-->

Saida Karoli: Walioimba Wimbo Wangu Hawakun...

Post Image

MWANAMUZIKI wa nyimbo za asili, Saida Karoli, amesema hajawahi kupokea fedha yoyote kutoka kwa wasanii waliorudia ama kutumia vionjo vya wimbo wake wa ‘Chambua kama Karanga’ tofauti na inavyodhaniwa na wengi. Saida aliweka wazi suala hilo jana, alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na RAI, iliyopo Sinza Kijiweni, […]

Read More..

Sijawahi Kukaa na Mpenzi Zaidi ya Miezi Tis...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol amesema mahusiano yake yaliyowahi kudumu zaidi ni miezi tisa tu. Muimbaji huyo ameeleza kuwa sababu inayopelekea hali hiyo ni kwamba watu wanaoingia katika mahusiano na yeye huwa na matarajio makubwa na wanapokuta sivyo wanakimbia. “Miezi tisa ndio longest relationship kwa sababu unajua yaani nimekutana na watu wa aina tofauti, […]

Read More..

VIDEO : Snura Awakanya Wasanii

Post Image

Muimbaji na muigizaji bongo, Snura Mushi amewakanya vijana wanaotaka kuingia katika tasnia ya sanaa waepukane na vishawishi vya kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya huku akidai kufanya hivyo hakufanyi uonekane unaenda na wakati. Snura amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz baada ya kutuhumiwa akijihusisha na matumizi ya dawa za kulevya ambazo zinamfanya kumpa mizuko […]

Read More..

Nikki : Makampuni ya Kigeni Yataifishwe

Post Image

Hit maker wa ngoma ya ‘Quality Time’, Nikki wa Pili amefunguka na kushauri kwamba  makampuni ya kigeni yanayopewa nafasi ya uwekezaji nchini yataifishwe ili kutoa nafasi kwa wazawa kuendelea na biashara hiyo ikiwa ni pamoja na kusaidia kutoa ajira. Nikki amefunguka hayo ikiwa ni siku chache tangu  kupata nafasi ya kuhudhuria uwasilishwaji wa ripoti za  mchanga […]

Read More..

Bill Nass Afunguka Kinachoendelea Kati ya W...

Post Image

Story kubwa ambayo inatrend kwenye Bongofleva ni kudaiwa kuwepo kwa vita ya maneno kati ya Wakazi na Godzilla ambapo kila mmoja kwa nyakati tofauti amejinadi kuwa ni bora zaidi ya mwingine kitu kilichopelekea kutoa nyimbo zinazosemwa wanaimbana. Inadaiwa pia kutokana na vita hiyo ya maneno kumewafanya wasanii hao kutunga nyimbo za tambo mbapo wakati Wakazi […]

Read More..

Mtu Mmoja Akamatwa Akiingiza Nyama Zikiwa n...

Post Image

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Nombo mkazi wa Dar, amekamatwa leo Juni 19, 2017 akijaribu kuingiza simu 5 katika Gereza la Mahabusu la Keko.     Kijana huyo alikuwa amezifunga simu hizo kwenye mapande ya nyama yaliyorostiwa kama inavyoonesha kwenye picha. Simu hizo zilikuwa ziingizwe gerezani humo ili wapewe wafungwa kwa ajili ya […]

Read More..

Aah! Diamond na Zari Acheni Hizo Bana

Post Image

BAADA ya mrembo Zari Hassan ‘Zari the boss Lady’ wiki hii kuonekana akiogelea na mwanamume mmoja ambaye haijajulikana ni nani, unaambiwa Diamond ni kama alipagawa. Nyota huyo wa muziki wa kizazi kipya baada ya kuziona hizo picha alizichukua kama zilivyo na kuziposti katika ukurasa wake wa Inastagram na kuandika, ‘Ndiyo maana wakati mwingine naonaga bora […]

Read More..

Bongo Movie ni Muda Wetu wa Kurelax – Aun...

Post Image

Muingiza Aunt Ezekiel amesema Bongo Movie haijafa ila ni muda wao wa kupumzika ili kujipanga. Mrembo huyo amefafanua kuwa hiki ni kipindi cha wao kujipanga na wale wanaofikiri Bongo Movie haitarejea katika kiwango chake wanakosea. “Bongo Movie tunaweza kusema ni kama maisha ya binadamu, kuna time analala, anaamka, anapika, so kunakuwa na kazi tofauti tofauti. […]

Read More..

Sijafuata Utaratibu wa Alikiba – Abdu Kib...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Abdu Kiba amesema hajafuata utaratibu wa kaka yake ‘Alikiba’ wa kutomfollow mtu yeyote katika mtandao wa instagram. Muimbaji huo amesema kilichopelekea yeye kutomfollow mtu yeyote ni baada ya wadukuzi kuiba akauti yake na alipoirejesha ilimbidi kuwaondoa watu wote waliokuwepo. “Nikizungumzia akauti nakumbuka mwezi mmoja nyuma nikiwa Marekani akaunti yangu walihack kwa […]

Read More..

Niombeeni Dua-Mzee Yusuph

Post Image

Alhaji Mzee Yusuph, amefunguka kwamba wananchi wamuombee dua ili aweze kupata moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki alichofiwa  mke wake  Chiku Khamisi pamoja na mtoto wake mchanga  badala ya kuanza kuongea maneno ya unafiki yasiyokuwa na faida. Alhaji amefunguka hayo mara baada ya kuwapumzisha vipenzi vyake hivyo makaburini na kusema kwamba badala ya watu kuanza […]

Read More..

Kigogo IPTL, Rugemalira Wafikishwa Mahakama...

Post Image

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James Rugemalira kwa makosa ya uhujumu uchumi. Akizungumza na waandishi wa habari, leo Jumatatu, Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Kamishna Valentino Mlowola amesema, “Leo nawapa taarifa kuwa tunawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili, kwa makosa ya kuhujumu uchumi na […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Akinikataa, Usichana Wangu...

Post Image

TASNIA ya ucheshi nchini imekuwa na idadi ndogo ya wachekeshaji wa kike, hali kadharika wa kiume wamekuwa wakikumbana na changamoto kadhaa zinazopeleka sanaa yao kutotiliwa uzito mkubwa licha ya umuhimu wake, angalau kwa sasa tunaweza kuona wachekeshaji wa kisasa wakiingiza fedha ndefu. Wiki za hivi karibuni mchekeshaji wa kike, Ebitoke amekuwa kwenye vinywa vya wapenda […]

Read More..

Kinachomsumbua Roma Mkatoliki

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki aliyejizolea umaarufu mkubwa kutokana na tungo zake zenye kugusa jamii na maisha ya kila siku ya watu, amefunguka na kusema toka ametekwa na kuachiwa afya yake kiujumla imeimarika ila bado anatatizo katika kidole chake cha mwisho. Roma Mkatoliki anadai kuwa kidole hicho kilivunjika lakini hata baada ya kufanyiwa matibabu bado kidole hakijaweza […]

Read More..

Gig Money Afungukia Kupungua Kwake

Post Image

BAADA ya kuonekana amepungua katika picha mbalimbali za mitandaoni na kuzua minong’ono kwa baadhi ya mashabiki wake, Gift Stanford (Gig Money) amefunguka na kusema kuwa mpenzi wake, Mo J, ndiye anayetaka apungue. Gigy ameongeza kwamba, mwonekano huo ndio unaoendana na umri wake, kwa kuwa bado msichana mdogo kiumri, hivyo mwili mkubwa kwake haumuonyeshi uhalisia wake. […]

Read More..

Rose Muhando, Hii Ni Fedheha Kubwa Kwako!

Post Image

NI jambo lisilohitaji mjadala, kukubaliana kwamba Rose Muhando, ni mmoja wa watu ambao Muziki wa Injili Tanzania, una damu yake, hasa unapozungumzia kile kitendo cha kuutoa ndani ya nyumba za ibada na kuuleta nje, tena kwenye majukwaa. Ndiyo, Gospo ni muziki wa ndani ya nyumba za ibada, ukipigwa na wanakwaya kwa miaka mingi hapa kwetu […]

Read More..

Nyie Acheni Kumpakazia Diamond

Post Image

KAMA kuna habari inayobamba kwa sasa katika mitaa ya Jiji la Dar es Salaam basi ni ishu nzima ya Diamond Platinumz. Jamaa amekuwa gumzo kutokana na kuwepo kwa taarifa kwamba kidume kimefanya yake kwa kuwajaza mimba warembo Hamisa Mobetto na Peneal Mwingilwa aliowahi kutoka nao kimapenzi kabla ya kujituliza kwa Zari the Boss. Warembo hao […]

Read More..

Muongozaji wa filamu ya The Karate Kid na R...

Post Image

Mtayarishaji na Muongozaji wa filamu za Rocky na The Karate Kid na mshindi wa tuzo za Oscar, John G. Avildsen amefariki dunia. Mtoto wa John Avildsen aitwaye Avildsen Anthony ameviambia vyombo vya habari leo nchini Marekani kwamba baba yake amefariki kwa ugonjwa wa saratani katika hospitali ya Sinai Medical Senter mjini Los Angeles. Filamu ya […]

Read More..

Namiliki Fremu Zaidi ya 70 – Z Anto

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi ambaye aliwahi kutamba na ngoma kama Binti kiziwi, Mpenzi jini na Kisiwa cha Malavidavi Z Anto amefunguka na kusema kuwa hapa mjini anamiliki fremu za biashara zaidi ya 70. Z Anto anasema kuwa yeye ni kama baadhi ya wasanii ambao wamekuwa na maneno mengi kuliko utekelezaji ndiyo maana amekuwa akizidi […]

Read More..