessa Mdee amempongeza mpenzi wake Juma Jux kwa kuhitimu elimu yake ya juu nchini China huku akiwapiga vijembe wale waliokuwa wanamsema msanii huyo kuwa hasomi bali anakwenda kukunua nguo, na kwamba picha alizoweka leo ni jibu tosha. Vanessa Mdee  ametoa pongezi hizo ikiwa ni siku moja baada ya Msanii huyo kuhitimu, na kutupia kijembe […]

Read More..

G Nako Afunguka Ishu ya Kulala Kwenye Jenez...

Post Image

Rapa G Nako amefunguka na kusema kwamba ujumbe na lengo lake limefanikiwa baada ya watu kushtuka walipomuona  ndani ya jeneza kwenye video ya wimbo wake mpya ‘Luck Me’ huku akikumbusha kwamba kila mtu lazima aingie kaburini na kusisitiza ibada. G Nako amefunguka hayo mbele ya kamera za eNewz ya EATV baada ya kuzua gumzo mtandaoni ikiwa […]

Read More..

Diamond Amkana Hamisa Mobeto

Post Image

Msanii wa muziki Diamond Platnumz amekanusha taarifa ambazo zimekuwa zikizagaa katika mitandao ya kijamii kuwa Hamisa Mobeto ana mimba yake. Aidha muimbaji huyo amekanusha pia kuwahi kutoka kimapenzi na video queen huyo ambaye anatikisa katika tasnia ya urembo. Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm Jumatano hii wakati akiutambulisha wimbo wake mpya ‘I Miss […]

Read More..

Wanaume Vinara wa Michepuko – Kigwangalla

Post Image

Naibu waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kusema kuwa wanaume wengi wamekuwa vinara wa michepuko jambo ambalo linapelekea kupata virus vya UKIMWI na kwenda kuwaambukiza wanawake. Kigwangalla amesema hayo leo bungeni wakati akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti maalum CHADEMA, Susan Lyimo ambaye alitaka […]

Read More..

Niyonzima Aitosa Yanga

Post Image

Klabu ya Mabingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara Young Africans (Yanga) yamwagikwa machozi baada ya Nahodha wao raia wa Rwanda Haruna Niyonzima kushindwa kufikia makubaliano ya kuendelea kuchezea klabu hiyo baada ya kumaliza mkataba wake mwezi julai. Hayo yamebainishwa na uongozi wa klabu hiyo kupitia kwa Katibu Mkuu, Boniface Mkwasa kwa kusema hawataweza kuendelea na Niyonzima katika […]

Read More..

Rais Magufuli atuma rambirambi kifo cha Ali...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli ametuma rambirambi kwa familia, wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uongozi wa Klabu ya Yanga na wanamichezo wote kwa jumla kutokana na kifo cha shabiki wa Klabu ya Yanga, Ali Mohamed maarufu Ali Yanga. Ali Yanga amefariki dunia jana (Jumanne), Juni 20 kwa ajali ya gari iliyotokea katika Kijiji […]

Read More..

Odama Kuuza Mwenyewe Kazi Zake

Post Image

KUTOKANA na ugumu wa soko la filamu nchini lililosababisha wasambazaji wengi kuachana na kazi hiyo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ atauza kazi zake mwenyewe. Akipiga stori na Za Motomoto News, Odama alisema mara tu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ataanza kusambaza kazi yake mpya aliyofanya hivi karibuni kwani kwa ugumu wa sasa […]

Read More..

Chriss Mhenga Chimbuko Bongo Movie (Sehemu ...

Post Image

UNAPOONGELEA tasnia ya filamu Bongo ni lazima uanzie kwenye michezo ya kuigiza kwani wanaong’ara na kufanya vizuri asilimia kubwa walikuwa ni waigizaji kutoka katika kundi la Kaole Sanaa Group, lakini si wengi ambao wanamtambua muasisi na mzalishaji wa vipaji hivyo huyu si mwingine ni Chrissant Mhenga. Uncle Chriss kama wengi wanavyomjua ni Baba wa familia […]

Read More..

Endapo Ben Pol akinikataa, ‘Nitajiua kwa ...

Post Image

Aliyesema mahaba niue hakukosea kabisa kwani hii imekuja kujidhihirisha kwa mchekeshaji mrembo Ebitoke ambaye karibia mwezi mmoja sasa anahangaika kuwinda penzi la Ben Pol. Ebitoke amesema kwa sasa mahaba yake yote yapo kwa Ben Pol na endapo atashindwa kupata penzi lake basi yupo tayari kupoteza uhai wake. “Hapana Ben Pol hawezi kuacha kuwa na mimi, […]

Read More..

Diamond Kuliamsha Dude Leo!

Post Image

Ni kweli Diamond anataka kuachia ngoma mpya Jumatano hii? Kama haufahamu hilo basi kaa tayari kulipokea hilo. Msanii huyo amekuwa akiteka vichwa vya habari kila anapokaribia kuachia ngoma zake mpya kutokana na style anazotumia. Kupitia mtandao wa Instagram, Diamond ameahidi kuachia wimbo wake huo siku ya leo. “@sallam_sk punguza Hasira ?… Xxl ya @Cloudfmtz na […]

Read More..

Majonzi kwa Yanga na wadau wa soka kifo cha...

Post Image

Dodoma. Tanzia tanzia.. Ni majonzi kwa wadau wa soka Tanzania kufuatia kifo cha shabiki maarufu Yanga, Ally Yanga kilichotokea mchana wa leo mkoani Dodoma wakati akiwa kwenye mbio za mwenge wa Uhuru. Taarifa za awali zinasema shabiki huyo amefikwa na umauti katika kijiji cha Chipogolo kilichopo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma njia ya kwenda mkoani Iringa […]

Read More..