-->

Afande Sele Atoa Ujumbe Huu kwa Kina Baba W...

Post Image

Ikiwa leo ni siku ya akina Baba Duniani Mfalme wa Rhymes nchini Tanzania, Afande Sele amewaasa akina Baba wote ulimwenguni kukumbuka majukumu yao kwa watoto na sio kuishia kuwapa mimba tuu akina mama bila kutunza watoto. Afande Sele ambae ni mtoto Baba wa watoto wawili amesema jukumu la Baba lisiishie kutia mimba tuu bali lije […]

Read More..

Sitegemei Kugombana na Alikiba – Bara...

Post Image

Msanii Baraka The Prince amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana tofauti yoyote na Alikiba na kudai kuwa watu wa mitandaoni ndiyo wamekuwa chanzo cha kusambaza maneno hayo kuonyesha yeye ana tofauti na Alikiba. Baraka The Prince amedai kuwa yeye hawezi kugombana na Alikiba na wala hategemei kuja kumkosea kwa kuwa ni moja kati ya […]

Read More..

Gabo: Najengea Daraja la Kuelekea Mafanikio...

Post Image

Dar es Salaam. “Aliyeanzisha virusi kwenye simu, kompyuta, bila shaka alitafuta suluhisho la virusi hivyo akapata tiba yake (anti virus). “Kwa sababu waigizaji ndiyo chanzo cha kufika hapa filamu zilipo, hatuna budi pia kutafuta suluhisho la tatizo, ” Hivyo ndivyo anavyoanza kueleza mwigizaji Gabo Zigamba. Gabo anasema mashabiki wa filamu licha ya kupenda burudani wamechoshwa […]

Read More..

Snura na Ben Pol Eti Wanazingua!

Post Image

WANAZINGUA. Hayo ni maneno ya mashabiki wakiwatupia wasanii Snura Mushi ‘Chura’ na Ben Pol baada ya wasanii hao kujibizana wenyewe kwa wenyewe kwenye vyombo vya habari na kugeukana. Snura na Ben Pol, katika Usiku wa Fiesta Dodoma mwishoni mwa mwaka jana, wakati wanatoa burudani walionekana wakikumbatiana kimahaba huku wakipeana mabusu moto moto jukwaani na kusababisha […]

Read More..

Hivi Punde: Mke Mdogo wa Mzee Yusuf Amefari...

Post Image

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern Taarab, Mzee Juma Mbizo ameiambia Global Publishers kuwa bi Chiku, ambae alikua mke mdogo wa Mzee Yusuf amefariki dunia katika Hospitali ya Amana wakati akijifingua. Mtoto nae pia amefariki. Pumzika kwa amani Chiku. Pole kwa […]

Read More..

Dokii Afungukia Kurudi Kuigiza Vichekesho (...

Post Image

Mwimbaji na msanii mkongwe wa maigizo Tanzania Dokii ameamua kurudi kwenye uigizaji kwa namna ya pekee baada ya kugeukia vichekesho ambapo mara hii ameungana na Timamu na mchekeshaji Mpoki. Kwenye EXCLUSIVE Interview na Ayo TV Dokii amekiri kuwa kimya kwa muda mrefu akifanya biashara tofauti ya muziki na uigizaji lakini sasa ameamua kurejea akigeukia vichekesho. […]

Read More..

Asilimia 61 Tanzania Kuwa Jangwa-Makamba

Post Image

Takwimu zinaonyesha kwamba nchi ya Tanzania ipo hatarini kugeuka jangwa ambapo asilimia 61 ya maeneo ya nchi tayari yapo katika hatari zaidi ya ukame kutokana na ukataji miti hovyo. Akizungumza ofisini kwake mjini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amesema kwamba mikoa mbalimbali nchini imekwishaanza kuathirika na hali […]

Read More..

Mtanzania Ahukumiwa Jela Miezi 3 Uingereza,...

Post Image

Mwanaume mmoja mwenye asili ya kitanzania, Omega Mwaikambo (43) amekamatwa nchini Uingereza kwa kosa la kuweka picha za mwili wa mtu aliyefariki katika ajali ya moto kwenye mtandao wa Facebook. Mwaikambo ameukumiwa kifungo cha miezi miatatu jela pamoja na kulipa faini ya kwenda jela miezi 3 kwa kosa hilo huku akitakiwa pia kulipa faini ya […]

Read More..

Gabo Amkana Wema Sepetu

Post Image

Muigizaji anayesadikika kuwa ni pendwa wa kiume hapa nchini Tanzania, Gabo Zigamba amekanusha tetesi zinazoendelea kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi baina yake yeye na Muigizaji Wema Sepetu walipokuwa wakitengeneza filamu mpya ya Kisogo. Akiwa jana kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Gabo aliweka wazi kuwa maneno ya kuzushiwa kati yake na malkia huyo wa […]

Read More..

VIDEO : Sitafuti Kiki kwa Alikiba – AT

Post Image

Msanii wa muziki miondoko ya mduara nchini, AT amefunguka kwa kuwachana wasanii wa Tanzania kwa kudai wengi wao ni waongo, hawapendi kusema ukweli juu ya mambo yao yanayowasibu. AT ameeleza kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuonekana kama anatafuta kiki ya wimbo wake mpya uitwao ‘Melody’ kwa kuzungumzia ugomvi wa kipindi kirefu baina […]

Read More..

Masogange Kuletewa Mashahidi Watatu

Post Image

BAADA ya msanii na mnogeshaji wa video za wasanii mbalimbali, Agnes Gerald (Masogange), kuikana ripoti ya mkemia mkuu wa Serikali iliyoonyesha kwamba Februari 20, mwaka huu ilithibitisha mkojo wake kuwa na dawa za kulevya aina ya heroin na Oxazepam, upande wa mashtaka unatarajia kuleta mashahidi watatu kwenye kesi hiyo. Akisoma maelezo ya awali katika Mahakama […]

Read More..

Ray Kigosi Alia na Yanga, ‘Tumuombe Manji...

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini, Ray Kigosi amesema uongozi wa klabu ya Yanga ni vema ukafanya utaratibu wa kamrejesha aliyekuwa Mwenyekiti wao, Yusuph Manji ili timu hiyo iwezi kupata maandalizi mazuri kwa ajili ya msimu ujao wa ligi na kusajili wachezaji wazuri ili wafanye vizuri katika mashindano ya kimataifa. Kupitia mtandao wa instagram Ray amendika, “Nakumbuka […]

Read More..

Gabo Zigamba Ajinadi Kuikomboa Filamu

Post Image

Muigizaji Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amefunguka kwa kudai kwamba ameamua kujitolea kufa na kupona ili kunusuru tasnia ya filamu isonge mbele kwa kutumia Teknolojia ya simu  ambayo itawasaidia Watanzania kupata filamu bure na kwa urahisi. Gabo amedai hayo wakati akizindua filamu yake ya ‘Kisogo’ kwamba ameamua kutoa sehemu ya maisha yake ili kuikomboa tasnia ya […]

Read More..

Wolper: Saida Karoli Apewe Heshima Yake

Post Image

DAR ES SALAAM: Kinara wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka wazi ya moyoni kuwa, mkali wa Muziki wa Asili, Saida Karoli anastahili kupewa heshima kutokana na namna alivyoutangaza Muziki wa Asili. Akichonga na 3 Tamu, Wolper alifunguka kuwa, Saida ni bonge moja la mwanamuziki anayemkubali zaidi kutokana na uwezo wake ndiyo maana ameposti […]

Read More..

Roma Mkatoliki Ageukia Ualimu

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki leo amegeukia kazi yake ya zamani ya ualimu kwa siku 1 baada ya kuamua kwenda shule ya msingi ya Mchikichini iliyopo Mbagala kuwapa hamasa wanafunzi kupenda somo la hesabu na kukabidhi vitabu vya hesabu. Rapa huyo anasema kuwa siku zote muziki wake umekuwa ni unaogusa maisha ya […]

Read More..

“He! Mimi? Mjamzito?”-Uwoya

Post Image

DAR ES SALAAM: Sexy lady wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ amefungukia madai kuwa, kwa sasa ametengeneza urafiki wa muda na ndimu, samaki wabichi na ukwaju kwa kinachosemekana ni mjamzito. Huku akionesha kushtushwa na habari hizo zinazoenezwa bila kutaja mhusika wa kibendi hicho, Uwoya alikuwa na haya ya kusema: “He! Mimi? Mjamzito? […]

Read More..

Mwanaume Aliyeonekana Zari Kwenye ‘Sw...

Post Image

Mwanaume ambaye aliyedaiwa kumshika mzazi mwenza wa msanii Diamond, Zari Hassani katika bwawa la kuogelea, Edwin Lutaaya amefunguka juu ya tuhuma hizo. Edwin ambaye ni ndugu wa mume wa zamani wa Zari, amedai kuwa hakumshika Zari kama mitandao ilivyodai na ile picha ilipigwa na mkewe ambaye naye alikuwepo katika eneo hilo. Edwin ambaye amefanya mahojiano […]

Read More..

Snura Afungukia Ajali Yake!

Post Image

SIKU chache baada ya kupata ajali mbaya, staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka jinsi alivyonusurika kifo huku akimshukuru Mungu kwa kumtoa salama kwani mauti yalikuwa nje nje. Awali, chanzo kilichokuwa eneo la tukio, kilieleza kuwa Snura alikuwa kwenye mwendo wa kasi na kushi-ndwa kukata kona iliyopo maeneo ya Cocacola Mikocheni na kusaba-bisha […]

Read More..