Afande Sele Atoa Ujumbe Huu kwa Kina Baba W...

Ikiwa leo ni siku ya akina Baba Duniani Mfalme wa Rhymes nchini Tanzania, Afande Sele amewaasa akina Baba wote ulimwenguni kukumbuka majukumu yao kwa watoto na sio kuishia kuwapa mimba tuu akina mama bila kutunza watoto. Afande Sele ambae ni mtoto Baba wa watoto wawili amesema jukumu la Baba lisiishie kutia mimba tuu bali lije […]
Read More..